Sportspesa wanazihitaji Simba na Yanga. Akiondoka hizi club mbili hazikosi wadhamini kabisa. Hizi ni club kubwa sana ktk soka la Tz.Huo sinimkeka wa yanga? Subiri kesho mpaka kufikia saa 7 mchana sportpesa nao watatoa mkeka wao pia, yanga jeuri sportpesa nae huwa nijeuri vilevile wala hawakuona kazi kuwamgomea simba matakwa yao kuelekea kurenew mkataba mpya, pia kule kenya waliwachokonoa kidogo kwenye kodi wakaondoka mazima nakuviacha vilabu kama gor mahia e.t.c kwenye hali mbaya ya kiuchumi....hii movie inapoeleka tutaona mengi...abbas tarimba kimyaa anashindwa aegemee upande upi!
Usijidanganye issue siyo kupata tu mdhamini issue ni kiasi gani cha huo uwekezaji. Nyie bado mko kwenye udhamini wa aina ya Gulamali hamjabadilika hadi leo mko kwa GSM.Sportspesa wanazihitaji Simba na Yanga. Akiondoka hizi club mbili hazikosi wadhamini kabisa. Hizi ni club kubwa sana ktk soka la Tz.
Kwaiyo wewe ndio unajiona una akili nyingi sana na unaujua mkataba husika ulivyo! Fanyeni yenu nyie madunduka mambo ya yanga waachieni wenyewe, wenzenu wanalamba b.1.5 nyie mmekalia umbea wa kike kike tu shwain!Hiyo ndio hoja ya msingi ambayo hata mimi nili doubt kuwa lazima Yanga ndiye aliyekwenda against makubaliano
Kama jambo mlilianzia mezani kwa kushirikishana kwanini lisiishie mezani?
Msemaji wa SportPesa amesema kuwa walitoa proposal ya kutumia LiveScore kwenye jezi
Yanga wakajibu pale pale kuwa hiyo haiwezekani kwasababu utakuwa una deal na kitu kile kile ambacho CAF wamekataza.
SportPesa wao wakadai wapewe majibu ya kimaandishi kutoka CAF na sio speculations za uongozi wa Yanga
Yanga wakaondoka, huku nyuma SportPesa wanasubiria majibu wakifikiri Yanga wataenda kutafiti kwenye vyanzo vya CAF wanastukia tu jezi inazinduliwa na mbele mdhamini ni HAIER
Yanga haikutumia busara na sijui kulikuwa na ulazima gani wa kufosi mpaka ufikie hatua ya ku shake uhusiano wako na mdhamini mkuu aliyeweka pesa nyingi over a little something stupid
Sasa mimi utanifananisha na Uto?Kwaiyo wewe ndio unajiona una akili nyingi sana na unaujua mkataba husika ulivyo! Fanyeni yenu nyie madunduka mambo ya yanga waachieni wenyewe, wenzenu wanalamba b.1.5 nyie mmekalia umbea wa kike kike tu shwain!
Wanadhani biashara zinafanyika kwa watu kuingia mikataba halafu kuanza kuviziana eti wanatafuta upenyo utadhani hawakujua watakuja kushiriki mashindano ya CAF.Sasa mimi utanifananisha na Uto?
Nyie si mlitaka kuitisha mgomo kugomea products za Azam?
Jambo hilo linawezekana vipi kufanywa na watu timamu?
Engineer naye anaitukana sana elimu ya uinjinia
Anatoka kifua mbele kwenye media kuonesha justification ya sakaka lao na SportPesa ni halali kwa hoja ya under 17 kutovaa nembo ya betting kama hoja ya kuifanya Club iwe na maamuzi huru bila kushirikiana na mdhamini mkuu.
Sasa hiyo ni akili ya wapi mzee?
Ingekuwa bora hata mngesikitishwa na goli la Sakho kumfunga mtoto wenu Singida.
Hawa MASIKITIKO FC ni wajinga sanaSasa mimi utanifananisha na Uto?
Nyie si mlitaka kuitisha mgomo kugomea products za Azam?
Jambo hilo linawezekana vipi kufanywa na watu timamu?
Engineer naye anaitukana sana elimu ya uinjinia
Anatoka kifua mbele kwenye media kuonesha justification ya sakaka lao na SportPesa ni halali kwa hoja ya under 17 kutovaa nembo ya betting kama hoja ya kuifanya Club iwe na maamuzi huru bila kushirikiana na mdhamini mkuu.
Sasa hiyo ni akili ya wapi mzee?
Tuonyeshe mkataba wa sportpesa na yanga ili tukubaliane na hoja zako basiSasa mimi utanifananisha na Uto?
Nyie si mlitaka kuitisha mgomo kugomea products za Azam?
Jambo hilo linawezekana vipi kufanywa na watu timamu?
Engineer naye anaitukana sana elimu ya uinjinia
Anatoka kifua mbele kwenye media kuonesha justification ya sakaka lao na SportPesa ni halali kwa hoja ya under 17 kutovaa nembo ya betting kama hoja ya kuifanya Club iwe na maamuzi huru bila kushirikiana na mdhamini mkuu.
Sasa hiyo ni akili ya wapi mzee?
Mkataba ni kitu confidential hauwekwi nje public kama gazetiTuonyeshe mkataba wa sportpesa na yanga ili tukubaliane na hoja zako basi
Sasa kama ni confidential unapata wapi uhalali wa kujadili kitu usichokijua? Unapata wapi uhalali wa kuwalaumu yanga? Unadandia treni kwa mbele kufata mkumbo ata ujui makubaliano yao yakoje ndani ya mkataba husika, Mashabiki wa simba mna shida mahali sio bureMkataba ni kitu confidential hauwekwi nje public kama gazeti
Kuna sheria ambazo zipo universalSasa kama ni confidential unapata wapi uhalali wa kujadili kitu usichokijua? Unapata wapi uhalali wa kuwalaumu yanga? Unadandia treni kwa mbele kufata mkumbo ata ujui makubaliano yao yakoje ndani ya mkataba husika, Mashabiki wa simba mna shida mahali sio bure