Zalan nayo timu ngumu!?Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?
Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Afrika WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
Hata wewe pia ni pimbi kulia lia kwa vitu vidogo kama hivyo kubali mkeka umechanika ila sio mwisho wa ibadaSisi hatujalia ila Kuna mapimbi wanafananisha al hilal na agosto ya Namungo
Babu al hilal mwaka jana wamempata tajiri uwekezaji aliouweka pale si wa kitoto,kitendo cha kumvuta ibenge tu pale toka berkane kamwaga pesa si kitotoSawa
Hao wagumu sisi tulipiga 4.View attachment 2382022
Mkumbushe simba pia uliwahi kudraw na mazembeUtashangaa zaidi utavyoona Waydad ndie atakaeufuzu kwenda group stage
Mpira wa Afrika timu ikiwa away inacheza tofauti na timu ikiwa home ground.
Vipers ka draw na Mazembe akiwa Uganda..
!!Sawa
Hao wagumu sisi tulipiga 4.View attachment 2382022
Hivi kwa akili yako ndogo unadhani kutoa suluhu na TP Mazembe nyumbani kwako ndio kutakupa salama pale utakapotua Kinshasa?Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?
Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Afrika WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
Tatzo lako hufuatilii na kuangalia mpira uko bize kuokota vihabari vyako uchwara unakuja kujiumiza humuMashindano gani hili bango feki
Tatizo mnashindwa kuelewa kuwa timu lenu bovu na kusingizia ugumu wa Al Hilal.Je, mnajua kama Vipers wa siku ya mwananchi ametoa sare na TP Mazembe leo?
Na mnajua kama Rivers wamemfunga bingwa wa Afrika WAC na ni mtu mwenye akili mbovu tu ndiyo atalinganisha Al Hilal na hawa Agosto wa Namungo?
Namungo alivyomfunga Agosto ulikuwa msimu wa nini we chura tope[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]?Ule ulikuwa msimu wa corona kaka