Yanga FC yaingia mkataba mpya na SportsPesa wa miaka 3 wenye thamani ya Tsh Bilioni 12

Yanga FC yaingia mkataba mpya na SportsPesa wa miaka 3 wenye thamani ya Tsh Bilioni 12

Una akili kichwani wewe mbugila?? Unaijua bil 31 kwa miaka mitano??
Mbona mkataba wa Simba washasema tayari ni Bil 15 kwa miaka mi5?? Wewe hiyo Bil 31 umeitolea wapi??

Huna akili.
Wewe ni kiande kweli ilete statement official yoyote ya simba inayosema imeingia mkataba wa miaka 5 kwa billioni 15
 
Tunasubiri mzigo wa M-Bet kwa watani wetu ili tuone nani atanufaika zaidi na haya makampuni ya kamari.
 
Yanga leo inakwenda kuweka historia nyingene, Futilia live hapa

Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75.

---

Mabingwa wa kihistoria na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Dar Young Africans (Yanga) leo wamesaini mkataba mpya wa udhamini na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sport Pesa mkataba ambao unaweza kuwa wenye thamani zaidi kwa timu za Ligi Kuu nchini Tanzania.

Mkataba huo wenye thamani ya Shilingi Bilioni 12.335 wa miaka mitatu unaifanya SportPesa kuwa mdhamini mkuu wa Yanga kuanzia msimu mpya unaoanza wa Ligi.

Katika mkataba mpya kwa Mwaka Yanga watachota zaidi ya Shilingi Bilioni 4 tofauti na mkataba uliopita ambapo Yanga walikuwa wanapata Bilioni 1 pekee kwa Mwaka, hii ina maana hili ni ongezeko la zaidi ya Bilioni 3 kwa mwaka.

Maboresho mengine katika mkataba huo ni kuwa "Bonus" ya Ubingwa wa Ligi Kuu imeongezeka kutoka Milioni 100 hadi 150.

Huku Bonus ya kombe la FA ambayo haikuwepo hapo awai ikiongezwa ambapo Yanga watapata Milioni 75 kwa kufika hatua ya Fainali.
Mumepata hela muache kujinyeanyea sasa

Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
 
Ngoja tusubiri , maana hata Mo alisema bil 20 lakini hadi sasa tungali tunasubiri
 
B 20 za Siri byuti byuti.[emoji2][emoji2]
 
"Yanga hana hela ameshindwa kwenda pre season" alisikika mbumbumbu kolo akisema
 
Sasa yanga na simba nani anamashabiki wengi mitandaoni? Angalia official page za kila timu utajua wepi wanatumia smart phone na wepi sportpesa amefeli kupoteza mdau kama simba kwa ushabiki mandazi wa Abas Tarimba
Yanga tayar ana digital database ya wanachama wake hai ambao wamejisajili kiditali ambao ni vivid na zaidi ya hao followers wa page za mitandao ya kijamii ambao wengi wa kutengeneza
 
Mkataba bilioni nne kwa mwaka halafu ukichukua ubingwa unapewa millioni 150 hapa labda adanganywe kichaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Ina maana posho ya kuchukua ubingwa inaenda almost mara 26 ya mkataba wa mwaka. na wakati simba alivyokuwa bingwa alipewa milioni mia. Mkataba kitaaalamu umepanda almost mara nne ya ule wa awali na ilihali posho ya kuwa bingwa imepanda kwa asilimia 50.wewe ulisikia wapi kitu kama hichi

Ila sishangai kwa Tanzania ni kawaida maana yule waziri alisema asilimia 80 ya vijana wako na ajira[emoji23][emoji23]
Unajua maana ya Bonus? Au una kurupuka tu?
 
Mkataba bilioni nne kwa mwaka halafu ukichukua ubingwa unapewa millioni 150 hapa labda adanganywe kichaa[emoji23][emoji23][emoji23]

Ina maana posho ya kuchukua ubingwa inaenda almost mara 26 ya mkataba wa mwaka. na wakati simba alivyokuwa bingwa alipewa milioni mia. Mkataba kitaaalamu umepanda almost mara nne ya ule wa awali na ilihali posho ya kuwa bingwa imepanda kwa asilimia 50.wewe ulisikia wapi kitu kama hichi

Ila sishangai kwa Tanzania ni kawaida maana yule waziri alisema asilimia 80 ya vijana wako na ajira[emoji23][emoji23]
Unajua maana ya bonus?
 
Sasa yanga na simba nani anamashabiki wengi mitandaoni? Angalia official page za kila timu utajua wepi wanatumia smart phone na wepi sportpesa amefeli kupoteza mdau kama simba kwa ushabiki mandazi wa Abas Tarimba
Unaamini kwamba followers ndio mashabiki?
 
Point ni kuweka helaaa sio kujidai mwekezaji wakati hata mdhamini anakushindaa kuweka mpungaa... maarifa yako kaa nayoo mpaka siku MO akiweka bil 20 mezani sio kwenye makaratasi
Sasa kwa akili ndogo uliyonayo, kwa nini unadhani mdhamini hastahili kuweka fedha ndefu kuliko mwekezaji? Unadhani kwa nini Simba walikataa udhamini wa GSM kwenye ligi ya Bara pale alipoweka sh. 2B (bilioni mbili tu) kwa timu 16?
 
Back
Top Bottom