Peramiho yetu
JF-Expert Member
- May 25, 2018
- 5,303
- 14,983
matusi ya nini tena bwashee? kwani kucheza na mabingwa wa zambia ni kosa?Ni Kawaida Sana kwa mimba changa kwa mwanamke kuwa na makasiriko
Simshangai mleta mada
uko sahihi sana simba wkajifunze uongozi kwa senzo jamaa ni genius sanaSimba haiwezi kucheza na Ismailia, labda under 20 ya Ismailia, Ila viongozi wenu wanajua nyie ni ma mbumbumbu.
Na kama unataka ujihakikishie siku watakayo cheza iyo mechi kama Ipo angalia Lineup ya Ismailia kama itakua na mchezaji wa kikosi Cha kwanza.
Timu kubwa hazi kulupuki.
Simba haiwezi kucheza na Ismailia, labda under 20 ya Ismailia, Ila viongozi wenu wanajua nyie ni ma mbumbumbu.
Na kama unataka ujihakikishie siku watakayo cheza iyo mechi kama Ipo angalia Lineup ya Ismailia kama itakua na mchezaji wa kikosi Cha kwanza.
Timu kubwa hazi kulupuki.
Hakuna timu yoyote kubw utacheza nayo friend match kama uja omba zaid ya miez sita mbaka mwaka.
Simba wameenda Misri lakini
nina uhakika hakuna timu yoyote kubwa wataweza kucheza nayo, labda timu za under 20 zilizo changanyika na wachezaji wa sinior timu waliokua majeruhi.
Yanga ata wakicheza na Mtibwa, kinachotafutwa ni game fitness si matokeo.
kwa jinsi kikosi cha yanga kilivyo imara hata kikcheza na rangers ya magomeni au moro kids inatosha , ma mechi ya kirafiki mengi au kuweka kambi nje ya nchi ni ushamba sana wa kizamaniRed arrows wanakalibishwa Kuja kuwapa Yanga game time, nashauri uongozi wa Yanga utafute timu nyingine za apa nchini ata kombain ya under 20 kikubwa ni kupata game time Kwa wachezaji.
Watafute timu zinazo kamia Ili Kila mchezaji apate dk 500 kabla mechi ya ngao ya jamiii.
Kitaalamu kikosi Cha Yanga kikosawa kinachotakiwa ni kuweka miiliyao tayari kabla ya mashindano.
😆 😀 😀 😀 😀WATU WENGI HAWAELEWI MAANA YA MECHI ZA KIRAFIKI.
Mechi za kirafiki zinalenga kujipima kama kile ambacho unataka kukifanya msimu ujao kina mafanikio au laa.
Sio lazima sana iwe mechi dhidi ya timu kubwa. Msimu uliopita Yanga SC walicheza na nani mkubwa? Ni hawa hawa wakina Zanaco. Baadaye tena waliporudi kwenye Ligi tuliona nini kilitokea.
Spurs kacheza vs Sevilla jana.
Kwanini asiombe mechi na Barca au Madrd?
Leipzig kacheza vs Southampton jana.
Kwanini asiombe kucheza na City au Liverpool?
Westham kacheza vs Reading jana
Kwanini asiombe mechi na Dortmund?
Hertha Berlin vs Derby County
Kwanini asicheze na Bayern Munich?
Sassuolo vs Jablonec
Kwanini asicheze na Roma AS?
We subiri habari zotoke unakotaka, ila wenzako wapo away forward kuwa mechi itakuwa ni kati yenu na Red Allows. Ni kama ambavyo mliambiwa kuwa pre-season ya turkey imekufa mkabisha ila sasa mmeamini.Aise watu mbona mnaidharirisha JF jamani. Yaani huyo mtu unaweza kabisa kumchukulia Kama chanzo chako cha habari kweli na ukakiweka humu kweli kabisa. Daaa.
We dogo punguza wivu.Simba haiwezi kucheza na Ismailia, labda under 20 ya Ismailia, Ila viongozi wenu wanajua nyie ni ma mbumbumbu.
Na kama unataka ujihakikishie siku watakayo cheza iyo mechi kama Ipo angalia Lineup ya Ismailia kama itakua na mchezaji wa kikosi Cha kwanza.
Timu kubwa hazi kulupuki.
Kwahiyo Simba ata alicheza na hao u20 kinachotfutwa sio fitness?Hakuna timu yoyote kubw utacheza nayo friend match kama uja omba zaid ya miez sita mbaka mwaka.
Simba wameenda Misri lakini
nina uhakika hakuna timu yoyote kubwa wataweza kucheza nayo, labda timu za under 20 zilizo changanyika na wachezaji wa sinior timu waliokua majeruhi.
