Yanga komaeni kushinda mechi zenu: Hii ndoto ya kutaka Al Ahly amfunge CRB ugenini ni ndoto ya bafuni wakiwa wanaoga!!

Yanga komaeni kushinda mechi zenu: Hii ndoto ya kutaka Al Ahly amfunge CRB ugenini ni ndoto ya bafuni wakiwa wanaoga!!

Kwamba ndo uto atashinda gemu zake mbili zilizobaki
Ndugu mbumbumbu pumzika, Yanga isikufanye ukose usingizi.
Nakukumbusha Juzi 19/12/2023 Pyramids amefungwa kwao wakati alipata sare kule south.
Upe mpira heshima yake
 
Wapuuzi nyie mtuache na Yanga yetu hatujaomba ushauri. Ila watu wa Simba wehu kweli,yaani Mpira unaochezwa na pacome unalinganisha na butua butua ya Kapombe si uwehu.

Yaani Yanga hii yeyote aje anapigwa popote mzee, Al Ahal kwake anakufa.Tunawaza tutachezaje fainali CL.
Mmeanza Tena Wana Utopolo kuongea baada ya kumfunga medeama ila kuwa shabiki yanga ni mtihan sana
 
Una uhakika? Haya njoo na hesabu zako uniambie ni vipi Yanga akishinda mechi zake zote zilizobakia, kufuzu kwake kutategemea na wengine.
Yanga akishinda mechi zake zote atakuwa na point 11. nipe mazingira ambayo itamfanya point 11 za Yanga zisiweze kumsongesha mbele
Kwa michezo iliyobaki Yanga akijitahidi ataongeza point 3 tu toka kwa Belouzdad na kufikisha 8.

Wakati huo Belouzdad atakuwa na point 10 , tatu kutoka kwa vibonde mediama , tatu toka kwa aly Ahly.

Aly Ahly atakuwa na point 11 , tatu toka kwa kibonde mediama , tatu tena toka kwa Yanga .
Hivyo yanga ataaga mashindano kwa stahili hiyo na kurudi Dar kuanza Kazi yake ya kupokea wageni wa simba airport.
 
Kwa michezo iliyobaki Yanga akijitahidi ataongeza point 3 tu toka kwa Belouzdad na kufikisha 8.

Wakati huo Belouzdad atakuwa na point 10 , tatu kutoka kwa vibonde mediama , tatu toka kwa aly Ahly.

Aly Ahly atakuwa na point 11 , tatu toka kwa kibonde mediama , tatu tena toka kwa Yanga .
Hivyo yanga ataaga mashindano kwa stahili hiyo na kurudi Dar kuanza Kazi yake ya kupokea wageni wa simba airport.
Hii comment naitunza...
 
Kwa michezo iliyobaki Yanga akijitahidi ataongeza point 3 tu toka kwa Belouzdad na kufikisha 8.

Wakati huo Belouzdad atakuwa na point 10 , tatu kutoka kwa vibonde mediama , tatu toka kwa aly Ahly.

Aly Ahly atakuwa na point 11 , tatu toka kwa kibonde mediama , tatu tena toka kwa Yanga .
Hivyo yanga ataaga mashindano kwa stahili hiyo na kurudi Dar kuanza Kazi yake ya kupokea wageni wa simba airport.
Umeni quote je unajua kilichokuwa kinajadiliwa kuhusu comment yangu au umeidakia tu juu juu? Nimesema hivi " Yanga kama atashinda michezo yake yote iliyobakia, hata kuwa na sababu ya kumuombea fulani afungwe na fulani bali atakuwa amefuzu. Kuna mtu akanikatalia, akasema hata Yanga akishinda mechi zake zote bado kufuzu kwake kutategemea na matokeo ya timu zingine. Ndipo nikampa idadi ya point kama ikitokea Yanga atashinda michezo yote iliyosalia.
 
Kushinda mechi zake tu haitoshi
Lazima waombe CRB afungwe na Al Ahly
Simba ndio wanatakiwa kushinda mechi zao bila kuangalia matokeo ya wengine
Yanga akishinda Mechi zake anafuzu haijalishi wenzake matokeo yamekuwaje.
 
Yanga anatakiwa ashinde michezo iliyobaki yote anapita. Atakuwa na p11.
 
Kwa michezo iliyobaki Yanga akijitahidi ataongeza point 3 tu toka kwa Belouzdad na kufikisha 8.

Wakati huo Belouzdad atakuwa na point 10 , tatu kutoka kwa vibonde mediama , tatu toka kwa aly Ahly.

Aly Ahly atakuwa na point 11 , tatu toka kwa kibonde mediama , tatu tena toka kwa Yanga .
Hivyo yanga ataaga mashindano kwa stahili hiyo na kurudi Dar kuanza Kazi yake ya kupokea wageni wa simba airport.
Kama Medeama ni kibonde alimfungaje CRB?
 
Duh nilisahau huu mchezo wa CRB Na madema. Bado hatari ipo

Mbaya Ahly anachezea ugenini ni aidha afungwe au afanye draw. Halaf madema akienda Algeria atakufa kama alivokufa Yanga


Yanga hawezi kumfunga Ahly pale Cairo kama alivyoshindwa kumfunga CRB pale Algiers

Mambo bado tait Ila all is possible in football
Usipende kutumia neno "hawezi" kwenye mchezo wa soka. Namjua uliamini Jwaneng Galaxy "hawezi" kumfunga Wydad pale Morocco.
 
Back
Top Bottom