Mbadala wa mzize wapo wengi sana.Kinacho mbeba Mzize ni uraia na umri wake labda, lakini naamini hata kocha anakerwa na madudu yake.
Ila hata mimi kwaupande wangu, kwa wachezaji wa zawa, kwenye nafasi anazocheza Mzize, naanza na Mzize, sioni mbadala wake.
Ahahahahaha! Yaani hiyo iliniacha hoi! Na baada ya hapo Manara kaufyata! Ahahahahaha!!!Yule mzee mhuni sana, anamshauri Manara aache kubinua kama "Tipa" la mchanga.
Wewe wapime kwa mechi nying,,yeye katumia kipimo Cha mechi Moja,, usiingilie watu kwenye Vipimo vyaoHivi wewe jamaa ni Mwananchi mwenzetu kama ambavyo huwa unajinadi? Kutwa kuja na nyuzi za mafarakano au ukosoaji.
Unawapima wachezaji kwa mechi moja? Uko sawasawa kweli?
how is boka now??It is your mind set, (self-image)
mzize is the best attack player yanga have. he just need to be more lethal. he will be deadly soon. that's why azam wants him. he is chaotic.Mzize bado sana. Kuna mpira akiwa kwenye box alitakiwa kupiga shuti badala yake anaendelea kupiga chenga mabeki , sasa sijui alitaka kupiga chenga hadi milingoto ya goli. Afundishwe kufunga sababu kuji position keshajua
Mzee Magoma ndiye atakuwa Mgeni rasmi Simba DayAll other signing are the best signing so far, the best players in the pitch except;
DUBE
This guy bado anawenge la kuwa Yanga, in today's match he was the worst player in the pitch. He lost his aggressiveness that he used to have in Azam. I hope he improves.
DUBE can't press sio Yanga material kabisa.
BOKA
He was so relaxed on the wing, very good in defence poor in attack . I think Kibabage will keep the number, he was injured just minutes in the pitch. Huyu tumepigwa. I hope he recovers and improve his performance. Mr back passes so far
CHAMA
HE IS OLD
BALEKE
He needs to cooperate na wengine, despite scoring Baleke can't press, can't assist, ni mzigo kwa team, ie sio YANGA Materials kabisa. Improve au bora Mzize.
GUEDE should have stayed,
Abuya na wengine ni bonge la group la wachezaji, the best signing hongera Engineer.
*after thread comments *
- ukisoma comments mashabiki wa yanga are furious. ila Yanga is better without these players.
Unless players improve their performance within the team, then they should be looking for alternatives.
huo ndo ukweli. Acha kulia kulia
Something wrong upstairs, please check the overview of FC Augsburghow is boka now??
if you have silly excuses. you have a silly life. more than 18 players played for yanga. it's boka who played the least minutes got threatening injury.Something wrong upstairs, please check the overview of FC Augsburg
You do not have knowledge of situational analysis and social inferenceif you have silly excuses. you have a silly life. more than 18 players played for yanga. it's boka who played the least minutes got threatening injury.
a stupid d*mb yanga fan. creating augsburg excuse. pathetic fans. Hard times create strong men.
Anaongelea kupress. Dube hajacheza miezi 6, na ni Center forward unategemea umuone vipi?Hivi wewe jamaa ni Mwananchi mwenzetu kama ambavyo huwa unajinadi? Kutwa kuja na nyuzi za mafarakano au ukosoaji.
Unawapima wachezaji kwa mechi moja? Uko sawasawa kweli?
it was an easy attempt Injury. don't be stupidYou do not have knowledge of situational analysis and social inference
If you do not know where you're going any road will take you there, (path)it was an easy attempt Injury. don't be stupid
Yangaaaa Daima mbeleeeee
Sureboy bado mzito pale katikatiAnaongelea kupress. Dube hajacheza miezi 6, na ni Center forward unategemea umuone vipi?
Kukaba na striker wa kati wapi na wapi?
Anaweza kufanya lakini siyo suala la msingi.
Kiungo, imekatika mabeki wanazidiwa unategemea umuone striker vipi??
Unasema hamkuwa mnasaka ushindi, mbona baada ya goli la Baleke mlienda kumnyang'anya mpira kipa mkakimbiza kati ili mpira uanze haraka?Hii ni preseason muwe mnajiongeza kuficha ujinga mda mwingine, kocha anaandaa kikosi kwa akili ya michuano ijayo ivyo lazima wachezaji wote wacheze, hii sio mechi ya kusaka ushindi ilikuwa ni mechi ya kuangalia timu kiufundi zaidi na mapungufu, Kama wangeshinda ingekuwa bonus angalia na timu waliyocheza nayo