Yanga hawabebwi, wana timu nzuri na ya ushindani ndani ya uwanja na wana mikakati ya maana sana nje ya uwanja

Yanga hawabebwi, wana timu nzuri na ya ushindani ndani ya uwanja na wana mikakati ya maana sana nje ya uwanja

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Mpira ni mchezo wa wazi, jamaa wanavyocheza na aina ya wachezaji wao kusema kuwa wanabebwa sio ukweli Iła ni propaganda zinazoletwa na watu wetu ndani ya Simba kutuandaa kisaikolojia, hii vita ya ubingwa kwa watu wangu navowajua, nyie subirini mzunguko wa pili ławama zitakuwa kibao.

Kunambia kuwa Mukwala atanipa ubingwa msimu huu nakataa mchana peupe.

Tuongeze wachezaji dirisha dogo wachezaji Wanaomzidi uwezo Kibu Dennis, wachezaji ambao hapa nchin hata mtoto akimuona dimbani atasema huyu mtu, sio Mukwala.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024


Sio kwa ubaya Simba ni timu yetu na mwaka huu tunautaka ubingwa lakini uwezo wa timu lazima uanzie kwenye wachezajj na benchi la ufundi.
 
Rekodi za Simba mpaka sasa kwenye ligi na shirikisho ni za kuridhisha, Tulishakubali kuwa tunajenga timu, Tusiweweseke na Vyura hata wakichukua tena msimu huu sababu tulishakubaliana na hali kuwa tunajenga kikosi kipya. binafsi nionavyo hii project yetu itakuwa na mafanikio ya muda mrefu sana, dalili zote zinaonyesha.
 
Umesema ukweli sana. Watu wengi wanasema tu mapungufu ya hizo timu lakini hawazungumzi ubora hivyo kwao inakua rahisi kuamini kuna ubebwaji. Kama utaangalia mpira kwa jicho la kishabiki lazima utaona kuna ubebwaji lakini ukiangalia kwa jicho la kimpira haya mambo madogo kabisa
 
Rekodi za Simba mpaka sasa kwenye ligi na shirikisho ni za kuridhisha, Tulishakubali kuwa tunajenga timu, Tusiweweseke na Vyura hata wakichukua tena msimu huu sababu tulishakubaliana na hali kuwa tunajenga kikosi kipya. binafsi nionavyo hii project yetu itakuwa na mafanikio ya muda mrefu sana, dalili zote zinaonyesha.
Ligi ni Marathon mkuu ni mapema sana kuamua bingwa wa ligi kuu japo ulichosema ni kweli lakini tambua lolote linaweza kutokea likabadilisha upepo mzima wa ligi.
 
Kumekuwa na wimbi la watu kujifanya timu fulani ili kuisema vibaya timu hiyo. Sijajua hili limeletwa na nini.

Toa maoni yako, acheni hii tabia ya kujivika "umchome".
 
Ligi ni Marathon mkuu ni mapema sana kuamua bingwa wa ligi kuu japo ulichosema ni kweli lakini tambua lolote linaweza kutokea likabadilisha upepo mzima wa ligi.
Kabisa mkuu, ila wanaSimba tukubali hali yetu tuliyo nayo kwa sasa na tutoe pongezi. Kikosi kipya, kocha mpya, tuna point 6 shirikisho na tunaongoza ligi.

Hakuna sababu yoyote ya kuvurugana sababu Yanga wanashinda goli tano, tano. Binafsi naona future ya Simba kwa misimu mi5 ijayo ina nuru.
 
Mpira ni mchezo wa wazi, jamaa wanavyocheza na aina ya wachezaji wao kusema kuwa wanabebwa sio ukweli Iła ni propaganda zinazoletwa na watu wetu ndani ya Simba kutuandaa kisaikolojia, hii vita ya ubingwa kwa watu wangu navowajua, nyie subirini mzunguko wa pili ławama zitakuwa kibao.

Kunambia kuwa Mukwala atanipa ubingwa msimu huu nakataa mchana peupe.

Tuongeze wachezaji dirisha dogo wachezaji Wanaomzidi uwezo Kibu Dennis, wachezaji ambao hapa nchin hata mtoto akimuona dimbani atasema huyu mtu, sio Mukwala.

