The Legacy
JF-Expert Member
- Jun 1, 2022
- 5,879
- 11,318
Natamani wangu we hawa Yanga leo.Walau mTibwa anusulike.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fungweni kidogo na nyie jamaniii.Karibuni tena kwenye show za Gamondi, hapa utapata burudani, Elimu na kipigo kwa wenye kiherehere 💚💛💚💛
wana leo Naomba mfungqe kwa hisia I ya mtibwaKila la kheri Yanga SC chama langu bingwa mara 30 💚💚💚💚💚💛🖤💚💚💚💚💚💚💚💚💚💚
hilo ni dua la kuku Mr. Bonventure..!!Mungu saidia matokeo yawe Haya haya na mechi ijayo wafungwe na Dodoma.
Bint leo basi lenu la paredi mmelificha wapi.Hii match yetu 🤸
Tunaomba isomeke FT Mtubwa 1- Yanga 0Tunaomba isomeke live🤸
Tukutane baada ya FTTunaomba isomeke FT Mtubwa 1- Yanga 0
Bint leo basi lenu la paredi mmelificha wapi.
Kimezama shwaaaaHawa watoto wameshatudinya aisee 😭😭😭
Yaan ntashika Pumb¥ mpaka ipasuke kipindi cha pili ni kulala tuuu n kujivunjaTukutane baada ya FT
Why gamondi broHii game tukifungwa lawama namtupia gamondi
Madai yake yupo bize