kt the irreplaceable
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 2,375
- 4,893
Ni zezeta tu ndio ataamini taarifa zako, sasa kama amefungiwa huko avic town sisi tufanyaje? Ulitaka ufungiwe nae room moja? Ili iwe nini? We si mtoto wa kiume? Au ndio mchele....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo ana mahaba mazito na Yanga.... Wamatumbi wana msemo wao mmoja "Too much Hate means Love"..... Tumpe muda tu atavaa jezi ya njano na kijaniHuyu mpuuzi anaboa! Yeye Simba ila kila siku issue za ajabu za Yanga! Akili ndogo
Umenifurahisha bibie! Wengine tungelikuwa na attitude kama yako wala tusingekuwa na tatizo la BPHuyo ana mahaba mazito na Yanga.... Wamatumbi wana msemo wao mmoja "Too much Hate means Love"..... Tumpe muda tu atavaa jezi ya njano na kijani
AuchoHuyo kwenye picha ni nani
Huyo aliyesimama mwisho kulia pembeni ya Kocha ni naniAucho
Labda ya ccmHuyo ana mahaba mazito na Yanga.... Wamatumbi wana msemo wao mmoja "Too much Hate means Love"..... Tumpe muda tu atavaa jezi ya njano na kijani
Amekuomba uje umsemee humu jukwaani?View attachment 2398063
View attachment 2398000
Yanga wakimuaga daktari wa timu wiki iliyopita.
Kambole amekuwa akifungiwa ndani huko Avic Town Kigamboni ili kuficha aibu ya siasa za usajili.
Huyu ni mchezaji aliyetajwa kuachwa na Yanga baada ya idadi ya wachezaji wa kigeni kuzidi kufuatia usajili wa Kisinda.
TFF ilihalalisha kucheza kwa Kisinda Yanga ikiwa ni uamuzi wa kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji ya TFF.
Tuliambiwa hilo lilitimia baada ya kumpeleka kwa mkopo Kambole katika timu ya Wakiso Giants nchini Uganda na ITC yake ilitumwa huko na sio Yanga tena.
Kumbe haikuwa kweli mchezaji huyo amefichwa kambini ili asionekane hadharani kukwepa aibu.
Mficho huu huwezi kuukuta media kwa sababu wachambuzi wote wamepewa maelekezo sambamba na kitu kidogo ili kunyamazishwa. Kama Simba Sc ingekuwa imefanya tukio la hovyo kama hili dunia ingesimama kwa makombora kwa Barbra.
Nawataka Yanga wamuache Kambole awe huru kuchangamana akisubiri hatma yake badala ya kumficha ndani kama msukule
Aucho yuko upande wa waliosimama anacheka na nabiAucho
Tuliambiwa amesajiliwa uganda tayarAmekuomba uje umsemee humu jukwaani?
Kwani uongo? Huyo alizungushiwa duara si kamboleNi zezeta tu ndio ataamini taarifa zako, sasa kama amefungiwa huko avic town sisi tufanyaje? Ulitaka ufungiwe nae room moja? Ili iwe nini? We si mtoto wa kiume? Au ndio mchele....
Tunawamsha mmelala sana watu wanakula mshahara wa bure hapo utopoloniWanaoumia na yanga ni simba
Tuliambiwa amesajiliwa uganda tayar
Tunapenda sana mnavyoteseka utopoloMakolo yanaongoza kwa kuanzisha threads zinazoihusu Yanga kuliko zinazoihusu Makolo yenyewe...
Cha ajabu zaidi, asilimia kubwa ya threads zao ni propaganda... yaani propaganda kwenye soccer!! What a pity!!
Mkija kutandikwa na Mayele mnakimbilia kusema "hawa hawana wanachowaza zaidi ya kuwafunga Simba"!
Mtafahamu vipi strenghs na weakness ya klabu yenu wakati kila siku mnafuatilia taarifa za klabu nyingine!!! Mnakuwa busy kuifuatilia Yanga kuliko mnavyoifuatilia klabu yenu!
Mkeka mreeefu,lakini nje ya mada. Haya rudi kwenye mada sasaMakolo yanaongoza kwa kuanzisha threads zinazoihusu Yanga kuliko zinazoihusu Makolo yenyewe...
Cha ajabu zaidi, asilimia kubwa ya threads zao ni propaganda... yaani propaganda kwenye soccer!! What a pity!!
Mkija kutandikwa na Mayele mnakimbilia kusema "hawa hawana wanachowaza zaidi ya kuwafunga Simba"!
Mtafahamu vipi strenghs na weakness ya klabu yenu wakati kila siku mnafuatilia taarifa za klabu nyingine!!! Mnakuwa busy kuifuatilia Yanga kuliko mnavyoifuatilia klabu yenu!
Eti tunavyoteseka... hivi huoni anayeteseka ni yule ambae kila siku anamwongelea mwenzake?!Tunapenda sana mnavyoteseka utopolo