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 5-0 Fountain Gates FC | NBC Premier League | KMC Complex | 29 Disemba, 2024

Sio kwa ubaya Simba ni timu yetu na mwaka huu tunautaka ubingwa lakini uwezo wa timu lazima uanzie kwenye wachezajj na benchi la ufundi.
Usiwashtue wabaki na iyo dhana ya yanga anabebwa,,sijui ni timu Gani iyo inaweza kubebwa Kila mechi na kufunga idadi kubwa ya magoli Kila mechi,,na ukizingatia kwenye magoli yote ya mechi 4 Kuna penalty Moja tu lakini wanaosema yanga anabebwa wao mechi 4 penalty kibao!
 
Usiwashtue wabaki na iyo dhana ya yanga anabebwa,,sijui ni timu Gani iyo inaweza kubebwa Kila mechi na kufunga idadi kubwa ya magoli Kila mechi,,na ukizingatia kwenye magoli yote ya mechi 4 Kuna penalty Moja tu lakini wanaosema yanga anabebwa wao mechi 4 penalty kibao!

Binafsi naamini Yanga haibebwi kwa kiwango cha kutisha japo kubebwa kwenye hivi vilabu vyetu kupo, Yanga ina baadhi ya wachezaji ghali na wenye ubora kulinganisha na vikosi vya vilabu NBC.

Tukikichambua kikosi cha Yanga kuna watu wa4 pale wasipokuwepo shughuli imekwisha na mishahara yao si mchezo na huenda msimu ujao ikapanda maradufu. Hii project yao ipo msimu wa3 kama si wa4 na kikosi kinazidi kuwa cha gharama.

Muda, Tiktok tiktok tiktok. Muda utasema.

Yanga isipovuka makundi timu ikaingiza fedha, swali ni Club itaendelea kuwashikilia wachezaji aina ya Ki, Pacome, Diara na hiyo mishahara mikubwa ili wacheze ligi ya ndani washinde goli 5 5? Ikifanya hivyo msimu ujao ikafeli itaweza tena kukubali hasara kwa msimu mwingine? Ngoja tuone, muda utasema.

Hapa ndo utapata ni kwanini Mo anakuwa mjanja na usajili na kwanini Simba hupigana kufa wavuke makundi na kuingia robo ila changamoto ni kuvuka hapo.

Kiunzi cha kwanza cha wachezaji ghali wa Yanga ni Club bingwa Africa na sio kushinda goli 5' 5 kwenye ligi ya NBC .
Tiktok tiktok tiktok
 
Binafsi naamini Yanga haibebwi kwa kiwango cha kutisha japo kubebwa kwenye hivi vilabu vyetu kupo, Yanga ina baadhi ya wachezaji ghali na wenye ubora kulinganisha na vikosi vya vilabu NBC.

Tukikichambua kikosi cha Yanga kuna watu wa4 pale wasipokuwepo shughuli imekwisha na mishahara yao si mchezo na huenda msimu ujao ikapanda maradufu. Hii project yao ipo msimu wa3 kama si wa4 na kikosi kinazidi kuwa cha gharama.

Muda, Tiktok tiktok tiktok. Muda utasema.

Yanga isipovuka makundi timu ikaingiza fedha, swali ni Club itaendelea kuwashikilia wachezaji aina ya Ki, Pacome, Diara na hiyo mishahara mikubwa ili wacheze ligi ya ndani washinde goli 5 5? Ikifanya hivyo msimu ujao ikafeli itaweza tena kukubali hasara kwa msimu mwingine? Ngoja tuone, muda utasema.

Hapa ndo utapata ni kwanini Mo anakuwa mjanja na usajili na kwanini Simba hupigana kufa wavuke makundi na kuingia robo ila changamoto ni kuvuka hapo.

Kiunzi cha kwanza cha wachezaji ghali wa Yanga ni Club bingwa Africa na sio kushinda goli 5' 5 kwenye ligi ya NBC .
Tiktok tiktok tiktok
Umewafundisha jambo moja muhimu sana.

Project ya Hersi ilikuwa msimu huu kufika mbali zaidi mashindano ya CAF. Wakifeli kuvuka hata makundi msimu huu hii project inakufa sidhani hata kama atakuwa na msuli wa kusubiri msimu ujao, atauza wachezaji wote wanaoweza kuuzika afuate njia waliyochukua Simba. Ila kama tunavyowajua watafikishwa FIFA tu.

