Shadeeya
JF-Expert Member
- Mar 12, 2014
- 49,759
- 118,798
Hahahaaa. Lol.Madai yake yupo bize
Ndo kama hivi yaani Mtani.👇👇👇
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaa. Lol.Madai yake yupo bize
Nendeni migahawani mkanywe chai kwa bill ya hilo kombe
Wapi?Katwila sio mtu mzuri kwa Yanga tangu akiwa Ihefu og katuliza sana wana Yanga
Hahahaaa. Lol.Nendeni migahawani mkanywe chai kwa bill ya hilo kombe
Nendeni migahawani mkanywe chai kwa bill ya hilo kombe
Tunakwenda Fifa Yanga ipokwe point kwa kumchezesha Pacome na kusababisha 5G.pamoja na yanga Bingwa
Al haj juma mgunda amesema jana bado ana matumaini na simba kuchukua ubingwa aisee hii n kulogwa
Tupo imara 🦁 tulishakua mabingwa 4times mfululu subirini ligi ianze 24/25Simba iliongoza kipindi cha Jiwe coz Bashite alimzingua sana Manji hivyo Yanga wakawa hawana mpunga ,mpira ni uwekezaji ,mwambieni MO amwage mpunga kwenye usajili ili msimu ujao kuwe na competion kali siyo Yanga tu iwe kileleni kuanzia mwanzo mpaka mwisho ,kuwe na shuka panda shuka panda.
Nani kamuoa nani!?View attachment 2989425
Ki alihama siti yake akamfata mobetto
Nani kamuoa nani!?
Mbona hatuna habari wengine?
Hata msimu huu mlisema hivyo hivyo....Kwa yanga hii naona tena kuchukua mara tano mfululizo. +2 moreTupo imara 🦁 tulishakua mabingwa 4times mfululu subirini ligi ianze 24/25
DreamHata msimu huu mlisema hivyo hivyo....Kwa yanga hii naona tena kuchukua mara tano mfululizo. +2 more
Library yako najua hukosi nyimbo za mnyama hebu nitumieHata msimu huu mlisema hivyo hivyo....Kwa yanga hii naona tena kuchukua mara tano mfululizo. +2 more
YANGA BINGWA.Library yako najua hukosi nyimbo za mnyama hebu nitumie
Hapana umesema ukweli Yanga ni Bingwaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.Yanga Bingwa, nasema uongo ndugu zangu?
MbaraliWapi?