Ndugu mbumbumbu pumzika, Yanga isikufanye ukose usingizi.
Nakukumbusha Juzi 19/12/2023 Pyramids amefungwa kwao wakati alipata sare kule south.
Upe mpira heshima yake
Mmeanza Tena Wana Utopolo kuongea baada ya kumfunga medeama ila kuwa shabiki yanga ni mtihan sanaWapuuzi nyie mtuache na Yanga yetu hatujaomba ushauri. Ila watu wa Simba wehu kweli,yaani Mpira unaochezwa na pacome unalinganisha na butua butua ya Kapombe si uwehu.
Yaani Yanga hii yeyote aje anapigwa popote mzee, Al Ahal kwake anakufa.Tunawaza tutachezaje fainali CL.
Kwa michezo iliyobaki Yanga akijitahidi ataongeza point 3 tu toka kwa Belouzdad na kufikisha 8.Una uhakika? Haya njoo na hesabu zako uniambie ni vipi Yanga akishinda mechi zake zote zilizobakia, kufuzu kwake kutategemea na wengine.
Yanga akishinda mechi zake zote atakuwa na point 11. nipe mazingira ambayo itamfanya point 11 za Yanga zisiweze kumsongesha mbele
Hii comment naitunza...Kwa michezo iliyobaki Yanga akijitahidi ataongeza point 3 tu toka kwa Belouzdad na kufikisha 8.
Wakati huo Belouzdad atakuwa na point 10 , tatu kutoka kwa vibonde mediama , tatu toka kwa aly Ahly.
Aly Ahly atakuwa na point 11 , tatu toka kwa kibonde mediama , tatu tena toka kwa Yanga .
Hivyo yanga ataaga mashindano kwa stahili hiyo na kurudi Dar kuanza Kazi yake ya kupokea wageni wa simba airport.
Umeni quote je unajua kilichokuwa kinajadiliwa kuhusu comment yangu au umeidakia tu juu juu? Nimesema hivi " Yanga kama atashinda michezo yake yote iliyobakia, hata kuwa na sababu ya kumuombea fulani afungwe na fulani bali atakuwa amefuzu. Kuna mtu akanikatalia, akasema hata Yanga akishinda mechi zake zote bado kufuzu kwake kutategemea na matokeo ya timu zingine. Ndipo nikampa idadi ya point kama ikitokea Yanga atashinda michezo yote iliyosalia.Kwa michezo iliyobaki Yanga akijitahidi ataongeza point 3 tu toka kwa Belouzdad na kufikisha 8.
Wakati huo Belouzdad atakuwa na point 10 , tatu kutoka kwa vibonde mediama , tatu toka kwa aly Ahly.
Aly Ahly atakuwa na point 11 , tatu toka kwa kibonde mediama , tatu tena toka kwa Yanga .
Hivyo yanga ataaga mashindano kwa stahili hiyo na kurudi Dar kuanza Kazi yake ya kupokea wageni wa simba airport.
Ongea kama mwanasoka bintiMmeanza Tena Wana Utopolo kuongea baada ya kumfunga medeama ila kuwa shabiki yanga ni mtihan sana
Yanga akishinda Mechi zake anafuzu haijalishi wenzake matokeo yamekuwaje.Kushinda mechi zake tu haitoshi
Lazima waombe CRB afungwe na Al Ahly
Simba ndio wanatakiwa kushinda mechi zao bila kuangalia matokeo ya wengine
Wengine ingetosha kusikiliza Honey ya Zuchu... Huku kwenye soka hakuwafaiKushinda mechi zake tu haitoshi
Lazima waombe CRB afungwe na Al Ahly
Simba ndio wanatakiwa kushinda mechi zao bila kuangalia matokeo ya wengine
Kama Medeama ni kibonde alimfungaje CRB?Kwa michezo iliyobaki Yanga akijitahidi ataongeza point 3 tu toka kwa Belouzdad na kufikisha 8.
Wakati huo Belouzdad atakuwa na point 10 , tatu kutoka kwa vibonde mediama , tatu toka kwa aly Ahly.
Aly Ahly atakuwa na point 11 , tatu toka kwa kibonde mediama , tatu tena toka kwa Yanga .
Hivyo yanga ataaga mashindano kwa stahili hiyo na kurudi Dar kuanza Kazi yake ya kupokea wageni wa simba airport.
vipi Simba yeye hatakiwi kushinda?Yanga anatakiwa ashinde michezo iliyobaki yote anapita. Atakuwa na p11.
Unajua kwann mnamuita mwakarobo mnyama? Ishu ya Simba ni kuingia nusu fainali siyo robo, labda iwe bahati mbaya sana.vipi Simba yeye hatakiwi kushinda?
Usipende kutumia neno "hawezi" kwenye mchezo wa soka. Namjua uliamini Jwaneng Galaxy "hawezi" kumfunga Wydad pale Morocco.Duh nilisahau huu mchezo wa CRB Na madema. Bado hatari ipo
Mbaya Ahly anachezea ugenini ni aidha afungwe au afanye draw. Halaf madema akienda Algeria atakufa kama alivokufa Yanga
Yanga hawezi kumfunga Ahly pale Cairo kama alivyoshindwa kumfunga CRB pale Algiers
Mambo bado tait Ila all is possible in football
Aibu!Kimahesabu Yanga ajipange Kwa msimu ujao. Nafikiri sasa wameshaweza kutofautisha champions league na confederation
Hizi aibu ndogondogo mbona zinaepukika! Sometimes ficha ujinga wakoUtopolo safari yao imefikia kikomo