Yanga ikiingia robo fainali inaweza kuipaisha Simba katika rank za CAF na FIFA

"Theory" yangu inaenda kutimia na nawashukuru "wazee" walioona maono yangu haya yanafaa na kuyafanyia kazi kwa manufaa ya taifa.
Wewe ni usiyejua mpira na uliyekosa akili ya mpira Yanga wamefanya kwa jitihada zao na kwa malengo yao wala hakuna kikao kilichokalika baina ya Simba na Yanga kushirikiana katika hili. Acha ujinga basi badilika. Na kingine ni kwamba Es Tunis kaongeza point 3 wakati timu yako imepata point moja.
Hao Belouizdad mpaka sasa mmepunguza point moja tu kwake.
 
Kila mtu ashinde mechi zake hamna kusafiria nyota
 
"Theory" yangu inaenda kutimia na nawashukuru "wazee" walioona maono yangu haya yanafaa na kuyafanyia kazi kwa manufaa ya taifa.
Kwahiyo umekaa hapo ukaamini kuwa Simba na Yanga wakakaa chini kushirikiana kumfunga Belouizdad? Basi una matatizo makubwa sana kichwani aisee
 
Halafu cha ajabu uzi mzima Unazungumzia tu Belouizdad, utafikiri ndio timu pekee ambayo ipo juu ya Simba, umewaacha kuzungumzia Petro Atletico ambao ndio kidogo mmelingana point na kwa bahati mbaya kaishafuzu robo fainali. Umeacha kuzungumzia Es Tunis ambao ndio kwa Simba ndio wanamlima mkubwa wa point (point 75 vs point 45) naishia hapo hapo sitaki kwenda juu huko kwa Mamelod.

Sasa unakazana kuandika mawazo ya kijinga tu hata kufikiria wala hufikirii kwahiyo tokea ucheze je kwa huyo Belouizdad unayemuwazia kichwani kwako umepunguza point ngapi kwake?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…