Hio it's valid only with mutual agreement..Kwani feitoto hajafuata mkataba?
Mkataba umeweka vigezo vya kuuvunja ni fei kulipa million 100 na mshahara wa miezi mitatu
Kuna utaratibu gani tena?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hio it's valid only with mutual agreement..Kwani feitoto hajafuata mkataba?
Mkataba umeweka vigezo vya kuuvunja ni fei kulipa million 100 na mshahara wa miezi mitatu
Kuna utaratibu gani tena?
Yes, and we can simply call it "psychological tortures" [emoji1787]Hapo kwenye bila utaratibu ndio patakapo muumiza na ata umia kweli, mpka sasa Yanga hawana shida nae ila wanataka wamtie adabu
YANGA FC inapata faida kubwa sana sababu itakuwa imeweka case study kwa Wachezaji wengine ili wasihadaike kijinga jinga kuvunja mikataba bila kufata sheria.Yanga inapomtia adabu Feitoto, ndio inapata faida kubwa?
Amka haraka kitandani uache kuota ndoto huku unaharibu godoro kwa mkojo kabla sijakubabua mkofi...[emoji87]Kwa kadri Yanga wanavyoendelea kumng'ang'ania Feitoto maana yake wanapaswa kumlipa haki zote (ikiwemo mishahara na marupurupu yake) na wakati huo huo hawamtumii.
Na kadri mchezaji anapokuwa hachezi huwezi kuja kumuuza kwa thamani kubwa.
Swali, linabakia pale pale, nini mantiki ya Yanga kuendelea kumng'ang'ania Feitoto wakati haiwezi kumtumia tena?
.Labda nikuulize serikali inafaidika nini na wafungwa huko jela?
Chama na Feisal wamesaini Mkataba mmoja we nyalamkende??Bush lawyer, wajinga kama wewe ndio mmeharibu maisha ya Feisal.
Kwahiyo leo Chama akiwaingizia Benki pesa zao Simba kesho anaondoka?
According to you or according to the contract??Hio it's valid only with mutual agreement..
Kuguswa Chama tu tayari unapwita kama yule Afande wa Zanzibar.Chama na Feisal wamesaini Mkataba mmoja we nyalamkende??
Nasikia mnalazimisha apigwe faini, angalieni msije peleka hili suala kwenye kero za muungano, Fei kuna watu wapo nyuma yake wanamlisha matango pori nae anayala na kuyameza aende Yanga wazungumze kuliko kutumia njia haramuHuenda kuna kitu sikifahamu au labda nimepitwa. Mchezaji Feitoto alishaamua kuachana na Yanga na akawaaga na mashabiki, lakini klabu yake ya Yanga imeendelea kumng'ang'ania lakini haiwezi kumtumia, haimchezeshi, haimwamini nk
Nini mantiki ya Yanga kuendelea kumng'ang'ania Feitoto?
Alisaini mkataba na Inabidi atumike.. mkataba hauvunjwi kwa upande Mmoja kuamua lazma kuwe na makubaliano ya pande pande mbili... Sasa fei analazimisha kusiwepo mutual agreement...huyo staa wenu mwambieni afate taratibu za soka ,huku Tanzania atapotezwa kwenye ramani..walikuepo Kama yeye na pengine hata kumzidi Kwan sasa wako wapi...amuulize singano alirubuniwa na Azam hivohivo!!Kwa kadri Yanga wanavyoendelea kumng'ang'ania Feitoto maana yake wanapaswa kumlipa haki zote (ikiwemo mishahara na marupurupu yake) na wakati huo huo hawamtumii.
Na kadri mchezaji anapokuwa hachezi huwezi kuja kumuuza kwa thamani kubwa.
Swali, linabakia pale pale, nini mantiki ya Yanga kuendelea kumng'ang'ania Feitoto wakati haiwezi kumtumia tena?
Bado hujajibu swali la hoja iliyopo.Umejibiwa swali lako vizur tu ila umeachagua kutoelewa kwa maana ulikuwa na majibu yako binafsi lakini unataka Yanga wakujibie unavyotaka wewe. Sio kila jambo ndani ya Club lazima lilete faida ya kifedha, bali kuna matukio yanatakiwa kufanywa kulinda taswira ya Club hata kwa kupata hasara. Kwa kutumia akili ndogo tu, unadhani Yanga wamekosea? Unaamua kuondoka kwenye Club kienyeji tu ulitaka Yanga wabariki huo ujinga kisa Fei ametaka hivyo? Yanga akiruhusu huu ujinga kuna siku Kambini atabaki Erick Johora tu na timu itakuwa imekufa rasmi.
