Hao wote uliowataja walipokuja hawakuwa wakubwa. Walikuwa kama Mzinze tena wakati anakuja Yanga. Kwa hiyo huwezi kusema Yanga iliwaleta wachezaji wakubwa. Wachezaji wakubwa wanajulikana, kama Ronwen Williams, Perci Tau, El Shenawy, Hussein El Shahat, Mayele, Ramadan Sobhi and the like. Hao ukiwaleta unaweza kusema wamekuja wachezaji wakubwa, lakini sio akina NzengeliKama wachezaji wakubwa Africa kama Aziz Ki, pacome, Aucho, Yao, Diara , nzengeli, che Malone, Dube wamekuja kucheza Tanzania unataka mchezaji mdogo kama Mzize aende nchi gani Africa?
Akina Aziz Ki, Chama, Dube, Diara walikuja wakiwa wakubwa hivyohivyo na wanatakiwa na timu kubwa hadi sasa lakini wamebaki Yanga. Simba kuwaachia Chama, Miquison, Sako; Azam kumuuza kumuuza kipre jr waende timu kubwa wakati Bado wanawahitaji ndio sifa halisi za timu ndogo (feeder clubs). Yanga kiwabakisha wachezaji wake walioifikisha timu robo final CAF championship ndio sifa za timu kubwa duniani na zenye malengo ya kibiashara. Wawekezaji huwa wanapenda kuwekeza kwenye timu zinazofanya vizuri kwenye mashindano makubwa. Sio ajabu kuona mashirika ya ndege makubwa kama fly Emirates, Dubai, Lufthansa ukayaona kwenye jezi za Yanga siku zikazo kama Yanga ikiendeleza sifa za timu kubwa Afrika. Sasa hivi wanaweza kuona ni hasara kumbakiza akina Aziz Ki na Mzize lakini itawalipa muda si mwingi.Hao wote uliowataja walipokuja hawakuwa wakubwa. Walikuwa kama Mzinze tena wakati anakuja Yanga. Kwa hiyo huwezi kusema Yanga iliwaleta wachezaji wakubwa. Wachezaji wakubwa wanajulikana, kama Ronwen Williams, Perci Tau, El Shenawy, Hussein El Shahat, Mayele, Ramadan Sobhi and the like. Hao ukiwaleta unaweza kusema wamekuja wachezaji wakubwa, lakini sio akina Nzengeli
Wazawa wanaofanya vizuri lazima walipwe vizuri sawa na wageni wanaofanya vizuri. Mzize kama ataendelea kufanya vizuri atalipwa vizuri Yanga ili abaki. Nchi za waarabu Zina ubaguzi mkubwa sana, kiwango chake kinawezakwenda ishia huko. Waarabu wasingeweza kumvumilia Mzize kukosa magoli akiwa yeye na goli keeps TU. Hiyo iliwezekana Yanga TU.Mzize ni bora kuliko Dube wakati anasajiliwa na Azam kutokea huko kwao Zimbabwe timu ndogo. Ndio maana Feisal alijiongeza kwa hizi mentality za kudharau wazawa
Shida ya Mashabiki wa Mpira wa Tanzania hasa wa Simba na Yanga wanatamani timu pinzani yenye mchezaji mzuri impoteze ili wapate nafuu wanapokutana.Wazawa wanaofanya vizuri lazima walipwe vizuri sawa na wageni wanaofanya vizuri. Mzize kama ataendelea kufanya vizuri atalipwa vizuri Yanga ili abaki. Nchi za waarabu Zina ubaguzi mkubwa sana, kiwango chake kinawezakwenda ishia huko. Waarabu wasingeweza kumvumilia Mzize kukosa magoli akiwa yeye na goli keeps TU. Hiyo iliwezekana Yanga TU.
Shida ya Mashabiki wa Mpira wa Tanzania hasa wa Simba na Yanga wanatamani timu pinzani yenye mchezaji mzuri impoteze ili wapate nafuu wanapokutana.
kwa hiyo Yanga hawakuhitaji kubaki na Mayele?Yanga kiwabakisha wachezaji wake walioifikisha timu robo final CAF championship ndio sifa za timu kubwa duniani
Una hoja usikilizweKama wachezaji wakubwa Africa kama Aziz Ki, pacome, Aucho, Yao, Diara , nzengeli, che Malone, Dube wamekuja kucheza Tanzania unataka mchezaji mdogo kama Mzize aende nchi gani Africa? Ni timu ngapi Afrika hazitaki kuwa na kocha kama Gamondi, Nabi kwenye timu zao?
