Hili ndio tatizo la yangaTatizo la yanga mara zote wanapocheza na azam wanaanza vizuri lakini wakishapata goli wanaanza kujihami kujiangusha na kupoteza muda mpaka goli linarudi ndio wanahaha kutafuta lingine wakati muda umeisha na kutengeneza droo ya kizembe.
Mara zote tunapotoka sare na Azam uwa wanachomoa wao tena kizembe sana.
Kipaji Vila hela kinasaidia nini? Ndio Yale Yale ya ramadhani singano, eti leo simba wanamsema kwa kuhama timu wakati walikuwa wanamlipa kidogo, nyie washabiki mnasikia raha tu mtu anapofanya vizuri uwanjani, waacheni watu wapiganie maisha yao ya sasa na baadaeHuyu kijana huko alienda kupoteza kipaji chake. Hivi hata taifa stars kaitwa??
Muda mrefu sana hajaitwa....Inatia huruma sanaHuyu kijana huko alienda kupoteza kipaji chake. Hivi hata taifa stars kaitwa??
Leo upo Azam?Hili ndio tatizo la yanga
Mkuu wanatetea ugaliHawa watangazaji wa Azam TV wanatia kinyaa...
Full kuisifia Azam na wachezaji wake...Hivyo kabisa
Ndio mtaniLeo upo Azam?
Ilikuwa ipigwe wikendi ila ikarudishwa nyuma ili kuwapa nafasi wachezaji walioitwa taifa stars wajiungemechi hii ingepigwa wikiendi
DuNdio mtani
Matokeo tafadhariIlikuwa ipigwe wikendi ila ikarudishwa nyuma ili kuwapa nafasi wachezaji walioitwa taifa stars wajiunge
Pesa kinaendana Na kipaji pia. Tunazungumzia kesi ya Domayo, nakumbuka yanga walivyombembeleza Na dau wakapanda lakini akaondoka.!Kipaji Vila hela kinasaidia nini? Ndio Yale Yale ya ramadhani singano, eti leo simba wanamsema kwa kuhama timu wakati walikuwa wanamlipa kidogo, nyie washabiki mnasikia raha tu mtu anapofanya vizuri uwanjani, waacheni watu wapiganie maisha yao ya sasa na baadae
Mtani shemeji long time sijakuona hapa. Mnaongoza bao moja na mpira ni half time.!Matokeo tafadhari