Gusa achieni halafu mkanye.Bado huujui Mpira wewe!
Mshindi Wa world cup Argentina na Ubora wao. Walikufa Kwa saud arabia Kwa Goli kadhaa na wakipoteza mechi lakini still waliweza kupambana na wakafika mwisho. Ili Hali huyo saud Arabia aliyemfunga Argentina hata robo hakutoboa.
Yanga akifungwa na Belozdad Goli 3 away. Na ilionekana kama haiwazekani Kwa Yanga kumfunga belozdad hata Goli mbili. Matokeo Yake wakafa NNE bila, na Yanga akafika Hadi Fainali.
Sembuse Ushindi wowote hata Wa Goli moja?
Sema chochote mbona umekuwa mpole ghafla mtaniTuko pamoja
Shukrani sana mkuu
Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mamaUko pamoja na nani wewe uko peke yako na Team lako bovu,sasa kesho nitakufundisha kumfunga mwarabu home😂😂
Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mamaSema chochote mbona umekuwa mpole ghafla mtani
Yale uliyocheza fainali ukarudi na hirizi shingoni!? Au kuna mengine!?Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mama
Mshindi wewe,Siwezi kubet chochote.....Mimi naamini ktk mawazo huru, nimetoa utabiri WANGU kupitia kile nilichokiona Mimi Wala sio dhambi
Pili, sijamkashifu Wala kumtukana shabiki yoyote wa Yanga, kiufupi haya ni maoni yangu binafsi Mimi Metronidazole 400mg
Mpira sio vita Wala ugomvi, Haina haja ya kufika huko unapotaka mkuu, mpira ni burudani, waambie na wenzio sawa??
Mnalazimisha tuwadharau tuYale uliyocheza fainali ukarudi na hirizi shingoni!? Au kuna mengine!?
😆😆 Ila ndio mashindano hayo hayo unatamba huku mtaani uliwahi kufika fainali si ndio?Tofautisha CAFCL na Yale mashindano yenu ya akina mama
Italua wewe uliweka Zawadi nzitoWeka ahadi nzito Yanga akipita tukupidid
Unataka kubet mkuu??, haya ishi na double chance kwa mnyama, usisahau kunipa hela ya bia maana mkeka lazima utiki sawa??Mshindi wewe,
Tupe basi na utabiri wa mechi ya kesho Mnyama FC tuone tunaishije.
Mtudharau wakati utopolo mlikuwa mnajigamba kwa kucheza fainali! Ficheni upumbavu wenu nyie wajinga.Mnalazimisha tuwadharau tu
CAFCL sio UMISETA yenu ya akina mama
Kikosi kipanaa kinaendelea kufinywa. Mmezoea kutamba humu ndani. Punguzeni kamdomo. Simba ndiye baba wa soka la kimataifa kwa nchi hii. Sasa wewe endelea kusema mashindano ya kina mama, labda itakusadia kupunguza maumivu.Mnalazimisha tuwadharau tu
CAFCL sio UMISETA yenu ya akina mama
Hela tuliovuma makundi hata mfike final huko kwenu umamani hamuipati😆😆 Ila ndio mashindano hayo hayo unatamba huku mtaani uliwahi kufika fainali si ndio?
Tumekwama ila 5imba kakwama zaidi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mamaMtudharau wakati utopolo mlikuwa mnajigamba kwa kucheza fainali! Ficheni upumbavu wenu nyie wajinga.
Yanga tunasema ni mchezoKikosi kipanaa kinaendelea kufinywa. Mmezoea kutamba humu ndani. Punguzeni kamdomo. Simba ndiye baba wa soka la kimataifa kwa nchi hii. Sasa wewe endelea kusema mashindano ya kina mama, labda itakusadia kupunguza maumivu.
Gusa achieni mkanye.Msibane mavi imeingia hiyo.Yanga tunasema ni mchezo
Ndo mambo ya CAFCL sio uko umamani
Hujielewi na hauna akili ya mpira. Wakati wewe unacheza hiyo michuano ukaenda hadi fainali "je nyie mlikuwa akina mama!?"Tumekwama ila 5imba kakwama zaidi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama