Mambo ya filterHana uzuri wowote...
Picha tu hiyo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mambo ya filterHana uzuri wowote...
Picha tu hiyo
Mzuri bhana! Kwani wewe umeangalia nini hadi useme hivyo
Kawaida ya Mzize kukosa magoli mepesi. Jamaa inabidi apewe mkono wa kwaheri tu, uwezo wake haukui na anazidi kutugharimu kwenye michezo muhimu.Mzize hakumtendea haki Azizi Ki kwenye lile pande alipewa
Msimu wa Utopolo huu......hayo mengine hayana maana tena.Hii game Mtibwa watakuwa wameuza, sio bure kabisa.
Mechi ijayo🤣Fungweni kidogo na nyie jamaniii.
Imetoka hiyo. Tukutane mwakani Inshallah! Same time! Same place! Same results!💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚 mabingwa
Mungu saidia matokeo yawe Haya haya na mechi ijayo wafungwe na Dodoma.
BonventureSr samaleko..!!😂😂🤭hilo ni dua la kuku Mr. Bonventure..!!
Karibu tena..!!
Yanga bingwaaView attachment 2989263
View attachment 2989260
Karibuni Kwa Live updates za mchezo wa Ligi kuu Tanzania bara kati ya Mtibwa Sugar (wenyeji) dhidi ya Mabingwa watetezi , Young Africans sc. Mchezo utaanza leo saa kumi jioni, Katika uwanja wa Namungu Complex, Morogoro.
Endapo Yanga atashinda mchezo huu atafikisha alama 71 ambayo haitaweza kufikiwa na club yoyote inayoshiriki Ligi Kuu, Hivyo Rasmi atatangaza ubingwa wake kwa mara ya tatu mfululizo (Champions in a row) na kutwaa ubingwa wa Ligi kuu Tanzania bara mara 30, Rekodi ambayo haijafikiwa na club yoyote hapa nchini.
Kwa upande wa pili, Mtibwa Sugar yupo katika hati ya kushuka daraja akiwa na alama 20 pekee na jumla ya michezo 26 akiwa nafasi ya mwisho kabisa katika msimamo wa Ligi.
Kikosi cha Yanga sc kinachoanza
View attachment 2989343
Kikosi cha Mtibwa Sugar fc kinachoanza
View attachment 2989346
Timu zinaingia uwanjani
00' Mpira unaanza
01' Yanga wanafanya shambulizi mpira unaenda nje
02' Mwanuke anaweka cross mpira unaenda nje
03' Kapama anawekwa chini ni freekick
04' Kapama anafanya jaribio Djigue diarra anaukamata
07' Yanga wanatawala mchezo Aziz ki anakosakosa. Ni kona
14' Lomalisa anamchezea Mwanuke faul
18' Charles Ilanfya anachezewa faul yupo chini mpira umesimama
22' Nzengeli anakosa goli, Kona
31' Aziz Ki anakosakosa goli hapa
32' Goooooal Mtibwa wanapata goli kupitia Charles Martin Ilanfya
36' Mudathir Yahya anakosa kosa goli hapa
37' Nasor kapama anachezewa faul na Sureboy
39' Aziz ki anapiga shuti kubwa linaenda nje
40' Musonda anakosa nafasi ya wazi
45' Zimeongezwa dakika 2
HT : Mtibwa Suga fc 1 - 0 Yanga sc
45' Kipindi cha pili kimeanza
45' Anatoka Djigue diarra anaingia Mshery
51' Max Nzengeli anakosa goli
59' Mwanuke anashika mpira ni faul
60' Anatoka Max Nzengeli anaingia Pacome
60'Anatoka Guede anaingia Mzinze
62' GOOOOOOOOOOOOAAAAAL KENNEDY MUSONDA
64' Mtibwa wanapata kona, anapiga mpira unaenda nje
66' GOOOOOOOOOOAL
DICKSON FODEN KIBABAGE
72'Yanga wanapata kona
73'Mtibwa wanakosa goli
73'Pacome Zouzoua anachezewa faul
80'Yanga wanapata kona anaenda kupiga Aziz ki
81' GOOOOOOOOOOOAL CLEMENT MZINZE DROGBA ANAWEKA NYAVU YA 3 BAADA YA ASSIST NZURI YA MWAMNYETO
83' Yao kouassi anachezewa faul
85' Anatoka Musonda anaingia Skudu Makudubela
86' Omary Marungu anajaribu kupiga shuti linaenda nje
90 +3' Mpira umemalizika
FT: Mtibwa Sugar fc 1 -3 Young Africans sc
Yanga inatwaa ubingwa mara 30 Ligi kuu NBC 🏆🏆🏆
Na watakuwa wameuza mechi zao zote 26 ndio maana anaburuza mkia hadi sasaHii game Mtibwa watakuwa wameuza, sio bure kabisa.