Yanga inasikitishwa na Tamko lililotolewa na Mdhamini Sportpesa

Yanga wamekosea sana katika hili na hii ni ishara kuwa club hii inaendeshwa kama genge la wahuni inapokuja suala la kuheshimu mikataba ndiyo maana ina migogoro ya kimikataba kila uchao
Sehemu yenye pesa migogoro haikosekani kama hakuna pesa mtagombania nini
 
Picha inaanza tu club haijawahi kushinda kesi yoyote inayo kabiliana nayo kwanzia kesi za mikataba ya wachezaji huwa wanaangukia pua ubabaishaji kibao
Yanga ni law firm?
 
Jioni ya leo utasikitika vizuri
 
Wasomi wa JF kila kitu mnajua na hua hamkosei
Wasomi wakosee vipi wakati wamekaa jopo wakajadili na wakafanya maamuzi ya pamoja na maandishi yao yakapita kwa watu zaidi ya wawili kabla hayajatoka kwa umma? Hapo mtakosea vipi? Sema ni uwezo wenu ulipofikia tu.
 

Janja janja tuu hizi vilabu
 
We spend very short time to do things right, then we use a lot of time to explain why we did wrong.
Sponsors should be awake. They are supposed to perform thorough evaluation and due deligence on reputation and credibility of this club before entering into contract. It is not a matter of fan base but also credibility of the management, it is full of thugs and immatured officials
 
Makolokolo/Mbumbumbu/Malalamiko/Makelele/Kolowizards/Mikia mnakwama wapi mukuje mukuje huku haraka sana hawa Utopolo wanataka kutuchezea akili sisi Watoto wa Mudi [emoji4][emoji2960]
 
Picha inaanza tu club haijawahi kushinda kesi yoyote inayo kabiliana nayo kwanzia kesi za mikataba ya wachezaji huwa wanaangukia pua ubabaishaji kibao
Juzi tu walishinda kesi ya Feisal
 
Jana nimesikia redio moja maarufu hapa nchini wanasema Sportpesa wamenunua sehemu ya mbele ya jezi ya Yanga hivyo wana haki ya kubandika kitu chochote pale. Nilizima redio nikaona ninao wasikiliza hawana akili sawasawa. Hata katika hali ya kawaida huwezi kupanga nyumba kwa ajili ya kuishi halafu kesho uweke kanisa au msikiti. Nafikiri sportpesa walitakiwa wakubaliane na Yanga kuvaa hiyo jezi bila promotion wala kuziuza mtaani. Kwa uelewa wangu wa masuala ya mikataba isingekuwa sahihi sportpesa kuwapelekea Yanga bango ambalo halihusiani nao kwasababu tayari mkataba ulisha state sportpesa ni nani na anajishughulisha na nini, vinginevyo wavae plain.
 
Uelewa wa baadhi ya hawa wanaoitwa wachambuzi ni mdogo sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…