Yanga inasumbuliwa na timu iliyoshika nafasi ya pili ligi ya Djibouti

Yanga inasumbuliwa na timu iliyoshika nafasi ya pili ligi ya Djibouti

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Hili ni jambo la kusikitisha sana na najua wanayanga wengi limewafedhehesha.

ASAS Djibouti au kwa jina lingine "AS Ali Sabieh" ni timu ambayo msimu uliopita ilimaliza nafasi ya pili katika ligi ndogo na dhaifu ya Djibouti lakini jana imeisumbua sana Yanga. Ingekuwa na mshambuliaji mmoja wa kati mzuri, kuna watu jana wangelia.

ASAS pia walinyimwa penati ya wazi baada ya Diara kupigwa chenga akaamua kumsukumia mbali mshambuliaji wa ASAS tena mbele ya refa. Yule jamaa anayeripoti matukio ya mpira na kupeleka UN na Interpol asilisahau na hili tukio.

Kwa kumalizia Yanga isiseme ilikuwa ugenini wakati tiketi za mechi iliuza yenyewe na hata bei ya tiketi inaonyesha ilipangwa na Yanga, umbali kutoka Chamazi hadi Kimbiji ni mfupi kuliko wao kutoka Chamazi kurudi kwao. Pia sitashangaa kama hata malazi mliwapa nyie. Najua mechi ya pili mtajipigia tu hao wasomali ila round ijayo hamtoboi.
 
Hili ni jambo la kusikitisha sana na najua wanayanga wengi limewafedhehesha.

ASAS Djibouti au kwa jina lingine "AS Ali Sabieh" ni timu ambayo msimu uliopita ilimaliza nafasi ya pili katika ligi ndogo na dhaifu ya Djibouti lakini jana imeisumbua sana Yanga. Ingekuwa na mshambuliaji mmoja wa kati mzuri, kuna watu jana wangelia.

ASAS pia walinyimwa penati ya wazi baada ya Diara kupigwa chenga akaamua kumsukumia mbali mshambuliaji wa ASAS tena mbele ya refa. Yule jamaa anayeripoti matukio ya mpira na kupeleka UN na Interpol asilisahau na hili tukio.

Kwa kumalizia Yanga isiseme ilikuwa ugenini wakati tiketi za mechi iliuza yenyewe na hata bei ya tiketi inaonyesha ilipangwa na Yanga, umbali kutoka Chamazi hadi Kimbiji ni mfupi kuliko wao kutoka Chamazi kurudi kwao. Pia sitashangaa kama hata malazi mliwapa nyie. Najua mechi ya pili mtajipigia tu hao wasomali ila round ijayo hamtoboi.
Yanga kusumbuliwa na timu zinazoshika nafasi ya pili ni kitu cha kawaida, maana hata Simba ambayo ndiye bingwa wa kombe la ngao ya jamii wamesumbuana hadi kwenye matuta. Tukumbuke tu hii timu ndio inayojinadi ipo nafasi ya tisa kwa ubora na pia ndio mwakilishi wa super league lakini wamepelekana na Yanga hadi matuta.
Haya mchambuzi endelea na uchambuzi wako nilikuwa nakukumbisha tu mpira hauna formula
 
Yanga kusumbuliwa na timu zinashika nafasi ya pili ni kitu cha kawaida, maana hata Simba ambayo ndiye bingwa wa kombe la ngao ya jamii wamesumbuana hadi kwenye matuta. Tukumbuke tu hii timu ndio inayojinadi ipo nafasi ya tisa kwa ubora na pia ndio mwakilishi wa super league lakini wamepelekana na Yanga hadi matuta.
Haya mchambuzi endelea na uchambuzi wako nilikuwa na kukumbisha tu mpira hauna formula
Nilitegemea mtu atatokea atasema Simba pia alishika nafasi ya pili ndiyo maana niliongeza maneno "ligi ndogo na dhaifu". Nilidhani maneno hayo yangetosha kumfanya mtu asikurupuke kujibu bila kutafakari.

Kumbe mnaona fahari kupelekana hadi matuta na mnyama eeh? Safi sana, hii imeendaaa!
 
Nilitegemea mtu atatokea atasema Simba pia alishika nafasi ya pili ndiyo maana niliongeza maneno "ligi ndogo na dhaifu". Nilidhani maneno hayo yangetosha kumfanya mtu asikurupuke kujibu bila kutafakari.

Kumbe mnaona fahari kupelekana hadi matuta na mnyama eeh? Safi sana, hii imeendaaa!
Sina mengi ya kuelezea ndugu mchambuzi ila kwa aliyeangalia mpira anajua katika ile mechi ni upande upi ulitamani dakika 90 ziishe.
 
Nilitegemea mtu atatokea atasema Simba pia alishika nafasi ya pili ndiyo maana niliongeza maneno "ligi ndogo na dhaifu". Nilidhani maneno hayo yangetosha kumfanya mtu asikurupuke kujibu bila kutafakari.

Kumbe mnaona fahari kupelekana hadi matuta na mnyama eeh? Safi sana, hii imeendaaa!
Hata msemaji wenu alisema ligi ya bongo ni dhaifu kwa hiyo hakuna tofauti msijisahulishe

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Hili ni jambo la kusikitisha sana na najua wanayanga wengi limewafedhehesha.

ASAS Djibouti au kwa jina lingine "AS Ali Sabieh" ni timu ambayo msimu uliopita ilimaliza nafasi ya pili katika ligi ndogo na dhaifu ya Djibouti lakini jana imeisumbua sana Yanga. Ingekuwa na mshambuliaji mmoja wa kati mzuri, kuna watu jana wangelia.

