Yanga kumficha ndani Kambole kama 'msukule' siyo sawa!

Yanga kumficha ndani Kambole kama 'msukule' siyo sawa!

Huyu mpuuzi anaboa! Yeye Simba ila kila siku issue za ajabu za Yanga! Akili ndogo
Huyo ana mahaba mazito na Yanga.... Wamatumbi wana msemo wao mmoja "Too much Hate means Love"..... Tumpe muda tu atavaa jezi ya njano na kijani
 
Huyo ana mahaba mazito na Yanga.... Wamatumbi wana msemo wao mmoja "Too much Hate means Love"..... Tumpe muda tu atavaa jezi ya njano na kijani
Umenifurahisha bibie! Wengine tungelikuwa na attitude kama yako wala tusingekuwa na tatizo la BP
 
Juha mwenye platinum beji wa jf!?
 
View attachment 2398063
View attachment 2398000
Yanga wakimuaga daktari wa timu wiki iliyopita.

Kambole amekuwa akifungiwa ndani huko Avic Town Kigamboni ili kuficha aibu ya siasa za usajili.
Huyu ni mchezaji aliyetajwa kuachwa na Yanga baada ya idadi ya wachezaji wa kigeni kuzidi kufuatia usajili wa Kisinda.

TFF ilihalalisha kucheza kwa Kisinda Yanga ikiwa ni uamuzi wa kamati ya Sheria na hadhi za wachezaji ya TFF.

Tuliambiwa hilo lilitimia baada ya kumpeleka kwa mkopo Kambole katika timu ya Wakiso Giants nchini Uganda na ITC yake ilitumwa huko na sio Yanga tena.

Kumbe haikuwa kweli mchezaji huyo amefichwa kambini ili asionekane hadharani kukwepa aibu.

Mficho huu huwezi kuukuta media kwa sababu wachambuzi wote wamepewa maelekezo sambamba na kitu kidogo ili kunyamazishwa. Kama Simba Sc ingekuwa imefanya tukio la hovyo kama hili dunia ingesimama kwa makombora kwa Barbra.

Nawataka Yanga wamuache Kambole awe huru kuchangamana akisubiri hatma yake badala ya kumficha ndani kama msukule
Amekuomba uje umsemee humu jukwaani?
 
Luc eymael hakukosea kuwaita manyani mambwa mnabweka bweka hivyo yaani mleta mada kaleta topic nzuri tu ya kudiscus ujinga wa viongozi wenu mnakuja kumtusi humu
 
Ni zezeta tu ndio ataamini taarifa zako, sasa kama amefungiwa huko avic town sisi tufanyaje? Ulitaka ufungiwe nae room moja? Ili iwe nini? We si mtoto wa kiume? Au ndio mchele....
Kwani uongo? Huyo alizungushiwa duara si kambole
Au kwa vile pesa ya usajili sasa hivi hampitishi bakuli haiwaumi ila muda unakuja kukiwaka moto hapo utopoloni tutakuja kuongeza kuni uwake vizuri
 
Makolo yanaongoza kwa kuanzisha threads zinazoihusu Yanga kuliko zinazoihusu Makolo yenyewe...

Cha ajabu zaidi, asilimia kubwa ya threads zao ni propaganda... yaani propaganda kwenye soccer!! What a pity!!

Mkija kutandikwa na Mayele mnakimbilia kusema "hawa hawana wanachowaza zaidi ya kuwafunga Simba"!

Mtafahamu vipi strenghs na weakness ya klabu yenu wakati kila siku mnafuatilia taarifa za klabu nyingine!!! Mnakuwa busy kuifuatilia Yanga kuliko mnavyoifuatilia klabu yenu!
 
Tuliambiwa amesajiliwa uganda tayar
D44CEED7-B1EB-4C1B-820F-BEA2D48B29E4.jpeg

Hili sio personal matter, ni public. Bora wewe hujakataa kwamba kafichwa
 
Makolo yanaongoza kwa kuanzisha threads zinazoihusu Yanga kuliko zinazoihusu Makolo yenyewe...

Cha ajabu zaidi, asilimia kubwa ya threads zao ni propaganda... yaani propaganda kwenye soccer!! What a pity!!

Mkija kutandikwa na Mayele mnakimbilia kusema "hawa hawana wanachowaza zaidi ya kuwafunga Simba"!

Mtafahamu vipi strenghs na weakness ya klabu yenu wakati kila siku mnafuatilia taarifa za klabu nyingine!!! Mnakuwa busy kuifuatilia Yanga kuliko mnavyoifuatilia klabu yenu!
Tunapenda sana mnavyoteseka utopolo
 
Makolo yanaongoza kwa kuanzisha threads zinazoihusu Yanga kuliko zinazoihusu Makolo yenyewe...

Cha ajabu zaidi, asilimia kubwa ya threads zao ni propaganda... yaani propaganda kwenye soccer!! What a pity!!

Mkija kutandikwa na Mayele mnakimbilia kusema "hawa hawana wanachowaza zaidi ya kuwafunga Simba"!

Mtafahamu vipi strenghs na weakness ya klabu yenu wakati kila siku mnafuatilia taarifa za klabu nyingine!!! Mnakuwa busy kuifuatilia Yanga kuliko mnavyoifuatilia klabu yenu!
Mkeka mreeefu,lakini nje ya mada. Haya rudi kwenye mada sasa
 
Tunapenda sana mnavyoteseka utopolo
Eti tunavyoteseka... hivi huoni anayeteseka ni yule ambae kila siku anamwongelea mwenzake?!

Kama Wana-Yanga waliona ni bora Kisinda kuliko Kambole, ni nani atakayeteseka kuona picha lilivyochezwa kama sio Makolo?!
 
Back
Top Bottom