Mzize awaze kwenda ulaya sio Afrika.
Yanga imeanza kuwa na tabia za timu kubwa Afrika, kubakia na wachezaji wake wazuri na kuchukua wachezaji wazuri kutoka timu nyingine ndogo. Imedhamiria kuleta kombe la CAF Tanzania.
kwa hiyo Yanga hawakuhitaji kubaki na Mayele?aue
Kuna wakati hata timu kubwa zenye pesa inapoyeza wachezaji muhimu. Mbappe aliondoka PSG hata pale PSG walipokuwa wanahitaji bado. Wacongo Wana stresses zao na Yanga haikuwa tayari kumbakisha mayelle kwa bei Ile.kwa hiyo Yanga hawakuhitaji kubaki na Mayele?
Manula aliwahi kuwajibu wachambuzi waliokuwa wanahoji kwanini asiende kutafuta changamoto mpya nje ya nchi kwa kuwaambia issue sio kwenda nje ya nchi bali unaenda nchi gani kwa maslahi yapi? Kama wachezaji wa Columbia, Mali, Morocco, ivory coast, Ghana, Nigeria, Burkina Faso, south Africa, Rwanda, Uganda, Sudan, Burundi, Kenya, Brazil nk wanakimbilia ligi ya Tanzania, Mimi niende wapi Africa?Una hoja usikilizwe
Hakika aliewaita utopwinyo aliwaza mbali sanaKama wachezaji wakubwa Africa kama Aziz Ki, pacome, Aucho, Yao, Diara , nzengeli, che Malone, Dube wamekuja kucheza Tanzania unataka mchezaji mdogo kama Mzize aende nchi gani Africa? Ni timu ngapi Afrika hazitaki kuwa na kocha kama Gamondi, Nabi kwenye timu zao?
Mzize awaze kwenda ulaya sio Afrika.
Yanga imeanza kuwa na tabia za timu kubwa Afrika, kubakia na wachezaji wake wazuri na kuchukua wachezaji wazuri kutoka timu nyingine ndogo. Imedhamiria kuleta kombe la CAF Tanzania.
We nae n mpumbavu..Hao wote uliowataja walipokuja hawakuwa wakubwa. Walikuwa kama Mzinze tena wakati anakuja Yanga. Kwa hiyo huwezi kusema Yanga iliwaleta wachezaji wakubwa. Wachezaji wakubwa wanajulikana, kama Ronwen Williams, Perci Tau, El Shenawy, Hussein El Shahat, Mayele, Ramadan Sobhi and the like. Hao ukiwaleta unaweza kusema wamekuja wachezaji wakubwa, lakini sio akina Nzengeli
Ally Kamwe kasema mashabiki wa Yanga walikua wanaenda inbox ya Mzize kumtukana na wengine wanatafuta namba yake ya simu kabisa. Sijui uvumilivu gani unaoungelea hapa?Wazawa wanaofanya vizuri lazima walipwe vizuri sawa na wageni wanaofanya vizuri. Mzize kama ataendelea kufanya vizuri atalipwa vizuri Yanga ili abaki. Nchi za waarabu Zina ubaguzi mkubwa sana, kiwango chake kinawezakwenda ishia huko. Waarabu wasingeweza kumvumilia Mzize kukosa magoli akiwa yeye na goli keeps TU. Hiyo iliwezekana Yanga TU.
Kuku wako mwenyewe manati ya nini kumbe usemi huu bado una nguvuWazawa wanaofanya vizuri lazima walipwe vizuri sawa na wageni wanaofanya vizuri. Mzize kama ataendelea kufanya vizuri atalipwa vizuri Yanga ili abaki. Nchi za waarabu Zina ubaguzi mkubwa sana, kiwango chake kinawezakwenda ishia huko. Waarabu wasingeweza kumvumilia Mzize kukosa magoli akiwa yeye na goli keeps TU. Hiyo iliwezekana Yanga TU.