Yanga kwa sasa inafaidika nini na kumng'ang'ania Feitoto?

Yanga kwa sasa inafaidika nini na kumng'ang'ania Feitoto?

Huu uswahili wenu kwenye mikataba ndiyo umesababisha mkamtoa Faisal chambo.

Muambieni huyo dogo ukweli kuwa mmemuingiza chaka afanye hima achutame.
Hivi nikuulize tena.
Kuna namna yoyote kwa Yanga kuweza kumtumia uwanjani na kufaidika na Feitoto?
Ama Yanga inaona fahari kumkomoa Feitoto?

Swali linabakia pale pale, Yanga wanapata faida gani kwa sasa kuendelea kumng'ang'ania Feitoto?
 
Hapo kwenye bila utaratibu ndio patakapo muumiza na ata umia kweli, mpka sasa Yanga hawana shida nae ila wanataka wamtie adabu
Yanga inapomtia adabu Feitoto, ndio inapata faida kubwa?
 
Swali linabakia pale pale, Yanga wanapata faida gani kwa sasa kuendelea kumng'ang'ania Feitoto?
Wanapata hasara gani?
Kumuhodhi kunatoa nafasi ya ku-bargain hela zaidi ya kumuachia.
Good business decision on their part.
 
Mm naomba kujua why Mwajiri (YANGA) Hamchukulii hatua za kinidhamu Mfanyakazi wake ambaye hatimizi Majukumu yk na haonekani Ofisini?
Kuna Namna na taratibu za kuaga na kuondoka kwa amani ndugu mleta mada.

Nafikiri nguvu kubwa mngetumia kwenye kumuelewesha utaratibu sahihi wa kuondoka kama ataki kuendelea kufanya kazi na Yanga.

Sent from my Infinix X689C using JamiiForums mobile app
 
Na wanadaiwa na Azam pesa ya GADIEL mpk leo!
Tangulini utopolo wakawa watu wa kufuata utaratibu na kuheshimu mikataba? Chukulia tuu ya sportpesa kwavile tarimba ni mwanachama la sivyo kesi ingekua mahakamani, angalia ile ishu ya morrison
Nb utopolo ni watu wa hovyo hovyo
 
Huenda kuna kitu sikifahamu au labda nimepitwa. Mchezaji Feitoto alishaamua kuachana na Yanga na akawaaga na mashabiki, lakini klabu yake ya Yanga imeendelea kumng'ang'ania lakini haiwezi kumtumia, haimchezeshi, haimwamini nk

Nini mantiki ya Yanga kuendelea kumng'ang'ania Feitoto?

Hebu achane ss kujaza nyuzi za Fei mwenyewe toto
 
Hivi nikuulize tena.
Kuna namna yoyote kwa Yanga kuweza kumtumia uwanjani na kufaidika na Feitoto?
Ama Yanga inaona fahari kumkomoa Feitoto?

Swali linabakia pale pale, Yanga wanapata faida gani kwa sasa kuendelea kumng'ang'ania Feitoto?
Faida ni kwamba, washahili wengine kwenye timu wataheshimu mikataba kwani wameshajua ukubwa wa taasisi na uzito wa mikataba waliyosaini.
Tukienda kiswahili-swahili kama mnavotaka hizi team zitabaki na wachezaji 6 tu.

Hili ni fundisho kwa kila mswahili.
 
Wanapata hasara gani?
Kumuhodhi kunatoa nafasi ya ku-bargain hela zaidi ya kumuachia.
Good business decision on their part.
Kwa kadri Yanga wanavyoendelea kumng'ang'ania Feitoto maana yake wanapaswa kumlipa haki zote (ikiwemo mishahara na marupurupu yake) na wakati huo huo hawamtumii.

Na kadri mchezaji anapokuwa hachezi huwezi kuja kumuuza kwa thamani kubwa.

Swali, linabakia pale pale, nini mantiki ya Yanga kuendelea kumng'ang'ania Feitoto wakati haiwezi kumtumia tena?
 
Faida ni kwamba, washahili wengine kwenye timu wataheshimu mikataba kwani wameshajua ukubwa wa taasisi na uzito wa mikataba waliyosaini.
Tukienda kiswahili-swahili kama mnavotaka hizi team zitabaki na wachezaji 6 tu.

Hili ni fundisho kwa kila mswahili.
Mchezaji anapovunja mkataba wake kinyume na utaratibu, klabu inapaswa kufaidika kimkataba (kupata faida za kipesa) na mchezaji kuumizwa kimkataba (kupoteza pesa), na sio kupotezeana muda au kukomoana.

Mikataba haiwezi kuheshimiwa kwa kukomoana bali kwa kuheshimiana kimkataba. Mchezo wa mpira ni mchezo wa kiuungwana na biashara.
 
Huenda kuna kitu sikifahamu au labda nimepitwa. Mchezaji Feitoto alishaamua kuachana na Yanga na akawaaga na mashabiki, lakini klabu yake ya Yanga imeendelea kumng'ang'ania lakini haiwezi kumtumia, haimchezeshi, haimwamini nk

Nini mantiki ya Yanga kuendelea kumng'ang'ania Feitoto?
Fei katoroka klabuni huku akiwa bado na mkataba hai, Yanga ikipotezea hili suala itageuka tabia ya kuiga siku zijazo kwa wachezaji wengine.
 
Labda nikuulize serikali inafaidika nini na wafungwa huko jela?
Serikali moja kwa moja haiwezi kufaidika na wafungwa waliopo jela, lakini wafungwa wanafaidika kwa kuwepo jela kwa kuwa jela ni eneo la kuwarekebisha na kuwalinda dhidi ya jamii.
 
Fei katoroka klabuni huku akiwa bado na mkataba hai, Yanga ikipotezea hili suala itageuka tabia ya kuiga siku zijazo kwa wachezaji wengine.
Mchezaji mtoro unaendelea kumng'ang'ania wa nini?
Kwani Yanga ni klabu ya kufuga wachezaji watoro?
Kwanini uendelee kumlipa mshahara na marupuru mchezaji mtoro?
Mtoro anapaswa afukuzwe ili apoteze haki zake.
 
Mchezaji anapovunja mkataba wake kinyume na utaratibu, klabu inapaswa kufaidika kimkataba (kupata faida za kipesa) na mchezaji kuumizwa kimkataba (kupoteza pesa), na sio kupotezeana muda au kukomoana.

Mikataba haiwezi kuheshimiwa kwa kukomoana bali kwa kuheshimiana kimkataba. Mchezo wa mpira ni mchezo wa kiuungwana na biashara.
ndiyo Fatma na Mama Fei wamekujaza hivi 😂😂😂
Any reference??
Kijana wenu mswahili ameingia cha kiume amebaki analia-lia kama kapaliwa na urojo.

Yanga ni taasisi yenye mikataba kwa waajiriwa wake.
Nyie wengine mngejikita kujadili mambo ya waganga wa kienyeji, haya maswala ya mikataba ya mpira yamewazidi kimo
 
Mchezaji anapovunja mkataba wake kinyume na utaratibu, klabu inapaswa kufaidika kimkataba (kupata faida za kipesa) na mchezaji kuumizwa kimkataba (kupoteza pesa), na sio kupotezeana muda au kukomoana.

Mikataba haiwezi kuheshimiwa kwa kukomoana bali kwa kuheshimiana kimkataba. Mchezo wa mpira ni mchezo wa kiuungwana na biashara.
Huo uungwana uano usema Fei anao?
 
Back
Top Bottom