Yanga ina bahati ya kukutana na timu ngumu ngumu

Yanga ina bahati ya kukutana na timu ngumu ngumu

Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?

Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Afrika WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
Zalan nayo timu ngumu!?
 
Sisi hatujalia ila Kuna mapimbi wanafananisha al hilal na agosto ya Namungo
Hata wewe pia ni pimbi kulia lia kwa vitu vidogo kama hivyo kubali mkeka umechanika ila sio mwisho wa ibada
 
Enzi niko shule kuna mtu kapata 20 anamcheka mwenye 0 wakati wote ni F
 
IMG-20221009-WA0017.jpg
 
Unataka kujua kwanini Yanga amekutana na Al Hilal(timu ngumu) na Simba akapewa De Agosto ambao ni wepesi???

Iko hivi, Kwenye hizi round za kwanza timu kubwa hukutana na timu ndogo. Huwezi kuona Al Ahly akipangwa na Wydad au RS Berkane Vs Simba au Mamelod Vs Mazembe. Ni mkubwa Agaist mdogo. Na ndio maana Yanga(underdog) akapewa Al Hilal, Simba(giant) kapewa De Agosto. Yanga Mkitaka kuvuka kwenye hicho kihunzi kuna Mstari mnapawaswa ku-uvuka, fungeni hao wakubwa mnaopangwa nao mpande daraja, sio lelemama lakini. Na kama mnataka kuona Simba akikutana na hao wakubwa wanaowasumbua inakuaje lipieni Visimbuzi vyenu yajayo yanafurahisha.
 
Utashangaa zaidi utavyoona Waydad ndie atakaeufuzu kwenda group stage

Mpira wa Afrika timu ikiwa away inacheza tofauti na timu ikiwa home ground.

Vipers ka draw na Mazembe akiwa Uganda..
Mkumbushe simba pia uliwahi kudraw na mazembe
 
Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?

Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Afrika WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
Hivi kwa akili yako ndogo unadhani kutoa suluhu na TP Mazembe nyumbani kwako ndio kutakupa salama pale utakapotua Kinshasa?

Unadhani kuwa Rivers kumfunga Wydad Ac pale Nigeria huku wakifanikiwa kupata goli moja la ugenini ndio kutaipa salama Rivers pale itakapotua Casablanca??


Hizo undergogs Vipers na Rivers mtakwenda kukutana nazo huko kwenye shirikisho.Timu kubwa zinajua zinachokitafuta pindi zinapocheza away.

Hutafuta suluhu au kama wakifungwa basi wapate walau goli/magoli ya ugenini ili shughuli wakaimalizie nyumbani kwao.


Uto kusuluhu na Al hilal nyumbani kisha kuruhusu goli la ugenini basi haliwezi kumpa salama pale Omdurman, Sudan.
 
Plateu united nao wamemfunga esperence ya tunisia

Ila hao hao plateu waliwahi fungwa na simba hapo hapo kwao

Sasa ukiamua kulinganisha linganisha kotekote

Kwa hio esperence ni wepesi na simba ni wagumu?
 
Kiukweli Agosto wanajua mpira huwezi linganisha na Al hilal...Ukweli utawaweka huru..oohooo
 
Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?

Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Afrika WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
Tatizo mnashindwa kuelewa kuwa timu lenu bovu na kusingizia ugumu wa Al Hilal.

Al Ahly bingwa Africa alipigwa na Simba Lupaso hamkushangaa leo mnashangaa ya Rivers. Kwa hiyo mnajifariji na huo upuuzi. Endeleeni ila kinachofuata huko Sudan mtakiona
 
Back
Top Bottom