Yanga inasikitishwa na Tamko lililotolewa na Mdhamini Sportpesa

Yanga inasikitishwa na Tamko lililotolewa na Mdhamini Sportpesa

Hiyo ndio hoja ya msingi ambayo hata mimi nili doubt kuwa lazima Yanga ndiye aliyekwenda against makubaliano

Kama jambo mlilianzia mezani kwa kushirikishana kwanini lisiishie mezani?

Msemaji wa SportPesa amesema kuwa walitoa proposal ya kutumia LiveScore kwenye jezi

Yanga wakajibu pale pale kuwa hiyo haiwezekani kwasababu utakuwa una deal na kitu kile kile ambacho CAF wamekataza.

SportPesa wao wakadai wapewe majibu ya kimaandishi kutoka CAF na sio speculations za uongozi wa Yanga

Yanga wakaondoka, huku nyuma SportPesa wanasubiria majibu wakifikiri Yanga wataenda kutafiti kwenye vyanzo vya CAF wanastukia tu jezi inazinduliwa na mbele mdhamini ni HAIER

Yanga haikutumia busara na sijui kulikuwa na ulazima gani wa kufosi mpaka ufikie hatua ya ku shake uhusiano wako na mdhamini mkuu aliyeweka pesa nyingi over a little something stupid
Yanga wamekosea sana katika hili na hii ni ishara kuwa club hii inaendeshwa kama genge la wahuni inapokuja suala la kuheshimu mikataba ndiyo maana ina migogoro ya kimikataba kila uchao
 
Yote Kwa yote wanajua wao maana Kila taasisi ina wanasheria wake vikishindana waende mahakamani tu ila kiukweli jezi mpya ni Kali kinoma hongera Yanga.
 
Uhuni gani yanga imefanya na nini imelazimisha? Yanga anatambua sports pesa ni mdhamini mkuu, caf hatua za robo fainali Sheria zao zinazuia timu kudhaminiwa na wacheza kamari, asa yanga ulitaka wafenyeje kama sports pesa hajakidhi vigezo vya caf?
Washabiki wa hii timu mna akili ndogo Sana..na kila kitu nyie mnatetea.
 
Yanga kama waliona idea ya kwanza ya sportpesa imekataliwa na caf kwa nini hawakumshirikisha wakae watafute idea nyingine ya kuweka mbele ya jezi yao.

Ikiwa sportpesa hana haki za kukaa kwenye michuano ya kimataifa kwa nini hawakumtafuta mdhamkni mpya moja kwa moja. Wakachagua kuanza na sportpesa.

Janja nyuma ya iyo habari
Hapo ndio utaona hawa watu wameamua kushea akili ndogo na mashabiki wao. Yaani SP hawana haki lakini waliwa consult. Wanasema wakataka waweke SPLivescore, maana yake nini? Maana yake walijua ana haki ndio maana walituma maombi. Lakini hawaonyeshi baada ya kushindwana kwenye Visit Tz ilikuwaje wakaibuka na nembo nyingine. Hawaonyeshi kama walifikia muafaka wowote na mtu mwenye haki.
SP walitaka Yanga ionyeshe ushahidi wa Livescore kukataliwa. Yanga hawajafafanua hiyo.

Blah blah za kutosha eti SP kikanuni hairuhusiwi na CAF. Hayo maelezo yana tija gani wakati sio sehemu ya malalamiko ya SP. SP inasema inajua yote hayo ila kwa nini mmeweka main sponsor mpya bila ridhaa yao?

Mashabiki wanachoshabikia ni taarifa tu lakini yaliyomo kwenye taarifa hawajui
 
b8d8dd56-602e-4706-8abf-1e166468bb86-jpeg.2504110
View attachment 2504137
hilo ni jibu mjarabu

Sent from my CPH2371 using JamiiForums mobile app
 
Washabiki wa hii timu mna akili ndogo Sana..na kila kitu nyie mnatetea.
Ungekuwa Una akili kubwa ungeleta hapa arguments za caf kupinga kuwa haizuii mdhamini kuwa mcheza kamari hatua za robo fainali, lkn tofauti yake umekuja na verse mliokaririshwi pindi mzidiwapo Kwa hoja.
 
