Yanga bado ni wa moto, wanakwenda kuanzia walipoishia msimu uliopita

Yanga bado ni wa moto, wanakwenda kuanzia walipoishia msimu uliopita

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Picha kamili tumeiona leo kwenye mechi dhidi ya kaizer chiefs, licha ya muda wa maandalizi kuwa mfupi na wachezaji wengine kuchelewa kuingia kambini bado wameonyesha ni timu imara na ya moto.

Mpira wa kasi ni falsafa ya kocha gamondi na ameonyesha mwanga ni nini anachotaka kwenye squad yake, sajiri zote zilizoingia zinaonekana ziko vizuri ni suala la muda tu kufanya makubwa zaidi.

Naiona yanga ikifanya vizuri zaidi klabu bingwa barani afrika msimu huu, Nawapongeza waliofanya usajiri wameifanya kazi yao ipasavyo na itawalipa soon!
 
Sasa mnacheza na mtu anashika mafasi ya Tano mnajisifu
20230722_210923.jpg
 
Msijisifie kwa kucheze na team ambayo haikuwa na muunganiko wwte..viungo wakabaji wanapoteza Mpira kiurahisi kama wanacheza ndondo...kule kwa yule scudo ni kama alikuwa anacheza mwenyew tu due mbavu ya kulia ilikuwa inapanda na kumwacha acheze mwenyew kama anavyotaka...
 
Back
Top Bottom