Yanga day kupambwa na Red Arrows ya Zambia, Dar itatikisika

Yanga day kupambwa na Red Arrows ya Zambia, Dar itatikisika

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Watu wakiambiwa Senzo ni genius wanabana pua na kuanza kutikisa masikio, yanga ya sasa ni mooto wa kuotea mbali kiuongozi nje na ndani ya uwanja, wakati itakapokuwa imetoka katika kambi ya kisasa huko morogoro kijijini matombo tarehe 6 machampion wa nchi watapata mechi ya kujipima nguvu na mabingwa wa zambia yaani red arrows

Sasa kama wao wanaweza walete team yenye uwezo zaidi ya red arrows..case closed , mje mkifunze jinsi ya kuendesha team kwa Senzo, ona sasa mmeenda misri bure wakati hata kambi inaweza kuwekwa hapahapa nyumbani na mechi ngumu zikapatikana.

red arrows.JPG
arrows 2.JPG
 
Aise watu mbona mnaidharirisha JF jamani. Yaani huyo mtu unaweza kabisa kumchukulia Kama chanzo chako cha habari kweli na ukakiweka humu kweli kabisa. Daaa.
 
Aise watu mbona mnaidharirisha JF jamani. Yaani huyo mtu unaweza kabisa kumchukulia Kama chanzo chako cha habari kweli na ukakiweka humu kweli kabisa. Daaa.
shida hapo ni micky jr au shida ni red arrows?
 
Mtoa mada unaweweseka sana na Yanga. Masaa 24 unaiwaza Yanga. Hebu jitafakari Kwa maana umekuwa kama kituko humu jamvini
 
Huitaji akili kubwa kujui undezi wa huyo jamaa. Ni miongoni mwa watu wanaoongoza kupost upuuzi mwingi humu jamvini. Sijui Huwa wanalipwa kufanya haya
watu weweeeeeeeeeee😀😀😀😀😀😀😀 karibuni sana red arrows
arrows 2.JPG
 
MBONA MAKASIRIKO MENGI JAMANI? HATA RED ARROWS WAME POST INGEKUWA NI ESPERANCE AU ZAMALEK AU AHLY MNGELALAMIKA HIVYO? AZIZ KI KACHAFU AMADAFTARI, KWANI MLIKUWA MNATARAJIA TEAM GANI WAUNGWANA WAJAMENI

 
Mtoa mada unaweweseka sana na Yanga. Masaa 24 unaiwaza Yanga. Hebu jitafakari Kwa maana umekuwa kama kituko humu jamvini
huitaki red arrows mkuu? ongea na senzo sasa awalete mamelodi sundowns, kwani hizi mechi za kirafiki zina maana sana? hata msimu uliopita hamkupata nyingi na mkachukua ubingwa
 
Sasa Red arrows imekuwa timu kubwa lini?
Acheni upumbavu wa kutujazia server
mbona mna hasira hivi nimetoka kuitwa muongo in a span of 10 seconds to this? kwani mlitarajia team gani wajameni ije?
 
Bro acha kuwa Nde--zi basi, huyo mtu ni wale wanaoandika chochote ili mradi tu apate comment, views na likes, she is, sorry, he is not a credible source. Elewa basi.
haya mkuu.....ila tarehe 6 usikose kwenda kuwashuhudia red arrows
 
Kama Klabu Bingwa Afrika hawafahamiki unategemea wacheze vipi na anayejielewa?

Hao bado wanatakiwa kujitangaza sana kimataifa, usiwasikilize na zile propaganda zao za "mabingwa wa kihistoria"
 
Kama Klabu Bingwa Afrika hawafahamiki unategemea wacheze vipi na anayejielewa?

Hao bado wanatakiwa kujitangaza sana kimataifa, usiwasikilize na zile propaganda zao za "mabingwa wa kihistoria"
umeona walivyonishukia kwa hasira eti naleta habari za uongo kwamba watacheza na red arrows yanga day nimeweka na post ya red arrows wenyewe jamaa wamekimbia uzi..kwani walikuwa wanatarajia mamelodi waje?
 
Yaani hawa wageni waalikwa wana kiherehere kama mkojo wa asubuhi aiseeeee yaani washafikia makubaliano na uongozi madhubuti wa yanga kuja kuipamba week ya mwananchi basi washapeleka habari kwa micky jr , kanjanja la kighana linalochukiwa na wana jangwani

Na kama haitoshi kwenye ukurasa wao wa facebook waka break news fastaaaaaaaaaa 😀 😀 kwa nini wafanye hivyo wakati waliowaalika wako kimya?

Au timing ya wenyeji wao kutangaza imekaa vibaya? wenyeji bado wana digest habari ya kambi kuwa matombo village ? bado watu wanaeleweshwa kwamba kambi za nje ya nchi siyo za muhimu? kulikuwa na matarajio ya kuona teams kubwa kama mamelodi sundows zikija?

Haya toeni tamko rasmi sasa, wajeda wa zambia wao washatoa tamko

arrows 2.JPG
 
Hakuna timu yoyote kubw utacheza nayo friend match kama uja omba zaid ya miez sita mbaka mwaka.
Simba wameenda Misri lakini
nina uhakika hakuna timu yoyote kubwa wataweza kucheza nayo, labda timu za under 20 zilizo changanyika na wachezaji wa sinior timu waliokua majeruhi.
Yanga ata wakicheza na Mtibwa, kinachotafutwa ni game fitness si matokeo.
 
Hakuna timu yoyote kubw utacheza nayo friend match kama uja omba zaid ya miez sita mbaka mwaka.
Simba wameenda Misri lakini
nina uhakika hakuna timu yoyote kubwa wataweza kucheza nayo, labda timu za under 20 zilizo changanyika na wachezaji wa sinior timu waliokua majeruhi.
Yanga ata wakicheza na Mtibwa, kinachotafutwa ni game fitness si matokeo.
Kweli kabisa ndiyo maana nasema simba hii mipango ya ki uweledi wajifunze kwa yanga, senzo ni genius
 
Hakuna timu yoyote kubw utacheza nayo friend match kama uja omba zaid ya miez sita mbaka mwaka.
Simba wameenda Misri lakini
nina uhakika hakuna timu yoyote kubwa wataweza kucheza nayo, labda timu za under 20 zilizo changanyika na wachezaji wa sinior timu waliokua majeruhi.
Yanga ata wakicheza na Mtibwa, kinachotafutwa ni game fitness si matokeo.
Acha kujifariji Ismailia ni timu ndogo au unataka kuifananisha na red arrows, hapo ni mazoezi tu subiri Simba day inakuja timu ya maana sio nyie mnatuletea moro fc ya zambia
 
Acha kujifariji Ismailia ni timu ndogo au unataka kuifananisha na red arrows, hapo ni mazoezi tu subiri Simba day inakuja timu ya maana sio nyie mnatuletea moro fc ya zambia
Simba haiwezi kucheza na Ismailia, labda under 20 ya Ismailia, Ila viongozi wenu wanajua nyie ni ma mbumbumbu.
Na kama unataka ujihakikishie siku watakayo cheza iyo mechi kama Ipo angalia Lineup ya Ismailia kama itakua na mchezaji wa kikosi Cha kwanza.
Timu kubwa hazi kulupuki.
 
Back
Top Bottom