Yanga bingwa 2023-2024:Yaifunga Mtibwa 3-1 | NBC Premier League | Manungu Stadium | 13.05.2024

Tumshukuru Mola wetu kwa ushindi huu
 
Asante Kaka.
Very nice Updates
 
Kwa raha nilokuwa nayo leo mdada yoyote akinitongoza namkubalia
๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ....
 
Kwa raha nilokuwa nayo leo mdada yoyote akinitongoza namkubalia
๐Ÿ˜œ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ....
 
๐…๐”๐‹๐‹ ๐“๐ˆ๐Œ๐„ ๐Œ๐“๐ 1 - 3 ๐˜๐๐†

๐‡๐จ๐ง๐ ๐ž๐ซ๐š ๐ญ๐ข๐ฆ๐ฎ ๐ฒ๐š๐ง๐ ๐ฎ ๐ฒ๐š ๐˜๐š๐ง๐ ๐š ๐ค๐ฐ๐š ๐ฎ๐›๐ข๐ง๐ ๐ฐ๐š ๐ฐ๐š ๐ญ๐š๐ญ๐ฎ ๐ฆ๐Ÿ๐ฎ๐ฅ๐ฎ๐ฅ๐ข๐ณ๐จ, ๐ฌ๐ข๐ค๐ฎ ๐ฒ๐š ๐ฃ๐ฎ๐ฆ๐š๐ญ๐š๐ญ๐ฎ ๐ง๐š ๐†๐จ๐ฅ๐ข 3
 
Chenga alizopiga huyu mwamba kabla ya kutoa v pasi,sio za dunia hii
 
Mi naishauri serikali iwachukuwe makolo wote watumbukizwe baharini wakatafute waya wa internet uliopotea , wananchi tuendelee ku enjoy ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ
๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†
๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†๐Ÿ†
 
Ikibidi wabaki hukohuko waanzishe ligi Yao na Samaki [emoji2957][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
pamoja na yanga Bingwa
Al haj juma mgunda amesema jana bado ana matumaini na simba kuchukua ubingwa aisee hii n kulogwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