SI KWELI Yanga kucheza na As Vita Chamazi Complex, Agosti 6, 2023 siku ya Simba Day

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Jeuri siku zote haikupeleki mahali pema asa mambo yote haya ambayo simba anafanya anapata faida gani kwa kukodisha viwanja viwili ili kuwakomoa yanga jichungeni...
Fedha ni zako na Yanga SC yako au ni za Simba SC yetu na Tajiri yetu Mo Dewji? Zinakuuma nini? Vipi Magodoro yenu yenye Kunguni ya MSG yameanza Kununulika kwani yalianza Kudoda Masokoni.
 
Klabu ya Simba imeamua Kukodi Viwanja vingine Viwili vya Uhuru na Chamazi ambako huko kutafungwa Screen Kubwa ili Mashabiki waingie na Kuangalia Simba Day.

Mzee baba huu ni upotevu wa fedha tu, hiyo fedha ni bora hata ingetumika kufanya shughuli ya kijamii kwa watu wenye uhitaji...
 
Nani kakuambia Tajiri Mo Dewji na Timu Tajiri ya Simba SC huwa wanaingizwa Gharama? Waonee Huruma Yanga SC ( Timu yako Mbovu mbovu ) na siyo yetu ya Simba SC sawa?
 
Kama Fedha hiyo siyo yako inakuuma nini? Simba SC imewahi Kukupigia hodi Kukuomba Msaada wa Fedha?

Acha Ubwege sawa?

Kama ambavyo wewe umeweka maoni mzee baba, hata sis wengine tuna mitazamo tofauti tofauti, ni mawazo tu...

😁
Genta vipi tena kamanda? si tulikubaliana hakuna kutoleana maneno haya
 
Wmetangaza kuandika kitabu cha historia na kuzindua makala halafu wanasema hii haijawahi kutokea. Kaduguda aliandika kitabu cha Simba miaka mingapi imeshapita sasa?
 
Ni ukweli kwamba yanga waliandaa mechi hii ya kirafiki,na ilikuwa ichezwe same day same place,ila kocha gamondi alivyoskia taatifa hizo akakataa katakata,sababu yake ikiwa ni kwamba wao watacheza na azam,kwenye ngao ya jamii,halafu nyie mnataka tucheze na vita tena pale pale kwa azam ,hamuoni kama tutauza silaha za kivita,jamaa akawaambia kama wanataka mechi basi wacheze na timu ya ndani tena iwe avic town,bila shabiki kushuhudia.

My take:HIVI VIONGOZI WA YANGA WANAWAZA KWA KUTUMIA NINI??MNAWEZAJE PELEKA MECHI CHAMAZI COMPLEX,AFU MNA MECHI NA HAO HAO AZAM KWENYE NGAO YA JAMII SIKU CHACHE TU..MNAFANYA HAYO KUMKOMOA TU SIMBA,AND SO WHAT??????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…