Jamaa_Mbishi
JF-Expert Member
- Jun 15, 2013
- 9,626
- 6,731
Yanga si timu ya maana kimataifa, bora wawaachie Simba na Namungo tu. Hapa TFF iwaombe tu Yanga waache kuliwakilisha taifa, wanatutia haibu mno.Baada ya kuangalia mchezo wa leo baina ya Simba na Yanga, ni dhahiri yanga hawana timu ya kufanya maajabu ligi ya mabingwa msimu ujao.
Timu imejengwa kumzunguka mtu mmoja tu kiasi kwamba akishadhibitiwa basi tu inatepeta.
Simba ndio kipimo cha watakachokutana nacho ligi ya mabingwa. Kama Yanga wako serious wanatakiwa kusajili hasa wachezaji wenye uwezo wa kuamua michezo migumu. Sio hawa kina sure boy..
View attachment 2206582
Kombe gan hilo? Si utuambie, na alicheza na team ipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tatizo mpira umeujulia ukubwa inawezekana kipindi hiko may be ulikuwa umehifadhiwa kwenye zipu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3] mumuambie huyo mayele wenu, Simba sio Namungo au Azam. UwiiiiiiihNjoni muyaone Makolo yanashangilia Mayele kutofunga imekuwa sherehe[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilimsikia haji akisema.eti hawa Rivers wakiambiwa warudiane na Yanga si watapoteana ... 😂😂😂 Jamaa ana jiongelea tubaada ya ile mechi ya ngao ya jamii mkajipa moyo clabu bingwa mtatesa ilikuwaje hapo uto wasahaulifu sana
👇👇👇
View attachment 2206645
Kama Simba hii iliyofungwa na mbeya city+ kagera wanafika robo Leo yanga hii ambayo inaongoza ligi bila kufungwa ndio washindwe kufurukuta?
Kwani aliye ingia 1998 na 2022 utofauti wake upo wapi? au labda Yanga alikuwa anacheza na mikono na Simba alikuwa anacheza na miguu.Sasa utasemaje iko sawa na timu iliyoingia robo fainali 2022
Naweza ukakuta unaye zungumza nae hata mpira hajui unachezajwe na ndio maana nilikuambia ulikuwa bado upo kwenye zipu.Kombe gan hilo? Si utuambie, na alicheza na team ipi? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahah poleeeeh kwa kuteseka.
Wangemtoa halafu ndio ungeona zile clear chance za Nkane na Mayele zingekuwaje.Simba jana walikuwa na uwezo wa kumtoa Manula golini na bado mpira usingeingia wavuni kwao
haya tutaona huo muunganiko wenuTwende kwa fact:
1) kuna wachezaji hawakucheza Mayele, Djuma na Aucho
2) kikosi hakikupata muda wa kutosha kuandaliwa kwaajili ya klabu bingwa kwenye pre season na wakacheza mechi moja tu ya kirafiki.
Lakini Simbo ambao walitumia zaidi ya mwezi kwenye maandalizi ya klabu bingwa kwa kuweka kambi Morocco na Arusha huku wakicheza michezo kibao ya kimataifa ya kirafiki lakini wametolewa na Galaxy na kutupwa nje kwenye klabu bingwa
kwao hao ng'ombe wawili walishindwaje kutumia clear chance?Wangemtoa halafu ndio ungeona zile clear chance za Nkane na Mayele zingekuwaje.
mbona jana walikuwa uwanjani sikuona maajabu yoyote😀 Mayele, juma,Bangala,Aucho na moloko uliwaona uwanjan?
Nasubiri jibu hapaWewe unazani vigezo gani wanavyo vitumia kampuni za kamari, kupanga zile points zao?
Kilo moja ya pamba na kilo moja ya mawe ipi nzito?Sasa utasemaje iko sawa na timu iliyoingia robo fainali 2022
Kwanini hakutokaSimba jana walikuwa na uwezo wa kumtoa Manula golini na bado mpira usingeingia wavuni kwao