Yanga ipo nafasi ya pili kwa sababu Wapinzani wao hawajacheza

Yanga ipo nafasi ya pili kwa sababu Wapinzani wao hawajacheza

sijawachukulia rahisi ila CRB ikitokea kafungwa na Ahly...Yanga game ya kwa mkapa wanaweza pambana kufa kupona coz wanajua wakimfunga CRB then Ahly akashina au kusuluu na Medeama Yanga na Ahly wanakuwa wamepita kabla ya mechi za mwisho za kumalizia kundi
Upo sahihi. Ndo maana nikasema umuhimu wa hiyo mechi si kwa Yanga tu ila hata kwa CRB wanajua kupita kwao ni hapo tu iwapo watafungwa.
 
CRB kumfunga Ahly si rahisi ila asichukuliwe poa kuwa lazima afungwe kwa mkapa. Kwao nao wanaiangalia hiyo mechi kama mechi muhimu. Hautakuwa mchezo mwepesi kwa timu zote. Atakayekosea ndiye atakayeadhibiwa.
Vipi Makirikiri walio pindindua matokea ya mbili bila kwa Mkapa...... au nyie mnaichukulia poa au Galaxy hawa iangalii hiyo mechi yenu kama ya muhimu,kumbuka hapa kwa Mkapa walimpa tatu,acheni mda uamue.
 
Mashabiki wa Yanga wanashangilia, wanaweza wasielewe hili kutokana na ndio hivyo tena mnajua, mambo ya uelewa tena

Ila ni kuwa CRB akicheza na Ahly watarudi kwenye nafasi yao halali
Una uhakika gani? We matokeo ya Al Ahly na CR umeishayajua tayari? Kweli mbumbumbu.
 
Mashabiki wa Yanga wanashangilia, wanaweza wasielewe hili kutokana na ndio hivyo tena mnajua, mambo ya uelewa tena

Ila ni kuwa CRB akicheza na Ahly watarudi kwenye nafasi yao halali
Wale waarabu wamepanga kubebana, sielewi kwanini kila siku wanamtanguliza yanga aanze kucheza
 
Aliyewaita Makolo aliona mbali hamna msimamo mmoja kuhusu Yanga sasa wimbo wa bahasha hakuna, mnacheza ligi ya vibonde hakuna na nyinginezo kazi kushif upande Tu..
Kwani uongo ofsa?
 
Una uhakika gani? We matokeo ya Al Ahly na CR umeishayajua tayari? Kweli mbumbumbu.
Jinga kama wewe huwezi jua, wachambuzi tunaojua mpira baadhi ya matokeo tunayajua kabla hata ya mechi kuchezwa...utarudi hapa utopolo watakapokuwa nafasi ya 3 baada ya wiki chache zijazo
 
Lingine hili Limekula makande linakuja andika umakande wake apa
 
Mashabiki wa Yanga wanashangilia, wanaweza wasielewe hili kutokana na ndio hivyo tena mnajua, mambo ya uelewa tena

Ila ni kuwa CRB akicheza na Ahly watarudi kwenye nafasi yao halali
KOLO HILI LINATESEKA UKO[emoji1787][emoji1787][emoji1787]MAMAAE
 
Kwani uongo ofsa?
20231124_235103.jpg
 
Vipi Makirikiri walio pindindua matokea ya mbili bila kwa Mkapa...... au nyie mnaichukulia poa au Galaxy hawa iangalii hiyo mechi yenu kama ya muhimu,kumbuka hapa kwa Mkapa walimpa tatu,acheni mda uamue.
Ninachosema si mchezo mwepesi kwa timu zote mbili sababu hesabu za mwarabu kuvuka iwapo atapoteza kwa mwarabu mwenzie ni hiyo ya Yanga na Yanga nae anapiga hesabu hizo hizo.
 
Aliyewaita Makolo aliona mbali hamna msimamo mmoja kuhusu Yanga sasa wimbo wa bahasha hakuna, mnacheza ligi ya vibonde hakuna na nyinginezo kazi kushif upande Tu..
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom