Yanga day kupambwa na Red Arrows ya Zambia, Dar itatikisika

Yanga day kupambwa na Red Arrows ya Zambia, Dar itatikisika

Simba haiwezi kucheza na Ismailia, labda under 20 ya Ismailia, Ila viongozi wenu wanajua nyie ni ma mbumbumbu.
Na kama unataka ujihakikishie siku watakayo cheza iyo mechi kama Ipo angalia Lineup ya Ismailia kama itakua na mchezaji wa kikosi Cha kwanza.
Timu kubwa hazi kulupuki.
uko sahihi sana simba wkajifunze uongozi kwa senzo jamaa ni genius sana
 
Red arrows wanakalibishwa Kuja kuwapa Yanga game time, nashauri uongozi wa Yanga utafute timu nyingine za apa nchini ata kombain ya under 20 kikubwa ni kupata game time Kwa wachezaji.
Watafute timu zinazo kamia Ili Kila mchezaji apate dk 500 kabla mechi ya ngao ya jamiii.
Kitaalamu kikosi Cha Yanga kikosawa kinachotakiwa ni kuweka miiliyao tayari kabla ya mashindano.
 
Simba haiwezi kucheza na Ismailia, labda under 20 ya Ismailia, Ila viongozi wenu wanajua nyie ni ma mbumbumbu.
Na kama unataka ujihakikishie siku watakayo cheza iyo mechi kama Ipo angalia Lineup ya Ismailia kama itakua na mchezaji wa kikosi Cha kwanza.
Timu kubwa hazi kulupuki.

Hakuna timu yoyote kubw utacheza nayo friend match kama uja omba zaid ya miez sita mbaka mwaka.
Simba wameenda Misri lakini
nina uhakika hakuna timu yoyote kubwa wataweza kucheza nayo, labda timu za under 20 zilizo changanyika na wachezaji wa sinior timu waliokua majeruhi.
Yanga ata wakicheza na Mtibwa, kinachotafutwa ni game fitness si matokeo.


WATU WENGI HAWAELEWI MAANA YA MECHI ZA KIRAFIKI.


Mechi za kirafiki zinalenga kujipima kama kile ambacho unataka kukifanya msimu ujao kina mafanikio au laa.

Sio lazima sana iwe mechi dhidi ya timu kubwa. Msimu uliopita Yanga SC walicheza na nani mkubwa? Ni hawa hawa wakina Zanaco. Baadaye tena waliporudi kwenye Ligi tuliona nini kilitokea.

Spurs kacheza vs Sevilla jana.
Kwanini asiombe mechi na Barca au Madrd?

Leipzig kacheza vs Southampton jana.
Kwanini asiombe kucheza na City au Liverpool?

Westham kacheza vs Reading jana
Kwanini asiombe mechi na Dortmund?

Hertha Berlin vs Derby County
Kwanini asicheze na Bayern Munich?

Sassuolo vs Jablonec
Kwanini asicheze na Roma AS?
 
Kikosi kimefikisha thamani ya kiasi gani jumla?
 
Red arrows wanakalibishwa Kuja kuwapa Yanga game time, nashauri uongozi wa Yanga utafute timu nyingine za apa nchini ata kombain ya under 20 kikubwa ni kupata game time Kwa wachezaji.
Watafute timu zinazo kamia Ili Kila mchezaji apate dk 500 kabla mechi ya ngao ya jamiii.
Kitaalamu kikosi Cha Yanga kikosawa kinachotakiwa ni kuweka miiliyao tayari kabla ya mashindano.
kwa jinsi kikosi cha yanga kilivyo imara hata kikcheza na rangers ya magomeni au moro kids inatosha , ma mechi ya kirafiki mengi au kuweka kambi nje ya nchi ni ushamba sana wa kizamani
 
WATU WENGI HAWAELEWI MAANA YA MECHI ZA KIRAFIKI.


Mechi za kirafiki zinalenga kujipima kama kile ambacho unataka kukifanya msimu ujao kina mafanikio au laa.

Sio lazima sana iwe mechi dhidi ya timu kubwa. Msimu uliopita Yanga SC walicheza na nani mkubwa? Ni hawa hawa wakina Zanaco. Baadaye tena waliporudi kwenye Ligi tuliona nini kilitokea.

Spurs kacheza vs Sevilla jana.
Kwanini asiombe mechi na Barca au Madrd?

Leipzig kacheza vs Southampton jana.
Kwanini asiombe kucheza na City au Liverpool?

Westham kacheza vs Reading jana
Kwanini asiombe mechi na Dortmund?

Hertha Berlin vs Derby County
Kwanini asicheze na Bayern Munich?

Sassuolo vs Jablonec
Kwanini asicheze na Roma AS?
😆 😀 😀 😀 😀
 
Aise watu mbona mnaidharirisha JF jamani. Yaani huyo mtu unaweza kabisa kumchukulia Kama chanzo chako cha habari kweli na ukakiweka humu kweli kabisa. Daaa.
We subiri habari zotoke unakotaka, ila wenzako wapo away forward kuwa mechi itakuwa ni kati yenu na Red Allows. Ni kama ambavyo mliambiwa kuwa pre-season ya turkey imekufa mkabisha ila sasa mmeamini.