Yanga ata wakicheza na Mtibwa, kinachotafutwa ni game fitness si matokeo.
Mbona unajishtukizia au wale ni zaidi ya Al ahly waliokufa taifa kimoko.Simba haiwezi kucheza na Ismailia, labda under 20 ya Ismailia, Ila viongozi wenu wanajua nyie ni ma mbumbumbu.
Na kama unataka ujihakikishie siku watakayo cheza iyo mechi kama Ipo angalia Lineup ya Ismailia kama itakua na mchezaji wa kikosi Cha kwanza.
Timu kubwa hazi kulupuki.
Ismailia ina ukubwa gani au sababu ipo Egypt? niambie ukubwa wake au unaongelea historyAcha kujifariji Ismailia ni timu ndogo au unataka kuifananisha na red arrows, hapo ni mazoezi tu subiri Simba day inakuja timu ya maana sio nyie mnatuletea moro fc ya zambia
Red arrows ni kubwa sana ni mabingwa wenzake na yanga lakini pre season siyo lazima mechi kubwa hata moro kids au mtibwa wanaweza cheza na yanga ikatoshaIsmailia ina ukubwa gani au sababu ipo Egypt? niambie ukubwa wake au unaongelea history
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Uto kuna nati zilikatikaga kichwani. Msimu ujao mtalia na kusambaratika.. CAF ndio sindano yenu ya moto kwisha habari yenu.Watu wakiambiwa Senzo ni genius wanabana pua na kuanza kutikisa masikio, yanga ya sasa ni mooto wa kuotea mbali kiuongozi nje na ndani ya uwanja, wakati itakapokuwa imetoka katika kambi ya kisasa huko morogoro kijijini matombo tarehe 6 machampion wa nchi watapata mechi ya kujipima nguvu na mabingwa wa zambia yaani red arrows
Sasa kama wao wanaweza walete team yenye uwezo zaidi ya red arrows..case closed , mje mkifunze jinsi ya kuendesha team kwa Senzo, ona sasa mmeenda misri bure wakati hata kambi inaweza kuwekwa hapahapa nyumbani na mechi ngumu zikapatikana.
Mwaka jana tulicheza na zanaco ya huko zambia na ndipo mlipomuonea phiri,sioni ajabu kuwaalika red arrows mwaka huu sema kolo's mnaongea mnombona mna hasira hivi nimetoka kuitwa muongo in a span of 10 seconds to this? kwani mlitarajia team gani wajameni ije?
Naona kipigo cha kina Kapumbu kimewapa somo mmeamua kuleta timu ya daraja lenu ili angalau mpate sare.Watu wakiambiwa Senzo ni genius wanabana pua na kuanza kutikisa masikio, yanga ya sasa ni mooto wa kuotea mbali kiuongozi nje na ndani ya uwanja, wakati itakapokuwa imetoka katika kambi ya kisasa huko morogoro kijijini matombo tarehe 6 machampion wa nchi watapata mechi ya kujipima nguvu na mabingwa wa zambia yaani red arrows
Sasa kama wao wanaweza walete team yenye uwezo zaidi ya red arrows..case closed , mje mkifunze jinsi ya kuendesha team kwa Senzo, ona sasa mmeenda misri bure wakati hata kambi inaweza kuwekwa hapahapa nyumbani na mechi ngumu zikapatikana.
Aziz ki ni free agent but still ndio mchezaji ghali Tanzania kwa sasa,kolo's mnadai nyie ndie mmetumia pesa nyingi kununua wachezaji then hapo hapo mnadai Yanga imeshindwa kuweka kambi nje ya coz ya pesa waliyompa aziz ki,kolo's mliandaa hadi jezi kwa ajili ya aziz ki sema mlishindwa kwenye pesaSimba walikuja na sera Yao wanasajili/wanawapa kipaombele wachezaji wa ndani, Yanga wakasena Muddy kafilisika Hana uwezo wa kusajili tena na mashabiki wa Yanga wakaashadadia kweli lakini Nyuma ya pazia kumbe Simba ndio katumia pesa zaidi kuliko Yanga coz kajiokotea wachezaji wa Bure. Sasa imepinduka Simba wanasema Yanga Hana pesa ya kuweka Kambi nje ya nchi na mashabiki wa Simba watashadadia kweli japo Yanga nao watajifanya Haina maana sana kuweka Kambi nje ya nchi. Mashabiki wa hizi timu wanaukichaa kwa mbaali ndio maana Huwa wanazielewa hizi timu