MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Hivi Agosto unalijua kweli we?
Agosto ni bingwa wa Angola nchi ambayo pia yupo Petro de Luanda.
Kweli nyie Utopolo?!! ni hivi Namungo aliwafunga kwa figisu hapo kwa MKAPA akisema kikosi Cha kwanza na wachezaji walio Baki Wana korona [emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Agosto ni bingwa wa Angola nchi ambayo pia yupo Petro de Luanda.
Kweli nyie Utopolo?!! ni hivi Namungo aliwafunga kwa figisu hapo kwa MKAPA akisema kikosi Cha kwanza na wachezaji walio Baki Wana korona [emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]