SI KWELI Yanga kucheza na As Vita Chamazi Complex, Agosti 6, 2023 siku ya Simba Day

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
HIYO NI FAKE NEWZ.

HABARI YA UONGO.

URONGO MTUPU

UPUMBAVU +UJINGA.
 
Hamna jehanamu
 
Umepokelewa kwa hisia zipi hizo,
Zibainishe,

#Wananchi tukutane Azam Complex tarehe 6.8 Friendly Match [emoji169][emoji172][emoji3060][emoji3060][emoji3060][emoji3060]
Umenifanya nicheke Kwa nguvu ..
Anyway mwananchi mmoja ajitokeze nimkatie tiketi tukaujaze uwanja wa chamazi [emoji28]
 
Baada ya Yanga SC kwa Makusudi kabisa kuandaa Mechi yake ya Kirafiki dhidi ya AS Vita Club Siku ya Simba Day tarehe 6 August, 2023 katika Uwanja wa Chamazi ili Kuliteka Tamasha la Simba Day na Kuififisha Siku yenyewe Klabu ya Simba imeamua kujibu Mapigo na kuwaonyesha Yanga SC kuwa kwa Tanzania nzima Timu Bingwa wa Umafia na Jeuri ya Fedha ni Simba Sports Club pekee.

Taarifa ikufikie kutoka kwa Msemaji wa Simba SC Ahmed Ally aliyeko mubashara (live) sasa 107.3MhZ U-live ( Uhai FM ) ni kwamba Klabu ya Simba imeamua Kukodi Viwanja vingine Viwili vya Uhuru na Chamazi ambako huko kutafungwa Screen Kubwa ili Mashabiki waingie na Kuangalia Simba Day.

Hivyo kama kuna Timu ya Roho Mbaya Wendawazimu FC ilipanga Kucheza na AS Vita Club Mechi ya Kirafiki waje huku Kawe Uwanja wa bure wa Tanganyika Packers wacheze au waende Msoga Stadiun kwa anayewapa Jeuri wakacheze pale.

Timu ya Tajiri Mo ina Jeuri ya Fedha.
 
Unashindana na kivuli?, Tiketi za aftatutatu ndio kuwe na kiburi Cha pesa?. Kwani haiwezekani Simba kuwa na siku yenu ya kubleed na yanga kucheza mechi ya kirafiki?
 
Jeuri siku zote haikupeleki mahali pema asa mambo yote haya ambayo simba anafanya anapata faida gani kwa kukodisha viwanja viwili ili kuwakomoa yanga jichungeni msije mkalia msimu huuu na mbeleni tena halafu kisha mna mlalamikia mungu kuwa hafanyi haki kumbe wenyewe mdomo unawaponza na matendo yenu kwa namna hii mtasota sana kutafuta nusu fainali na kuchukua makombe yote ya ligi hata mkiwa mna kikosi gani cha muhimu ni nidhamu
 
Jirekebisheni kuanzia mashabiki wa simba mpaka viongozi ndipo mtakapo ona mafanikio ya klabu ila mkiendelea hivi mungu siku zote hayupo pamoja na watu wa aina hiii
 
Kazi inaanzia ngao ya hisani Simba na Azam huu msimu utawaacha mkiwa na majonzi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…