Simba ingekuwa na tamaa za wachezaji wa Yanga, ingegonga hodi kwa ajili ya Max au Pacome ambao nilisikia hawajasaini mikataba mipya na nina uhakika hili lingetikisa mfuko wa Yanga kwa nyakati kama hizi.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Umewafundisha jambo moja muhimu sana.

Project ya Hersi ilikuwa msimu huu kufika mbali zaidi mashindano ya CAF. Wakifeli kuvuka hata makundi msimu huu hii project inakufa sidhani hata kama atakuwa na msuli wa kusubiri msimu ujao, atauza wachezaji wote wanaoweza kuuzika afuate njia waliyochukua Simba.
Hahahaha, Mkuu Lainisha kidogo maneno kuna watu wana presha wasije dondoka wakishindwa kupita makundi.
 
Hahahaha, Mkuu Lainisha kidogo maneno kuna watu wana presha wasije dondoka wakishindwa kupita makundi.
Hiyo ni topic ngumu saana kwao 🤣😂🤣

Wakimfunga Mazembe watakuwa na kamdomo hawa. Mimi nataka Mazembe waje waondoe tu mashine ya kupumulia ya huyu mgonjwa mahututi, tukamzike tu tuache kulipia bure gharama za matibabu.
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Hiyo ni topic ngumu saana kwao 🤣😂🤣

Wakimfunga Mazembe watakuwa na kamdomo hawa. Mimi nataka Mazembe waje waondoe tu mashine ya kupumulia ya huyu mgonjwa mahututi, tukamzike tu tuache kulipia bure gharama za matibabu.
Mazembe anakuja hapa, wanaweza pambana wakapita. Mziki Kuna wale mabwana wawili pale juu sijui itakuaje.
 
Mazembe anakuja hapa, wanaweza pambana wakapita. Mziki Kuna wale mabwana wawili pale juu sijui itakuaje.
Wakimfunga Mazembe matumaini yanafufuka maana mahesabu yao ni kuwa wakija kucheza na Al Hilal wakati ameshavuka hawatakaza sana. Wanaamini wale Waarabu wengine ukiwachezesha kwenye jua na kuwamwagia maji ya maiti kama wanavyofanyaga wanaweza kuwafunga.

Mazembe ndiyo inabidi aje kuua matumaini yote hata kwa sare tu 🤣😂🤣
 
  • Kicheko
Reactions: Tsh
Wakimfunga Mazembe matumaini yanafufuka maana mahesabu yao ni kuwa wakija kucheza na Al Hilal wakati ameshavuka hawatakaza sana. Wanaamini wale Waarabu wengine ukiwachezesha kwenye jua na kuwamwagia maji ya maiti kama wanavyofanyaga wanaweza kuwafunga.

Mazembe ndiyo inabidi aje kuua matumaini yote hata kwa sare tu 🤣😂🤣
Hahahaha
 
Umewafundisha jambo moja muhimu sana.

Project ya Hersi ilikuwa msimu huu kufika mbali zaidi mashindano ya CAF. Wakifeli kuvuka hata makundi msimu huu hii project inakufa sidhani hata kama atakuwa na msuli wa kusubiri msimu ujao, atauza wachezaji wote wanaoweza kuuzika afuate njia waliyochukua Simba.

Simba ingekuwa na tamaa za wachezaji wa Yanga, ingegonga hodi kwa ajili ya Max au Pacome ambao nilisikia hawajasaini mikataba mipya na nina uhakika hili lingetikisa mfuko wa Yanga kwa nyakati kama hizi.
Hatukurupuku
Wakimfunga Mazembe matumaini yanafufuka maana mahesabu yao ni kuwa wakija kucheza na Al Hilal wakati ameshavuka hawatakaza sana. Wanaamini wale Waarabu wengine ukiwachezesha kwenye jua na kuwamwagia maji ya maiti kama wanavyofanyaga wanaweza kuwafunga.

Mazembe ndiyo inabidi aje kuua matumaini yote hata kwa sare tu 🤣😂🤣
Mtasubiri sana.
 
Sawa,ila nimeona vituko kwenye mechi ya coast vs Kmc. Penalty fake,inaumiza sanaaa wamuzii wetuu ni bulee sana kwa sasaa. Bodi ya ligii inapaswa kuleta majibu au dawa inakeraaa sana.
 
Back
Top Bottom