CONFIRMED.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Simba haiwezi kucheza na Ismailia, labda under 20 ya Ismailia, Ila viongozi wenu wanajua nyie ni ma mbumbumbu.
Na kama unataka ujihakikishie siku watakayo cheza iyo mechi kama Ipo angalia Lineup ya Ismailia kama itakua na mchezaji wa kikosi Cha kwanza.
Timu kubwa hazi kulupuki.
We dogo punguza wivu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna timu yoyote kubw utacheza nayo friend match kama uja omba zaid ya miez sita mbaka mwaka.
Simba wameenda Misri lakini
nina uhakika hakuna timu yoyote kubwa wataweza kucheza nayo, labda timu za under 20 zilizo changanyika na wachezaji wa sinior timu waliokua majeruhi.
Yanga ata wakicheza na Mtibwa, kinachotafutwa ni game fitness si matokeo.
Kwahiyo Simba ata alicheza na hao u20 kinachotfutwa sio fitness?
Jamaa akili Zako Kama sio za mkopo sijui tu.
 
Kumbe red arrow wanaweza itikisa dar?
Mbona hamksemaga kipindi tunawafunga kwa mkapa Kama dar ilifaa kutikisika?
 
Simba haiwezi kucheza na Ismailia, labda under 20 ya Ismailia, Ila viongozi wenu wanajua nyie ni ma mbumbumbu.
Na kama unataka ujihakikishie siku watakayo cheza iyo mechi kama Ipo angalia Lineup ya Ismailia kama itakua na mchezaji wa kikosi Cha kwanza.
Timu kubwa hazi kulupuki.
Mbona unajishtukizia au wale ni zaidi ya Al ahly waliokufa taifa kimoko.
 
Simba walikuja na sera Yao wanasajili/wanawapa kipaombele wachezaji wa ndani, Yanga wakasena Muddy kafilisika Hana uwezo wa kusajili tena na mashabiki wa Yanga wakaashadadia kweli lakini Nyuma ya pazia kumbe Simba ndio katumia pesa zaidi kuliko Yanga coz kajiokotea wachezaji wa Bure. Sasa imepinduka Simba wanasema Yanga Hana pesa ya kuweka Kambi nje ya nchi na mashabiki wa Simba watashadadia kweli japo Yanga nao watajifanya Haina maana sana kuweka Kambi nje ya nchi. Mashabiki wa hizi timu wanaukichaa kwa mbaali ndio maana Huwa wanazielewa hizi timu
 
Watu wakiambiwa Senzo ni genius wanabana pua na kuanza kutikisa masikio, yanga ya sasa ni mooto wa kuotea mbali kiuongozi nje na ndani ya uwanja, wakati itakapokuwa imetoka katika kambi ya kisasa huko morogoro kijijini matombo tarehe 6 machampion wa nchi watapata mechi ya kujipima nguvu na mabingwa wa zambia yaani red arrows

Sasa kama wao wanaweza walete team yenye uwezo zaidi ya red arrows..case closed , mje mkifunze jinsi ya kuendesha team kwa Senzo, ona sasa mmeenda misri bure wakati hata kambi inaweza kuwekwa hapahapa nyumbani na mechi ngumu zikapatikana.

Uto kuna nati zilikatikaga kichwani. Msimu ujao mtalia na kusambaratika.. CAF ndio sindano yenu ya moto kwisha habari yenu.
 
mbona mna hasira hivi nimetoka kuitwa muongo in a span of 10 seconds to this? kwani mlitarajia team gani wajameni ije?
Mwaka jana tulicheza na zanaco ya huko zambia na ndipo mlipomuonea phiri,sioni ajabu kuwaalika red arrows mwaka huu sema kolo's mnaongea mno
 
Watu wakiambiwa Senzo ni genius wanabana pua na kuanza kutikisa masikio, yanga ya sasa ni mooto wa kuotea mbali kiuongozi nje na ndani ya uwanja, wakati itakapokuwa imetoka katika kambi ya kisasa huko morogoro kijijini matombo tarehe 6 machampion wa nchi watapata mechi ya kujipima nguvu na mabingwa wa zambia yaani red arrows

Sasa kama wao wanaweza walete team yenye uwezo zaidi ya red arrows..case closed , mje mkifunze jinsi ya kuendesha team kwa Senzo, ona sasa mmeenda misri bure wakati hata kambi inaweza kuwekwa hapahapa nyumbani na mechi ngumu zikapatikana.

Naona kipigo cha kina Kapumbu kimewapa somo mmeamua kuleta timu ya daraja lenu ili angalau mpate sare.
 
Simba walikuja na sera Yao wanasajili/wanawapa kipaombele wachezaji wa ndani, Yanga wakasena Muddy kafilisika Hana uwezo wa kusajili tena na mashabiki wa Yanga wakaashadadia kweli lakini Nyuma ya pazia kumbe Simba ndio katumia pesa zaidi kuliko Yanga coz kajiokotea wachezaji wa Bure. Sasa imepinduka Simba wanasema Yanga Hana pesa ya kuweka Kambi nje ya nchi na mashabiki wa Simba watashadadia kweli japo Yanga nao watajifanya Haina maana sana kuweka Kambi nje ya nchi. Mashabiki wa hizi timu wanaukichaa kwa mbaali ndio maana Huwa wanazielewa hizi timu
Aziz ki ni free agent but still ndio mchezaji ghali Tanzania kwa sasa,kolo's mnadai nyie ndie mmetumia pesa nyingi kununua wachezaji then hapo hapo mnadai Yanga imeshindwa kuweka kambi nje ya coz ya pesa waliyompa aziz ki,kolo's mliandaa hadi jezi kwa ajili ya aziz ki sema mlishindwa kwenye pesa
Screenshot_20220717-105014_Instagram.jpg
 
Back
Top Bottom