Wewe utakuwa kiongozi wa mbumbumbu sio Bure. Mechi haijachezwa unakuja na hadithi zako hapo. Basi tuambie nani ameshinda Al Ahly au CR.Jinga kama wewe huwezi jua, wachambuzi tunaojua mpira baadhi ya matokeo tunayajua kabla hata ya mechi kuchezwa...utarudi hapa utopolo watakapokuwa nafasi ya 3 baada ya wiki chache zijazo