Ungekuwa Una akili kubwa ungeleta hapa arguments za caf kupinga kuwa haizuii mdhamini kuwa mcheza kamari hatua za robo fainali, lkn tofauti yake umekuja na verse mliokaririshwi pindi mzidiwapo Kwa hoja.
mimi naijua hiyo team yako toka wewe uko kwenu nanjilinji..ubishi na kupenda kubishana ni asili ya asili ya hiyo team siku zote.
 
Hiyo ndio hoja ya msingi ambayo hata mimi nili doubt kuwa lazima Yanga ndiye aliyekwenda against makubaliano

Kama jambo mlilianzia mezani kwa kushirikishana kwanini lisiishie mezani?

Msemaji wa SportPesa amesema kuwa walitoa proposal ya kutumia LiveScore kwenye jezi
Umeamini kama tuliokuwa tunabishana humu ni viongozi wa Yanga? Ule hopeless arguments ndio zipo kwenye taarifa
 
Picha inaanza tu club haijawahi kushinda kesi yoyote inayo kabiliana nayo kwanzia kesi za mikataba ya wachezaji huwa wanaangukia pua ubabaishaji kibao
 
Hiyo kampuni ya betting ni wahuni.

Jana nilishangaa mtu wao anaitwa Msuya ni mwanamke ameongelea tena ili jambo, nikajiuliza hii ni Kampuni ama kikundi cha wahuni.

Si walishawaandikia barua Yanga, si wasubiri wajibiwe ama wachukue hatua wanazoona kwao zinafaa na sio kuleta maneno ya Taarab kwenye media.
 
Hiyo ndio hoja ya msingi ambayo hata mimi nili doubt kuwa lazima Yanga ndiye aliyekwenda against makubaliano

Kama jambo mlilianzia mezani kwa kushirikishana kwanini lisiishie mezani?

Msemaji wa SportPesa amesema kuwa walitoa proposal ya kutumia LiveScore kwenye jezi

Yanga wakajibu pale pale kuwa hiyo haiwezekani kwasababu utakuwa una deal na kitu kile kile ambacho CAF wamekataza.

SportPesa wao wakadai wapewe majibu ya kimaandishi kutoka CAF na sio speculations za uongozi wa Yanga

Yanga wakaondoka, huku nyuma SportPesa wanasubiria majibu wakifikiri Yanga wataenda kutafiti kwenye vyanzo vya CAF wanastukia tu jezi inazinduliwa na mbele mdhamini ni HAIER

Yanga haikutumia busara na sijui kulikuwa na ulazima gani wa kufosi mpaka ufikie hatua ya ku shake uhusiano wako na mdhamini mkuu aliyeweka pesa nyingi over a little something stupid
Bwana mjuaji
 
Nimesoma chapisho la Afisa Habari wao nime observe vitu kadhaa

Hoja yao kubwa wanadai mdhamini ana mipaka

Jambo ambalo tayari tumelisikia likielezwa na SportPesa kutambua sheria za CAF za kutohusisha mdhamini mwenye kujishughulisha na biashara ya betting

Sasa the way walivyolichukulia Yanga sidhani kama walifikiria sawa sawa.

Kwa mujibu wao ni kwamba mipaka ya mdhamini ni pamoja na kutokuwa na sauti yeyote au nguvu ya kuiamulia pamoja na kutoa approval kwa Club kwa pendekezo la mdhamini mwingine.

Kitu ambacho binafsi naona Yanga hawakuwa smart kwenye kutafsiri maana ya mipaka

Of course Ally Kamwe amefafanua vizuri na zipo nukta alizoelezea vyema ila conclusion aliyokuja nayo ni irrelevant.

Mipaka ya SportPesa kwenye jezi za under 17 inafahamika duniani kote lakini kuichukua hilo kama hoja ya kwenda kumtanhaza mdhamini mpya bila approval ya SportPesa hawakua sahihi.
Tufanye Yanga ni wajinga, Sportpesa wana akili kila kitu kipo kama unavyo taka wewe, faida yako ni nini?
 
Back
Top Bottom