Yanga ina bahati ya kukutana na timu ngumu ngumu

Yanga ina bahati ya kukutana na timu ngumu ngumu

Sawa ila huyu ni bingwa mtetezi tulitegemea ataanza na moto maana hata usajili kafanya mzuri pia.
Moto upi wakati Mahesabu ya wydad na experence ni kumaliza gemu nyumbani ,team zinatumia uwanja wa nyumbani vizuri ukikosa matokeo nyumbani ni ulegevu ,team za Nigeria zote zimeshinda nyumbani ndio maana ligi yao ipo kumi bora point zao zinaongezeka Sasa sisi tuna team Moja tu imayoweza kushinda nyumbani point zinaongezeka kidogo.Team zingine zimemsusia Simba haya ,ashindano
 
Utashangaa zaidi utavyoona Waydad ndie atakaeufuzu kwenda group stage

Mpira wa africa timu ikiwa away inacheza tofauti na timu ikiwa home ground.

Vipers ka draw na mazembe akiwa uganda..

Rivers ni timu yangu pale Nigeria naipenda sana tuuu.. Ila akienda kwa waarabu anakufa hata 5 kimya
 
Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?

Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Africa WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
IMG-20221009-WA0113.jpg
 
Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?

Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Africa WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
Utopolo ni Utopolo tu, Weka rank ya CAF hapa tuone, we ni wa ngapi, na de agosto ni ya ngapi?

Sent from my LDN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?

Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Africa WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
Peleka ujinga Huko, Mbona sis hao Al Hilal tuliwafunga nne Moja Taifa na nyie mmeshindwa
 
Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?

Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Afrika WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
What is your logic ? Astoni villa alimfunga Liverpool goli 7 lakini mbona hakuweza kuchukua ubingwa au kufunga wengine Saba? Mpira hauko hivyo kwasababu Fulani amemfunga Fulani ndio Bora sana. Mpira inategemea jinsi ulivyojiaanda na mpinzani wako Yukoje.
 
Timu ngumu baada ya kupata sare kabla ya hapo Al Hilal bado hawana timu, sisi tunakikosi bora iwe jua, iwe mvua kwa Mkapa anakula nne.

Mechi ngumu mliyocheza ni ile dhidi ya Zalan.
 
Hivi unakumbuka Simba aliongoza kundi ambalo Al ahly ipo ndugu? Usijitoe ufahamu hata hawa Agosto wangewapiga haya mashindano yanahitaji nidham sana sio dharau kama mlizokuwa mnafanya.
Tofautisha kuongoza na na mtoano aisee, wale Al ahly mngekutana nao kwenye mtoano ingekua ishu nyingine , kumbuka na hao hao ndio walichukua kombe

Sent from my Infinix X627 using JamiiForums mobile app
 
Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?

Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Afrika WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
Hayo yamekuja baada ya nyie kutoa sare na Al hilal..Ila kabla ya hapo mlikuwa mnajidanganya eti Kwa lupaso Al hilal iwe mvua iwe Jua wanafungwa[emoji23].. na afisa habari wenu akawajaza ujinga kuwa Al hilal n timu ya kawaida....

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?

Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Afrika WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
Kwaio yanga ni mbovu sana eeh. Tena ni underdog kabisa mwiko nyuma ukiwa kama mkia
 
  • Thanks
Reactions: BRN
Back
Top Bottom