Yanga ipo nafasi ya pili kwa sababu Wapinzani wao hawajacheza

Yanga ipo nafasi ya pili kwa sababu Wapinzani wao hawajacheza

Kumbe, kwa hiyo Simba wao wanaona kumfunga Mwarabu, kutinga robo fainali ni kitu cha kawaida tu ila Yanga wana furaha sana na kushangilia sana kushinda mechi yake ya kwanza CAFCL kwa miaka 25?
Ita unavyoita, the point is, kwenye kila jambo, ukifanikiwa zaidi ya ulipofanikiwa mara ya mwisho, furaha huwa kubwa. Hata kama kuna wengine walishavuka hapo ulipozidi leo, bado haiondoi furaha na ukweli kwamba umevunja rekodi yako wewe mwenyewe..!!

BTW, usisahau hao hao Yanga ndo walikupiga KONO LA NYANI..!!

Pitia na hii hapa chini uone jinsi mlivyo Mbumbumbu FC

1703131768747.png
 
Back
Top Bottom