Yanga imeacha kuwa feeder club kwa timu za Africa, Mzize bado yupo.

Yanga imeacha kuwa feeder club kwa timu za Africa, Mzize bado yupo.

Hatuthamini vya kwetu, wachezaji wa kigeni ndo bora zaidi kwetu.
 
Yasije yakamkuta kama ya mrisho ngasa na wasudan.
Mwisho atajuta
 
Mchambuzi Samuel Rashid wa EAFM alikuwa akimdis Mzize kuwa hastahili kuwepo timu kubwa kama Yanga
Ally Kamwe kasema mashabiki wa Yanga walikua wanaenda inbox ya Mzize kumtukana na wengine wanatafuta namba yake ya simu kabisa. Sijui uvumilivu gani unaoungelea hapa?
a
 
Hao wote uliowataja walipokuja hawakuwa wakubwa. Walikuwa kama Mzinze tena wakati anakuja Yanga. Kwa hiyo huwezi kusema Yanga iliwaleta wachezaji wakubwa. Wachezaji wakubwa wanajulikana, kama Ronwen Williams, Perci Tau, El Shenawy, Hussein El Shahat, Mayele, Ramadan Sobhi and the like. Hao ukiwaleta unaweza kusema wamekuja wachezaji wakubwa, lakini sio akina Nzengeli
Ongezea na Rami Rabia beki ya mpira

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mbona mamelods hawamuuzi shalulile na Allende? Al-Alhly hawamuuzi Rabia na percy?!Yaani wewe unataka kushiriki michuano ya CAF championship yenye utajiri wa mapesa mengi kwa Kila hatua halafu wewe unamuuza mchezaji wako muhimu kwa Hela kidogo TU. Sio Yanga hii ya Hersi labda Yanga ya magoma
Ongezea na Rami Rabia beki ya mpira

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Mzize ni bora kuliko Dube wakati anasajiliwa na Azam kutokea huko kwao Zimbabwe timu ndogo. Ndio maana Feisal alijiongeza kwa hizi mentality za kudharau wazawa
Fedha kwenye timu kubwa hazitokani na uuzaji wa wachezaji wake, bali udhamini mkubwa kutokana na mafanikio makubwa ya timu. Huwezi kuuza wachezaji wako imara halafu uwe timu kubwa Afrika na huwezi kupata fedha nyingi kwa kuuza wachezaji.
 
Back
Top Bottom