Smt016
JF-Expert Member
- Jan 11, 2016
- 3,012
- 4,300
Huyu aliyecheza dhidi ya timu inayoshika nafasi ya tano ndio timu iliyowaongoza katika ligi anayoshiriki Simba.Sasa mnacheza na mtu anashika mafasi ya Tano mnajisifuView attachment 2696416
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu aliyecheza dhidi ya timu inayoshika nafasi ya tano ndio timu iliyowaongoza katika ligi anayoshiriki Simba.Sasa mnacheza na mtu anashika mafasi ya Tano mnajisifuView attachment 2696416
Nipo serious. Hamna timu. Si tupo hapaaaUwe unakuwa serious kidogo kwenye hoja za msingi.
Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
sasa wewe ulitaka iwe nafasi ya ngapi we kwel kolo wizard .. ligi ya south sio ya kitoto ni ngumu mno mliendaga kule mkala chuma 4Sasa mnacheza na mtu anashika mafasi ya Tano mnajisifuView attachment 2696416
Mbona makasiriko hivyo bwasheeWe kafie mbele uko kama ujaona basi utaonyeshwa kwa nguvu
Hapo sawa.Washampata Emnanuel Mahop ni mcameroon mwenye balaa kama mayele, nadhani wiki hii atatambulishwa baada ya kumalizana na klabu yake ya canon younde
Wakiwa nafasi ya saba waliwatungua 4:0Sasa mnacheza na mtu anashika mafasi ya Tano mnajisifuView attachment 2696416
Kwa maana ligi ya south africa unaiweka kwenye standard sawa na ligi ya bongo? Ukapimwe akili wewe sio bureHuyu aliyecheza dhidi ya timu inayoshika nafasi ya tano ndio timu iliyowaongoza katika ligi anayoshiriki Simba.
Kwann isipate na physics na mathematics iwe PCM??Uko sahihi kabisa, mimi ni kolo ila Yanga hii ya leo ikipata team chemistry vizuri, wanabeba ndoo ya 30 hawa [emoji23][emoji1544]
Soma kwanza kwa utulivu ili uelewe maana. Nimemjibu huyo aliyeidharau Yanga kucheza na timu inayoshika nafasi ya 5 na wakati kasahau huyo Yanga ndio bingwa wake hapa Tanzania je inadharau vipi bingwa wake?Kwa maana ligi ya south africa unaiweka kwenye standard sawa na ligi ya bongo? Ukapimwe akili wewe sio bure
Hivi shule hazijafunguliwa tu maana ni almost impossible mtu mzima kujibu upumbavu hivi, unless labda kama ushawahi kuwa diagnosed na psychosisKwann isipate na physics na mathematics iwe PCM?
Muunganiko upi unaousema wewe? Wanayo maingizo mapya pia na yanga inayo maingizo mapya ivyo kila timu aikuwa na muunganiko hoja yako imekufa kifo cha kawaida tafuta jingineMsijisifie kwa kucheze na team ambayo haikuwa na muunganiko wwte..viungo wakabaji wanapoteza Mpira kiurahisi kama wanacheza ndondo...kule kwa yule scudo ni kama alikuwa anacheza mwenyew tu due mbavu ya kulia ilikuwa inapanda na kumwacha acheze mwenyew kama anavyotaka...
Tumewazoe naona mnaendeleza mlipoishia msimu uliopita. Timu zote zinazofungwa na Yanga ni mbovuMsijisifie kwa kucheze na team ambayo haikuwa na muunganiko wwte..viungo wakabaji wanapoteza Mpira kiurahisi kama wanacheza ndondo...kule kwa yule scudo ni kama alikuwa anacheza mwenyew tu due mbavu ya kulia ilikuwa inapanda na kumwacha acheze mwenyew kama anavyotaka...
Kwa maana ligi ya south africa unaiweka kwenye standard sawa na ligi ya bongo? Ukapimwe akili wewe sio bure
Muunganiko upi unaousema wewe? Wanayo maingizo mapya pia na yanga inayo maingizo mapya ivyo kila timu aikuwa na muunganiko hoja yako imekufa kifo cha kawaida tafutaMsijisifie kwa kucheze na team ambayo haikuwa na muunganiko wwte..viungo wakabaji wanapoteza Mpira kiurahisi kama wanacheza ndondo...kule kwa yule scudo ni kama alikuwa anacheza mwenyew tu due mbavu ya kulia ilikuwa inapanda na kumwacha acheze mwenyew kama anavyotaka...
Kipindi anakutungua goli 4 bila majibu unakumbuka alikuwa nafasi ya ngapi? Basi jaribu kuwa na heshima pia uwe na kumbukumbu usijizime data kiboya namna iyoSasa mnacheza na mtu anashika mafasi ya Tano mnajisifuView attachment 2696416
Halina ubishi ni mwehu huu atakaye pinga hiloPicha kamili tumeiona leo kwenye mechi dhidi ya kaizer chiefs, licha ya muda wa maandalizi kuwa mfupi na wachezaji wengine kuchelewa kuingia kambini bado wameonyesha ni timu imara na ya moto,
Mpira wa kasi ni falsafa ya kocha gamondi na ameonyesha mwanga ni nini anachotaka kwenye squad yake, sajiri zote zilizoingia zinaonekana ziko vizuri ni suala la muda tu kufanya makubwa zaidi
Naiona yanga ikifanya vizuri zaidi klabu bingwa barani afrika msimu huu, Nawapongeza waliofanya usajiri wameifanya kazi yao ipasavyo na itawalipa soon!
Wala usingemjibu mchawi huyoWe kafie mbele uko kama ujaona basi utaonyeshwa kwa nguvu
Tena wakachoma uchawi uwanjani
Kwa Yanga hii jiandae kupata stroke.Msijisifie kwa kucheze na team ambayo haikuwa na muunganiko wwte..viungo wakabaji wanapoteza Mpira kiurahisi kama wanacheza ndondo...kule kwa yule scudo ni kama alikuwa anacheza mwenyew tu due mbavu ya kulia ilikuwa inapanda na kumwacha acheze mwenyew kama anavyotaka...