ASAS pia walinyimwa penati ya wazi baada ya Diara kupigwa chenga akaamua kumsukumia mbali mshambuliaji wa ASAS tena mbele ya refa. Yule jamaa anayeripoti matukio ya mpira na kupeleka UN na Interpol asilisahau na hili tukio.

Kwa kumalizia Yanga isiseme ilikuwa ugenini wakati tiketi za mechi iliuza yenyewe na hata bei ya tiketi inaonyesha ilipangwa na Yanga, umbali kutoka Chamazi hadi Kimbiji ni mfupi kuliko wao kutoka Chamazi kurudi kwao. Pia sitashangaa kama hata malazi mliwapa nyie. Najua mechi ya pili mtajipigia tu hao wasomali ila round ijayo hamtoboi.

Dodoma jiji iliyowatoa jasho juzi imemaliza nafasi ya ngapi kwenye ligi yao? Au kwa sababu YANGA saizi ndio content mtandaoni inakulazimu uiandike tu ili upate publuc atention[emoji854]
 
Hili ni jambo la kusikitisha sana na najua wanayanga wengi limewafedhehesha.

ASAS Djibouti au kwa jina lingine "AS Ali Sabieh" ni timu ambayo msimu uliopita ilimaliza nafasi ya pili katika ligi ndogo na dhaifu ya Djibouti lakini jana imeisumbua sana Yanga. Ingekuwa na mshambuliaji mmoja wa kati mzuri, kuna watu jana wangelia.

ASAS pia walinyimwa penati ya wazi baada ya Diara kupigwa chenga akaamua kumsukumia mbali mshambuliaji wa ASAS tena mbele ya refa. Yule jamaa anayeripoti matukio ya mpira na kupeleka UN na Interpol asilisahau na hili tukio.

Kwa kumalizia Yanga isiseme ilikuwa ugenini wakati tiketi za mechi iliuza yenyewe na hata bei ya tiketi inaonyesha ilipangwa na Yanga, umbali kutoka Chamazi hadi Kimbiji ni mfupi kuliko wao kutoka Chamazi kurudi kwao. Pia sitashangaa kama hata malazi mliwapa nyie. Najua mechi ya pili mtajipigia tu hao wasomali ila round ijayo hamtoboi.
Kijana jitahidi uepuke tabia za kishirikina katika umri mdogo.
 
Hili ni jambo la kusikitisha sana na najua wanayanga wengi limewafedhehesha.

ASAS Djibouti au kwa jina lingine "AS Ali Sabieh" ni timu ambayo msimu uliopita ilimaliza nafasi ya pili katika ligi ndogo na dhaifu ya Djibouti lakini jana imeisumbua sana Yanga. Ingekuwa na mshambuliaji mmoja wa kati mzuri, kuna watu jana wangelia.

ASAS pia walinyimwa penati ya wazi baada ya Diara kupigwa chenga akaamua kumsukumia mbali mshambuliaji wa ASAS tena mbele ya refa. Yule jamaa anayeripoti matukio ya mpira na kupeleka UN na Interpol asilisahau na hili tukio.

Kwa kumalizia Yanga isiseme ilikuwa ugenini wakati tiketi za mechi iliuza yenyewe na hata bei ya tiketi inaonyesha ilipangwa na Yanga, umbali kutoka Chamazi hadi Kimbiji ni mfupi kuliko wao kutoka Chamazi kurudi kwao. Pia sitashangaa kama hata malazi mliwapa nyie. Najua mechi ya pili mtajipigia tu hao wasomali ila round ijayo hamtoboi.
Lengo hasa la huu uzi wako ni nini hasa? Naona umejichanganya changaya tu.
 
Sina mengi ya kuelezea ndugu mchambuzi ila kwa aliyeangalia mpira anajua katika ile mechi ni upande upi ulitamani dakika 90 ziishe.
Kila mtu anaujua ni ule upande ambao mechi ingeisha 2-1 kama ambavyo ilistahili kuwa kisheria na kikanuni, hali isingekuwa shwari kule Kimbiji
 
Mimi ni YANGA damu ila viongozi wa yanga Ni MATAPELI
Pale hakuna timu bora simba mmesajili sana [emoji91][emoji91][emoji91]
 
[emoji38][emoji38][emoji38] walifungwa na nani
Hapa walikua wametoka Dubai kuzurula
sddefault.jpg


Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Kila mtu anaujua ni ule upande ambao mechi ingeisha 2-1 kama ambavyo ilistahili kuwa kisheria na kikanuni, hali isingekuwa shwari kule Kimbiji
Nilishakwambia tokea siku nyingi kuwa mpira wa miguu haujui utafute mchezo mwingine wa kushangilia. Mechi ya Yanga na Asas, Yanga ndio walikuwa away hivyo hata matokeo yangekuwa 2 kwa 1 bado kwa Yanga yana mfavour Yanga kwasababu mechi ya Marudiano hata Asas akishinda goli moja kwa bila bado hatovuka
 
Nilitegemea mtu atatokea atasema Simba pia alishika nafasi ya pili ndiyo maana niliongeza maneno "ligi ndogo na dhaifu". Nilidhani maneno hayo yangetosha kumfanya mtu asikurupuke kujibu bila kutafakari.

Kumbe mnaona fahari kupelekana hadi matuta na mnyama eeh? Safi sana, hii imeendaaa!
Akili huna.
 
Back
Top Bottom