SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Na kumbukumbu yako imeishia hapo?alikuweka kamba 4.
tumemuweka cha mkwezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kumbukumbu yako imeishia hapo?alikuweka kamba 4.
tumemuweka cha mkwezi.
Tuliwapiga 3 bila baada ya wachezaji wao muhimu kuwasingizia wana Covid 19.Walivokuja na wao???
Vikosi vyilivyoanza vya Kaizer Chiefs katika mechi mbili vyote vinafanana kasoro mchezaji mmoja tu.Tuliwapiga 3 bila baada ya wachezaji wao muhimu kuwasingizia wana Covid 19.
Na nyie mlipigwa ngapi mbona usemi🤣🤣PAMOJA NA SIMBA KUWA NA MSHABILIAJI BUTU KAMA MUGALU.
SIMBA ILIWAPIGA WALE KAIZA 3- 0
UTOPOLO MSITEGEMEE
Hamna timu pale
We jamaa unajua boli!Me nmewaona yanga n kama man city watupu yaan
Ohh nilisahau.Na kumbukumbu yako imeishia hapo?
Umesahau vingi. Jaribu kuendelea kukumbuka vingineOhh nilisahau.
Wakafuzu kutinga Nusu Fainali CAFCL.