Yanga kuna ombwe kubwa la uongozi,maamuzi yao ni dhahiri wenye akili ni wawili watuweke wazi ni hujuma gani ziliwakimbiza Chamazi!

Yanga kuna ombwe kubwa la uongozi,maamuzi yao ni dhahiri wenye akili ni wawili watuweke wazi ni hujuma gani ziliwakimbiza Chamazi!

kipara kipya

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2016
Posts
18,833
Reaction score
23,276
Yanga wamefanya maamuzi ya kitoto sana yote yamesababishwa na ombwe la uongozi sababu mpaka sasa hazijawekwa wazi wanachama na mashabiki wao kwakuwa ni empty up stairs wameshindwa kuhoji wala kutaka kujua sababu.
Tuionayo wengi ni kupoteza michezo miwili mfululizo wamesahau msimu uliopita walikuwa wakishinda tono tano mpaka wakina mama j wanatoa zawadi za ushindi,
Viongozi watoe sababu kwanini wanakimbia chamazi kama uongozi ni makini wangesema wanaelekeza kujenga uwanja kama wanavyo jinasibu daily lakini kwa kuwa wanachama na mashabiki wao ni wawili tu kama alivyo wahi kusema manara wote wanakata viuno na kuselebuka,
Kesho kmc complex wakinyimwa kuchimbia mauganga yao ya mapaka matunguri na mafuvu ya watu,
Wakigomewa kujichoma sindano bila daktari wa muhimbili watataka kurudi chamazi.
Yanga ina viongozi wenye maamuzi na mawazo ya kitoto ni juzi tu wametoka kuweka mabango je ni kweli kuwa yanga inatumia njia zisizo halali kushinda mechi zake ni hujuma gani wanayofanyiwa azam complex watuweke wazi!
 
Jionee mambo!
 

Attachments

  • Screenshot_20241110_061842_X.jpg
    Screenshot_20241110_061842_X.jpg
    139.4 KB · Views: 4
  • 20241109_225518.jpg
    20241109_225518.jpg
    394.9 KB · Views: 3
Yanga wamefanya maamuzi ya kitoto sana yote yamesababishwa na ombwe la uongozi sababu mpaka sasa hazijawekwa wazi wanachama na mashabiki wao kwakuwa ni empty up stairs wameshindwa kuhoji wala kutaka kujua sababu.
Tuionayo wengi ni kupoteza michezo miwili mfululizo wamesahau msimu uliopita walikuwa wakishinda tono tano mpaka wakina mama j wanatoa zawadi za ushindi,
Viongozi watoe sababu kwanini wanakimbia chamazi kama uongozi ni makini wangesema wanaelekeza kujenga uwanja kama wanavyo jinasibu daily lakini kwa kuwa wanachama na mashabiki wao ni wawili tu kama alivyo wahi kusema manara wote wanakata viuno na kuselebuka,
Kesho kmc complex wakinyimwa kuchimbia mauganga yao ya mapaka matunguri na mafuvu ya watu,
Wakigomewa kujichoma sindano bila daktari wa muhimbili watataka kurudi chamazi.
Yanga ina viongozi wenye maamuzi na mawazo ya kitoto ni juzi tu wametoka kuweka mabango je ni kweli kuwa yanga inatumia njia zisizo halali kushinda mechi zake ni hujuma gani wanayofanyiwa azam complex watuweke wazi!
Huu ndio upuuzi unao wapa Simba kichwa, Yanga ipo kabla ya Simba Kila mnalo Fanya tunalijua ndio maana tuna Mataji mengi kuwazidi.
Mambo ya kipuuzi wafanyieni wageni ila si Yanga, yaani mkimaliza vikao vyenu fail lote tunakua nalo.
 

Attachments

  • VID-20241110-WA0000.mp4
    2.4 MB
Huu ndio upuuzi unao wapa Simba kichwa, Yanga ipo kabla ya Simba Kila mnalo Fanya tunalijua ndio maana tuna Mataji mengi kuwazidi.
Mambo ya kipuuzi wafanyieni wageni ila si Yanga, yaani mkimaliza vikao vyenu fail lote tunakua nalo.
Kunywa ushushe pressure haya eleza ulichotaka kusema!
 
Nihadithie!
Hakuna hadithi apo Kila kitu kinajieleza laivu au unataka nikuletee ya viongozi wako wakiwa tumbo wazi na vi pensi wakifanya Yao Dressing Room pamoja na baadhi ya wachezaji waandamizi wa Simba?
 
Hakuna hadithi apo Kila kitu kinajieleza laivu au unataka nikuletee ya viongozi wako wakiwa tumbo wazi na vi pensi wakifanya Yao Dressing Room pamoja na baadhi ya wachezaji waandamizi wa Simba?
Tupe sababu kwanini yanga wamehama Chamazi?hizo nyingine ni porojo subiri supu day!
 
Unataka nikuletee za mashabiki wa Simba maana Nina Rundo la uchafu wenu katika Kila Kona ya mpira wa miguu TZ.
 
Back
Top Bottom