Weledi gani wametumia?Yanga ni taasisi imejibu kwa waledi wa hali ya juu
We ndo umeonyesha ujinga, pangua hoja za yanga zilizopo mezani! Sio kuleta ujinga ujingaHii club ni kikundi cha wahuni tu yani majitu fulani majinga majinga yapo hapo.
Unafikiri Yanga hii ilipofikia hata hao Sport Pesa wakiondoka itayumba kiuchumi? Unafikiri makampuni mangapi yanaihitaji Yanga leoHuo sinimkeka wa yanga? Subiri kesho mpaka kufikia saa 7 mchana sportpesa nao watatoa mkeka wao pia, yanga jeuri sportpesa nae huwa nijeuri vilevile wala hawakuona kazi kuwamgomea simba matakwa yao kuelekea kurenew mkataba mpya, pia kule kenya waliwachokonoa kidogo kwenye kodi wakaondoka mazima nakuviacha vilabu kama gor mahia e.t.c kwenye hali mbaya ya kiuchumi....hii movie inapoeleka tutaona mengi...abbas tarimba kimyaa anashindwa aegemee upande upi!
Itoe simba kwenye utopolo wenu.Hizi club za simba&yanga zinaendeshwa kihuni sana
Ujanja gani? Ulipaswa ueleze ujanja wa yanga upo sehemu gani make maelezo ya yanga yapo wazi pangua hoja zao Kwa logic.Hakuna uweledi wowote hapo ujanja ujanja tu.
Uhuni gani yanga imefanya na nini imelazimisha? Yanga anatambua sports pesa ni mdhamini mkuu, caf hatua za robo fainali Sheria zao zinazuia timu kudhaminiwa na wacheza kamari, asa yanga ulitaka wafenyeje kama sports pesa hajakidhi vigezo vya caf?Weledi gani wametumia?
Mdhamini Mkuu wa Yanga ni Sportpesa, haijalishi anashiriki Kombe gani..
Nyie mmefanya uhuni na kulazimisha.
Ngoja tuone mwisho itakuwaje
Na bado mtapopoana sana safari hii
Nyoka wa kibisa mmekurupukaMako...
mm siyafahamu nitajie hata makampuni 5 tu chiefUnafikiri Yanga hii ilipofikia hata hao Sport Pesa wakiondoka itayumba kiuchumi? Unafikiri makampuni mangapi yanaihitaji Yanga leo
Huo sinimkeka wa yanga? Subiri kesho mpaka kufikia saa 7 mchana sportpesa nao watatoa mkeka wao pia, yanga jeuri sportpesa nae huwa nijeuri vilevile wala hawakuona kazi kuwamgomea simba matakwa yao kuelekea kurenew mkataba mpya, pia kule kenya waliwachokonoa kidogo kwenye kodi wakaondoka mazima nakuviacha vilabu kama gor mahia e.t.c kwenye hali mbaya ya kiuchumi....hii movie inapoeleka tutaona mengi...abbas tarimba kimyaa anashindwa aegemee upande. Madunduka kwenye moja na mbili
achana nayo fanya mambo mengineYaan kwakua Yanga ni njano , na maandashi nayo ndo mmeamua yawe ya njano.
Kweli nyie ni wahuni
Waondoke hata usiku huuHuo sinimkeka wa yanga? Subiri kesho mpaka kufikia saa 7 mchana sportpesa nao watatoa mkeka wao pia, yanga jeuri sportpesa nae huwa nijeuri vilevile wala hawakuona kazi kuwamgomea simba matakwa yao kuelekea kurenew mkataba mpya, pia kule kenya waliwachokonoa kidogo kwenye kodi wakaondoka mazima nakuviacha vilabu kama gor mahia e.t.c kwenye hali mbaya ya kiuchumi....hii movie inapoeleka tutaona mengi...abbas tarimba kimyaa anashindwa aegemee upande upi!
Hiyo ndio hoja ya msingi ambayo hata mimi nili doubt kuwa lazima Yanga ndiye aliyekwenda against makubalianoYanga kama waliona idea ya kwanza ya sportpesa imekataliwa na caf kwa nini hawakumshirikisha wakae watafute idea nyingine ya kuweka mbele ya jezi yao.
Ikiwa sportpesa hana haki za kukaa kwenye michuano ya kimataifa kwa nini hawakumtafuta mdhamkni mpya moja kwa moja. Wakachagua kuanza na sportpesa.
Janja nyuma ya iyo habari
Imesalia miezi miwili muifikie sikukuu yenuYanga inaongozwa kwa weledi mkubwa
HahahaAsante sana yanga yangu.
Tarimba sina imani naye.
Yani ukiwa shabiki wa Simba lazima na ubongo wako uwe sawasawaHiyo ndio hoja ya msingi ambayo hata mimi nili doubt kuwa lazima Yanga ndiye aliyekwenda against makubaliano
Kama jambo mlilianzia mezani kwa kushirikishana kwanini lisiishie mezani?
Msemaji wa SportPesa amesema kuwa walitoa proposal ya kutumia LiveScore kwenye jezi
Yanga wakajibu pale pale kuwa hiyo haiwezekani kwasababu utakuwa una deal na kitu kile kile ambacho CAF wamekataza.
SportPesa wao wakadai wapewe majibu ya kimaandishi kutoka CAF na sio speculations za uongozi wa Yanga
Yanga wakaondoka, huku nyuma SportPesa wanasubiria majibu wakifikiri Yanga wataenda kutafiti kwenye vyanzo vya CAF wanastukia tu jezi inazinduliwa na mbele mdhamini ni HAIER
Yanga haikutumia busara na sijui kulikuwa na ulazima gani wa kufosi mpaka ufikie hatua ya ku shake uhusiano wako na mdhamini mkuu aliyeweka pesa nyingi over a little something stupid