Unataka nikutafunie kila kituWeka bodi ya Simba na wasifu wao,
Kumbuka simba imefanikiwa sana tangu aingie mo bila bodi imara asingefanikiwa.Bodi gan mkuuMudi Kila siku anasusa .....mnaenda kumpigia magoti Kila siku[emoji23][emoji23]
Sina haja ya kukutajia mimi nawafahamu siwezi kukupa faida unae taka kubishana hata nikiwataja utaendeleza ligi.Tutajie majina ya bodi ya wadhamini ya Simba tukufunguwe macho maana upo gizani.
we,,we,,we,, Kalpana Yanga?,,embu njoo inbo nikuongoze sala ya toba.π πYanga tuna visu mzee.. ushawai muona Bantu Lady Kalpana Antonnia kama malaika haoo ππ.. huyo umemuweka mcheza mpira sio mrembo
π π π unajua yupo team gani mkuuu... maana miaka na miaka ni mwananchi damuwe,,we,,we,, Kalpana Yanga?,,embu njoo inbo nikuongoze sala ya toba.π π
Kamati ya siasa ya Ccm in back ground.
Tunapowaambiaga kila siku hapa timu za Simba na Yanga zinamilikiwa na serikali kuna viziwi huwa hawaelewi.
Bodi ya wadhamini ndio wamiliki wa timu na Mali zote za timu.
CCM hakunaga msafi, kuanzia wizi wa kura nkMzee mkuchika ana kashfa gani
Michezoni hakuna mafisadi?Huku ni michezoni mkuu.....
Kalpana ni Simba damu.π π π unajua yupo team gani mkuuu... maana miaka na miaka ni mwananchi damu
hujui kitu weweSintofahamu ni kwako tu si kwa watu wa Yanga au watu wa mpira.
Mrs Karume yupo bodi ya wadhamini ya Yanga kitambo, si kwamba ndio uteuzi wake wa kwanza huu.
Kuna mashabiki wa Simba wengi tu hawajui kama Karume ndiye aliyetowa pesa za Kujenga makao makuu ya Simba Msimbazi kwa heshima ya Kawawa Simba wa Vita na ndio mwenye timu yake.
Nilichoona ni list ya wanasiasaMheshimiwa bi Fatma karume
Mh. George mkuchika
Mh. Dr mwigulu nchemba
Mh. Anthony mavunde
Mh Abas Tarimba