Yanga inatakiwa iache kushiriki kwa kukariri

Endeleza mipasho wewe. Hivi Katumbi ni mwekezaji mazembe au mmiliki? Unamlinganisha Mazembe na huo upuuzi wenu? Mwenye hisa 49% ndio mwenye nguvu, what a joke!! Nikutoe tongotongo ewe mkia, Kaumbi ni mwekezaji. Ndio Yanga inaweza kuwa nyuma kwa sasa lakini elewa model wanayokuja nayo ni nzuri zaidi kuliko mlivyokurupuka ninyi mikia. Mo juzi tu alikaribia kususa mlianza kulialia hapa. Halafu umlinganishe na Katumbi!!

Haya tueleze Simba imeweka shilingi ngapi kwenye huo uwekezaji wa 51% kwa 49%?
 
Mfumo wa hizo klabu unaujua? Hivi unajua Chelsea ni kama Azam? Unajua timu kama Man U ina wanahisa kadhaa walioweka mzigo mezani? Simba ina wanahisa wawili, Mo na wanachama wasiotoa hata senti moja zaidi ya kuandamana.
 
Mamluki lingine hili la Mikia halijua kwamba Mikia inaendeshwa na mmoja kama ilivyokuwa Yanga ya Manji
Yani wewe nawe unawaita wengine mikia?
Umeshindwa kutofautisha kuifadhili timu na kununua hisa Kwenye timu.
Kweli Nyani haoni mkundu wake
 

Simba itapeleka 40% ya hisa soko la mitaji kuuza. Ungejua hili usingeuliza. Hata akina Vodacom wanakuja kuomba kuongeza mitaji kwetu kupitia DSE. Mo ameuziwa hisa hivyo kuna masharti ilibidi atimiziwe ili atoe mzigo. Haya mambo ni ya kisheria na mikataba mkuu.

Katumbi ni mwekezaji, teh teh sasa Mo ni nani? Mfadhili? Katumbi ana 60% ya shares pale Mazembe. Na anawekeza daily. Kuna share holder's wengine pia sema hawaendeshi timu.
 
Yani wewe nawe unawaita wengine mikia?
Umeshindwa kutofautisha kuifadhili timu na kununua hisa Kwenye timu.
Kweli Nyani haoni mkundu wake
Tuna safari sio ndogo. Mtu anaandika MO *Akiamua* kuondoka Simba itakuaje? Haya mambo yanahitaji muda commoners kuelewa.

Hawajui pale DSE Watu wakichoka kumiliki kampuni fulani wanauza shares zao wanasepa. Wanachukulia situation ya Manji ndiyo iliyopo Simba.
 
Kama Simba wamekubali Mo awekeze kwa 49% Ambao Yanga wanaponda mfumo huu basi wao waje na mfumo mzuri kuliko wa Simba + Mo.
Lakini kutumia mfumo wa Bakuli na Harambee daily kwa timu kama Yanga ni ujinga.
 
Huyo unayemwita mganga njaa kaacha jina kubwa pale Yanga.Wewe Mkuu umeacha alama gani pale?au ni ile chata ya kinyesi kwenye vyoo vya pale Jangwani?
Ally Mayai vipi mbona unauliza maswali yasiyokua na logic?,kwahiyo mlioacha alama tu ndo tuamini kila mnachosema hata kama mnaongozwa na njaa zenu?,na wote tungeacha alama pale Yanga pangetosha?...relax mkuu
 
Hizi no akili za kibwege kabisa
 
Una ushahidi gani kama aliyeandika no Ally Mayay Tembele ?
 
Huyu no Ally Mayai Tembele wa mikia Fc , wa Yanga sc ni Ally Mayay Tembele, wewe hata kama hujui kusoma hata picha huezi kutambua.
 
Tembele aache kulialia sasa ni Kiongozi huko Yanga alete mawazo ya kuimarisha timu basi!
 
Reactions: Tui
Angalia kwenye bandiko utajua tu alieandika ni mtu mmoja tu ambaye naye amependa kujiita hivyo , tunaye mfahamu in Ally 'Mayay' Tembele lakini mwandishi amejitambulisha kuwa yeye no Ally 'Mayai' Tembele , hivi wewe unaweza kusahau kuandika jina lako?
Kwani kuna wangapi??
 
Huyu no Ally Mayai Tembele wa mikia Fc , wa Yanga sc ni Ally Mayay Tembele, wewe hata kama hujui kusoma hata picha huezi kutambua.
Jifunze kuandika halafu rudia kusoma nilichoandika."huezi"?????ni kilugha.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…