Yanga hawabebwi, wana timu nzuri na ya ushindani ndani ya uwanja na wana mikakati ya maana sana nje ya uwanja

Yanga hawabebwi, wana timu nzuri na ya ushindani ndani ya uwanja na wana mikakati ya maana sana nje ya uwanja

20241002_173233.jpg
 
Hadi sasa hivi hapa tulipofikia SIMBA tumefanikiwa sana tu kuliko NYUMA MWIKO kwasababu kuu zifuatazo;

1.Msimu huu SIMBA tumesajili kikosi kizima sambamba na benchi jipya la ufundi yaani kwa kifupi tumeanza upya. Raundi ya kwanza imeisha tunaongoza ligi tena tukiwa tumeruhusu magoli machache kuliko timu zote na tunaongoza kwa clean sheet tukiwa na clean sheet 12 kati ya michezo 15 just imagine kipa bora msimu uliopita leyi matampi alikuwa na clean sheet 15 tu. Makofi kwa coch fadlu.

2.Nyuma mwiko kikosi chao kina misimu 3 but still sisi tunaojenga timu tumeweza kumaliza raundi ya kwanza tukiwa tumefungwa magoli machache kuliko wao, tuna clean shit 12 nyingi kuliko wao,tumekusanya alama nyingi 40 kuliko wao. Na tunaongoza ligi.

3.Tunajenga timu so UPS and DOWNS lazima ziwepo.
 
Hadi sasa hivi hapa tulipofikia SIMBA tumefanikiwa sana tu kuliko NYUMA MWIKO kwasababu kuu zifuatazo;

1.Msimu huu SIMBA tumesajili kikosi kizima sambamba na benchi jipya la ufundi yaani kwa kifupi tumeanza upya. Raundi ya kwanza imeisha tunaongoza ligi tena tukiwa tumeruhusu magoli machache kuliko timu zote na tunaongoza kwa clean sheet tukiwa na clean sheet 12 kati ya michezo 15 just imagine kipa bora msimu uliopita leyi matampi alikuwa na clean sheet 15 tu. Makofi kwa coch fadlu.

2.Nyuma mwiko kikosi chao kina misimu 3 but still sisi tunaojenga timu tumeweza kumaliza raundi ya kwanza tukiwa tumefungwa magoli machache kuliko wao, tuna clean shit 12 nyingi kuliko wao,tumekusanya alama nyingi 40 kuliko wao. Na tunaongoza ligi.

3.Tunajenga timu so UPS and DOWNS lazima ziwepo.
Sahihi kabisa. Simba ina project mpya inayohitaji muda kutoa matokeo endelevu ila vijana wanapambana. Mpinzani wetu kwa kikosi alichokuwa nacho na majigambo ya mwanzoni mwa msimu anahitaji matokeo ndiyo maana mechi moja akitetereka wanatafutana. Pressure ipo kwa uto.
 
Hili li kocha ni noma
Kila nikiwaza wapigwe ndo wanachochea moto
Kocha Ramovic anamzidi Gamondi kwa kitu kimoja tu, kutumia kikosi kizima kila mchezaji Yanga sasa anacheza hii inafanya wachezaji kuwa na nguvu na kujituma sana na timu kucheza kwa kasi na kukaba sana kwa pamoja. Wachezaji hawachoki maana wanapishana, maua mengi kwa Ramovic. Walio karibu yake wamwambie kocha Ramovic ashikilie bomba falsafa hiyo inalipa sio kuchezesha wachezaji fulani hao hao kila mechi wanajiona wakubwa, wanachoka, walio benchi wanachukia kuuliwa vipaji, timu pinzani zinasoma uchezaji wao nk. Ila asimuweke sana benchi Kepteni Beka.

Nampongeza sana kocha Ramovic kwa sub zake 5 kuanzia dkk ya 50 na 60 waliochoka wanaenda nje bila kujali jina la mchezaji na wanaoingia wanafanya timu kuwa mpya sio kuweka nguvu mpya dkk ya 80 haina faida yoyote.

Hii Yanga sasa imerudisha makali yake na namna yake ya kucheza kwa asilimia kubwa ukiwa na mpira lazima wauchukue wakuadhibu hasa first half, kipindi cha pili Yanga inapunguza kukaba why? hiyo ifanyiwe kazi kabla ya kukutana na makolo maana ndio wana key ya kombe letu, tukiwanyoa tu kazi imekwisha maana washanunua marefa wote ni mbeleko tu mechi haiishi hadi Simba ifunge goli, mechi ya JKT ilichezwa dkk 100 kusubiri Simba ifunge na kama wasingefunga mda ule mechi ingeisha saa nne usiku, ukibisha rejea video yake!

Yanga bingwa!
 
Tunawashukuru mashabiki WA Simba kuja na kuijadili Yanga hapa🤣🤣🤣🤣na bado😅😅😅😅
 
Huwa nataman kusema hvyo lakin nikikumbuka walituchapa na sisi tena kuna mechi refa alitubeba bila hvyo tungepigwa tena 5,pia walifika fainali shirikisho na wametoa draw na tp mazembe ugenini
 
Sahihi kabisa. Simba ina project mpya inayohitaji muda kutoa matokeo endelevu ila vijana wanapambana. Mpinzani wetu kwa kikosi alichokuwa nacho na majigambo ya mwanzoni mwa msimu anahitaji matokeo ndiyo maana mechi moja akitetereka wanatafutana. Pressure ipo kwa uto.
Mnaanza kubadili gia angani,,si mlisema mmejipata tiyali,,ayo majigambo mlikuwa nayo nyie baada ya yanga kuyumba kidogo sasa moto umerudi mnatafuta pa kuegemea,,mnaposhinda mnasema mmejipata na mambo yakienda mlama mnasema tunajenga timu,,
 
Hadi sasa hivi hapa tulipofikia SIMBA tumefanikiwa sana tu kuliko NYUMA MWIKO kwasababu kuu zifuatazo;

1.Msimu huu SIMBA tumesajili kikosi kizima sambamba na benchi jipya la ufundi yaani kwa kifupi tumeanza upya. Raundi ya kwanza imeisha tunaongoza ligi tena tukiwa tumeruhusu magoli machache kuliko timu zote na tunaongoza kwa clean sheet tukiwa na clean sheet 12 kati ya michezo 15 just imagine kipa bora msimu uliopita leyi matampi alikuwa na clean sheet 15 tu. Makofi kwa coch fadlu.

2.Nyuma mwiko kikosi chao kina misimu 3 but still sisi tunaojenga timu tumeweza kumaliza raundi ya kwanza tukiwa tumefungwa magoli machache kuliko wao, tuna clean shit 12 nyingi kuliko wao,tumekusanya alama nyingi 40 kuliko wao. Na tunaongoza ligi.

3.Tunajenga timu so UPS and DOWNS lazima ziwepo.
Bado unaendelea kutuletea vitakwimu uchwara ujakoma tu,,unachekesha sana we jamaa Yani kuruhusu goli 5 na mwenzako 6 na yenyewe ni mafanikio? Kuongoza ligi kwa point 1 na yenyewe ni mafanikio kwako? Sasa hivi lile neno la tunaongoza kwa magoli umelifuta umebaki na ayo mawili na yenyewe yatafyekwa muda si mrefu!
 
Back
Top Bottom