Yanga kucheza mechi 4 ndani ya Siku 9

Yanga kucheza mechi 4 ndani ya Siku 9

Hizo mechi 2 za ligi sio muhimu watacheza kina johore na bryson maana hata tukifungwa hatuna cha kupoteza.

Tukimaliza final mechi muhimu ni ya Azam tu
 
Nimejaribu kufatilia Ratiba ya Yanga ni ngumu Mno na Sijui kwa nini Bodi ya ligi Imemua kupanga hii Ratiba. Hii na Ratiba ya Mechi za Yanga

inacheza:

👉Tarehe 3 Juni CAF fainali
👉Tarehe 6 Juni ligi
👉Tarehe 9 Juni ligi
👉Tar 12 Azam Federation Cup.
Ndani ya siku 9, mechi nne, hii ni kuikomoa Yanga au? TFF wajitadhimini sana. Mimi kama mdau wa michezo napinga hii hakubaliriki

Mchimba shimo huingia mwenyewe. Hii ratiba ninyi ndio waasisi wake. Mlipinga sana kipindi Simba anapewa ahueni ilifikia wakati Simba anacheza J3 anapumzika J4 kisha J5 yuko uwanjani
 
Mchimba shimo huingia mwenyewe. Hii ratiba ninyi ndio waasisi wake. Mlipinga sana kipindi Simba anapewa ahueni ilifikia wakati Simba anacheza J3 anapumzika J4 kisha J5 yuko uwanjani
Hawa mbwa wanajiona wao ni special sana
 
Sio mbaya, baada ya tarehe 3 wachezaji muhimu watapumzika kujiandaa na fainali tarehe 12,hizo mechi 2 za ligi hazina umuhimu kwa yanga ndo maaana zimelundikwa hapo kti
Licha ya kuwa hazina umuhimu je tff wametenda haki??? Na kama hazina umuhimu kwetu sisi kwa wapinzani zina umuhimu unafikiri mbeya city akikutana na yanga b nn kitatokea huoni kama mbeya city atapata faida tff wajitathimini
 
Back
Top Bottom