Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
Halafu Kuna mtu anailaumu yanga kufungwa na riversDaah mi mwenyewe nimeshangaa wydad kapasuka kwa Rivers
Daah mi mwenyewe nimeshangaa wydad kapasuka kwa Rivers
Mashindano gani hili bango fekiSawa
Hao wagumu sisi tulipiga 4.View attachment 2382022
Sisi hatujalia ila Kuna mapimbi wanafananisha al hilal na agosto ya NamungoAli kamwe alisema uwekwzaji mliofanya nyie ni mkubwa kuliko al hilal baadae akaja msukule wenu yule akasema iwe jua iwe mvua
Baada ya kushindwa kufanya vizuri hapo kwa mkapa mmeanza vilio
Ule ulikuwa msimu wa corona kakaIv unakumbuka Simba aliongoza kundi ambalo Al ahly ipo ndg? Usijitoe ufaham hata hawa Agosto wangewapiga haya mashindano yanahitaji nidham sana sio dharau kama mlizokuwa mnafanya
Sawa ila huyu ni bingwa mtetezi tulitegemea ataanza na moto maana hata usajili kafanya mzuri pia.Unashangaa vipi wakati mpira una matokeo 3.
Wydad nao wanacheza 11.kufungwa ni kawaida
Bango fake? 2020 tumemla 4-1 [emoji23][emoji23][emoji23] halaf tunaomba tupangwe nae kundi moja basiMashindano gani hili bango feki
Daah mi mwenyewe nimeshangaa wydad kapasuka kwa Rivers
Bango fake? 2020 tumemla 4-1 [emoji23][emoji23][emoji23] halaf tunaomba tupangwe nae kundi moja basi
Hata ule michezo wa kirafiki hilal pamoja na kushinda ila alipigwa msako mpaka wakataka kurusha ngumi.Bango fake? 2020 tumemla 4-1 [emoji23][emoji23][emoji23] halaf tunaomba tupangwe nae kundi moja basi
We Kweli Akili Yako Mgando...ZirooooooJe mnajua kama vipers wa siku ya mwananchi amedroo na TP mazembe Leo. Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Africa WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndo atalinganisha Al hilal na hawa agosto wa namungo
Yah Hilo linajulikana wydad atafuzuUtashangaa zaidi utavyoona Waydad ndie atakaeufuzu kwenda group stage
Mpira wa africa timu ikiwa away inacheza tofauti na timu ikiwa home ground.
Vipers ka draw na mazembe akiwa uganda..