YANGA Bingwa: Fainali ya kombe la Shirikisho Tanzania, 25.05.2016

YANGA Bingwa: Fainali ya kombe la Shirikisho Tanzania, 25.05.2016

Tatizo la yanga mara zote wanapocheza na azam wanaanza vizuri lakini wakishapata goli wanaanza kujihami kujiangusha na kupoteza muda mpaka goli linarudi ndio wanahaha kutafuta lingine wakati muda umeisha na kutengeneza droo ya kizembe.

Mara zote tunapotoka sare na Azam uwa wanachomoa wao tena kizembe sana.
Hili ndio tatizo la yanga
 
Huyu kijana huko alienda kupoteza kipaji chake. Hivi hata taifa stars kaitwa??
Kipaji Vila hela kinasaidia nini? Ndio Yale Yale ya ramadhani singano, eti leo simba wanamsema kwa kuhama timu wakati walikuwa wanamlipa kidogo, nyie washabiki mnasikia raha tu mtu anapofanya vizuri uwanjani, waacheni watu wapiganie maisha yao ya sasa na baadae
 
Huwa kuna mafundi wawili wananisikitisha sana ninapowaona wapo benchi frank domayo "chumvi" na didier Kavumbagu to be honest roho inaniuma sana.
 
Hawa watangazaji wa Azam TV wanatia kinyaa...

Full kuisifia Azam na wachezaji wake...Hivyo kabisa
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] jangwaaaaaaaaan km kawa wakimataifaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Kipaji Vila hela kinasaidia nini? Ndio Yale Yale ya ramadhani singano, eti leo simba wanamsema kwa kuhama timu wakati walikuwa wanamlipa kidogo, nyie washabiki mnasikia raha tu mtu anapofanya vizuri uwanjani, waacheni watu wapiganie maisha yao ya sasa na baadae
Pesa kinaendana Na kipaji pia. Tunazungumzia kesi ya Domayo, nakumbuka yanga walivyombembeleza Na dau wakapanda lakini akaondoka.!
 
Back
Top Bottom