Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa ulaya unafanikisha na bongo, kwa miundo mbinu gani, hapo Tanga tu hakuna ndege inaendaTimu za ENGLAND wanacheza UEFA J tano na jpili wanakipiga ligi kuu..
Wacha visingizo uchwala.
Kwamba hapo chamazi Yanga wanatumia ndege pia?Sasa ulaya unafanikisha na bongo, kwa miundo mbinu gani, hapo Tanga tu hakuna ndege inaenda
Mechi ya final inachezwa TangaKwamba hapo chamazi Yanga wanatumia ndege pia?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Mchimba shimo huingia mwenyewe. Hii ratiba ninyi ndio waasisi wake. Mlipinga sana kipindi Simba anapewa ahueni ilifikia wakati Simba anacheza J3 anapumzika J4 kisha J5 yuko uwanjaniNimejaribu kufatilia Ratiba ya Yanga ni ngumu Mno na Sijui kwa nini Bodi ya ligi Imemua kupanga hii Ratiba. Hii na Ratiba ya Mechi za Yanga
inacheza:
👉Tarehe 3 Juni CAF fainali
👉Tarehe 6 Juni ligi
👉Tarehe 9 Juni ligi
👉Tar 12 Azam Federation Cup.
Ndani ya siku 9, mechi nne, hii ni kuikomoa Yanga au? TFF wajitadhimini sana. Mimi kama mdau wa michezo napinga hii hakubaliriki
Hawa mbwa wanajiona wao ni special sanaMchimba shimo huingia mwenyewe. Hii ratiba ninyi ndio waasisi wake. Mlipinga sana kipindi Simba anapewa ahueni ilifikia wakati Simba anacheza J3 anapumzika J4 kisha J5 yuko uwanjani
Hawana akili hao ni wa kupuuza tuHawa mbwa wanajiona wao ni special sana
Licha ya kuwa hazina umuhimu je tff wametenda haki??? Na kama hazina umuhimu kwetu sisi kwa wapinzani zina umuhimu unafikiri mbeya city akikutana na yanga b nn kitatokea huoni kama mbeya city atapata faida tff wajitathiminiSio mbaya, baada ya tarehe 3 wachezaji muhimu watapumzika kujiandaa na fainali tarehe 12,hizo mechi 2 za ligi hazina umuhimu kwa yanga ndo maaana zimelundikwa hapo kti