ukikaidi utapigwa2
JF-Expert Member
- Feb 24, 2015
- 15,265
- 29,991
Akiwa kugamboni ni kosa? kwani yupo kwenye registration ya timu? amecheza mechi gani? una mambo ya kike sana , twambie Dejan na Outtra wapo wapi wewe kibaraka wa mhindiSwali lako limejibiwa na uzi,rudi kasome
wewe pimbi tuliza wowowo Yacouba na Kambole wapo Avic town andamana sasaKama unakubali yupo na huoni shida basi huna akili.
Akili azitoe wapiKama unakubali yupo na huoni shida basi huna akili.
Duh..Yuko Avic town amefichwa
Kula embe mbichi kwanza naona unatoa mimate tu hapa.wewe pimbi tuliza wowowo Yacouba na Kambole wapo Avic town andamana sasa
Kugamboni ndiyo wapi dada mkubwa?Akiwa kugamboni ni kosa? kwani yupo kwenye registration ya timu? amecheza mechi gani? una mambo ya kike sana , twambie Dejan na Outtra wapo wapi wewe kibaraka wa mhindi
Wewe kibaraka wa mhindi endelea kula vumbi kwenye magodauni ya huyo mmeoAkili azitoe wapi
Bado habari hizi ni za uongo?Habari zako zote ni uongo. Umepoteza credibility hapa jukwaani. Ulianza na Djuma Shaban hawezi kutua Yanga, mara Aziz Ki kanyakuliwa na Simba, ukaja na suala la Nabi, bado unataka uendelee kuaminiwa?
Mkuu hizi habari ni za kweli, umeamini au bado umetia mgomo kukubali?Jukwaa la umma. Unawezaje kuleta habari za uongo? Hovyo sana
Tutalijua hilo siku ya mechi mapinduzi cupSamahani anacheza namba ngapi Yanga?
Hii ilikuwa tetesi ambayo ilizungumzwa kutoka vyanzo vikubwa ikiwemo Wasafi kwenye kipindi cha michezoNi zezeta tu ndio ataamini taarifa zako, sasa kama amefungiwa huko avic town sisi tufanyaje? Ulitaka ufungiwe nae room moja? Ili iwe nini? We si mtoto wa kiume? Au ndio mchele....
Mkuu bado hii habari unaiona ni ya uzushi japo kuwa muda umeamua?Amekuomba uje umsemee humu jukwaani?
Mkuu bado hii habari unaiona haina authentication?Mkuu hebu tafuta content za msingi walau za kujenga soka letu we kila siku ni kuongelea majungu , umbea umbea tu.
Kama una taarifa sahihi nenda nazo TFF pale kafwatilie utapata ufafanuzi haya maswala ya kila siku kulalamika kwanza unajishushia uweledi.
Bado unabsha?Habari zako zote ni uongo. Umepoteza credibility hapa jukwaani. Ulianza na Djuma Shaban hawezi kutua Yanga, mara Aziz Ki kanyakuliwa na Simba, ukaja na suala la Nabi, bado unataka uendelee kuaminiwa?
Ndomn wamemtoa january hiiNiliumia sana hao jamaa kumbadilisha Kambole na Kisinda yaani hawawaoni Wazambia wana vyocheza mpira wa akili...nimesikia kuwa atakuwepo kwenye usajiri wa January ila walichokifanya sio sawa Kambole ni mtu na nusu sio huyo Kisinda Madarali wametuharibia radha iliyotakiwa kuwepo pale wacha tuendelee kuwaangalia...
Viper ya wapi?Yuko vipers huyoooo walisema
Bora wewe ulikubali angalau huwezi kuonekana snitch kama wenzakoYupo ndio, shida ipo wapi?
Sijapata taarifa katolewa kasajiriwa au imekuaje huwezi kumuchukua Kisinda ukamuacha Kambole hao viongozi waongo sana sana...Ndomn wamemtoa january hii
Shida ni kudanganya kwa utopolo... aliachwa na kusemekana ameenda ug ili kutoa nafasi kwa kisinda...Yupo ndio, shida ipo wapi?