MWANAHARAMU
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 4,041
- 10,699
Unajua berkane Mabingwa Afrika walikufa kwa Mkapa!! Mwaka huu huu.Sisi hatujalia ila Kuna mapimbi wanafananisha al hilal na agosto ya namungo
Kaka usiangaike kubishana nao safari yao inaenda kutamatika Sudani.Bango fake? 2020 tumemla 4-1 [emoji23][emoji23][emoji23] halaf tunaomba tupangwe nae kundi moja basi
Huo msimu wa korona ndio Namungo akatumia mbinu hiyo kumfunga Agosto.Ule ulikuwa msimu wa corona kaka
Hivi Agosto unalijua kweli we?
Agosto ni bingwa wa Angola nchi ambayo pia yupo Petro de Luanda.
Kweli nyie Utopolo?!! ni hivi Namungo aliwafunga kwa figisu hapo kwa MKAPA akisema kikosi Cha kwanza na wachezaji walio Baki Wana korona [emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Huna bundle?Tuwekee ushahidi kama Agosto ni bingwa wa Angola
Timing yetu mahali Ila tutozonga mbele tu ngoja tuajiwe wale wapuuuzi watatujuwa ss Ni Nani haswaJe mnajua kama vipers wa siku ya mwananchi amedroo na TP mazembe Leo.
Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Africa WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndo atalinganisha Al hilal na hawa agosto wa namungo
Kila mtu acheze mechi zake kwa kadiri droo ya CAF ilivyoamua. Umeitaja Vipers na Rivers, sijajua ni kwa nini haujaitaja ZalanJe mnajua kama vipers wa siku ya mwananchi amedroo na TP mazembe Leo.
Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Africa WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndo atalinganisha Al hilal na hawa agosto wa namungo
Weka lako orgMashindano gani hili bango feki
Huna bundle?
Mwisho utasema nikununulie [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Acah uongo kak dah acha uongonHivi Agosto unalijua kweli we?
Agosto ni bingwa wa Angola nchi ambayo pia yupo Petro de Luanda.
Kweli nyie Utopolo?!! ni hivi Namungo aliwafunga kwa figisu hapo kwa MKAPA akisema kikosi Cha kwanza na wachezaji walio Baki Wana korona [emoji109][emoji109][emoji109][emoji109]
Upo sahihi Utopolo ila haiifanyi De Agosto kuwa timu dhaifu Bali utaona ni imara na nzuri.Unajijua umesema uongo ndio maana umekwepa kuweka ushahidi..
Bingwa wa ligi kuu ya Angola mwaka 2022 ni Petro Atretico Luanda..
Angola: Football - Petro De Luanda Win Top Division Championship
Petro de Luanda won the national first division football championship on Wednesday, after defeating Sagrada Esperança da Luanda Norte by 3-1, in the 26th round played at Luanda 's 11 de Novembro Stadium.allafrica.com
Sasa mbona husemi Namungo waliwafunga pia De Agosto msimu wa Corona?Ule ulikuwa msimu wa corona kaka
Halafu Yanga wapangwe kundi moja na Agosto kwenye shirikishoBango fake? 2020 tumemla 4-1 [emoji23][emoji23][emoji23] halaf tunaomba tupangwe nae kundi moja basi
Hii ni batili tupu bila ya magoli ya HAMSA, HAMSA, HAMSA kuwepo [emoji16]Soma hiyooo, This is SimbaaaView attachment 2382025
.Je mnajua kama vipers wa siku ya mwananchi amedroo na TP mazembe Leo.
Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Africa WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndo atalinganisha Al hilal na hawa agosto wa namungo