Yanga inafahamu ipo kwenye vita, kila timu inataka mafanikio, ukiruhusu huu ujinga, timu pinzani zitakuja kukupoteza kupitia huu ujinga, Wapinzani wa Yanga kesho watkusanya Fedha kibao kuja kuwarubuni kina Mayele, Diara, Aziz Ki, Aucho, Job, Kubwana, Djuma, Sasa hapo ubingwa umeuuza kwa wapinzani wako kisa huruma kwa wajinga. Mjinga atajibiwa kijinga.
Hebu tuoneshe huo mkataba wa huyo fei jinga tuone hicho kipengele au unaropoka tu?Mkataba unatakiwa useme hivyo, mkataba wa Feitoto umesema Feitoto anatakiwa kulipa around 100m ili kuvunja mkataba wake (na amezilipa tayari), issue ambayo Yanga wanasimamia ni kuwa, utaratibu wa kufikia hapo haukufuatwa na Feitoto. Sasa suala lilllopo hapa ni kuwa, ni vipi Yanga wanafaidika na Feitoto kwa sasa?
Wakati Feitoto anahamia Yanga, ni akina nani walikuwa nyuma yake wakimlisha matango pori?Nasikia mnalazimisha apigwe faini, angalieni msije peleka hili suala kwenye kero za muungano, Fei kuna watu wapo nyuma yake wanamlisha matango pori nae anayala na kuyameza aende Yanga wazungumze kuliko kutumia njia haramu
Wakati anakuja Yanga hao wanaomrubuni leo hawakumuona viunga vya Mchambawima? Wakati anakuja Yanga kipato alichokuwa anapata kilikuwa kikubwa kuliko alikokuwa kwenye timu za ZenjiWakati Feitoto anahamia Yanga, ni akina nani walikuwa nyuma yake wakimlisha matango pori?
Wakati Feitoto anakubali kuingia mkataba na Yanga wenye maslahi duni kwake , wakina nani walikuwa wanamlisha matango pori?
Kabla ya kufikiri kuwa Feitoto anashauriwa vibaya sasa, anza kutafakari pia nani walikuwa wanamshauri Feitoto hapo kabla.
Naona uko nje ya hoja.Alisaini mkataba na Inabidi atumike.. mkataba hauvunjwi kwa upande Mmoja kuamua lazma kuwe na makubaliano ya pande pande mbili... Sasa fei analazimisha kusiwepo mutual agreement...huyo staa wenu mwambieni afate taratibu za soka ,huku Tanzania atapotezwa kwenye ramani..walikuepo Kama yeye na pengine hata kumzidi Kwan sasa wako wapi...amuulize singano alirubuniwa na Azam hivohivo!!
Afuate taratibu tu za kuvunja mkataba...mkataba hauvunjwi Instagram kwa condition ya Feisal ilibidi kuwepo mutual agreement both sidesBado hujajibu swali la hoja iliyopo.
Suala lipo wazi kabisa, Feitoto hataki tena kuwepo Yanga, na Yanga haina tena mpango wa kumtumia kwenye mechi zake. Sasa wa nini kuendelea kumng'ang'ania?
Kama hoja ni kuwa iwe funzo kwa wachezaji wengine ndani ya Yanga, sasa mantiki ni nini ikiwa klabu itaendelea kukaa na wachezaji waliopoteza mapenzi na timu yao lakini kwa kuogopa kukomolewa kama Feitoto basi waendelee kubakia tu Yanga?
Hilo liko Wazi eng hersi alishasema wanaomtaka mchezaji Feisal waje meza ya mazungumzo ,lkn mpaka sasa hamna kiongoz yoyote aliyejitokeza kumtaka Feisal , Feisal mwenyewe haoneshi kutaka mazungumzo ya pande mbili ...Naona uko nje ya hoja.
Kinachoendelea sasa ni kuwa Feitoto hawezi tena kuichezea Yanga (haitaki na hana tena mapenzi nayo), na Yanga hawawezi tena kumtumia Feitoto (hawamuamini tena na wana chuki naye). Sasa katika hali hiyo, wengi tungetegemea Yanga wangefungua ukurasa mwingine wa kuachana na mchezaji huyo kwa hali yoyote ile.
Sasa nini mantiki ya Yanga kuendelea kumng'ang'ania mchezaji ambaye hana kazi yoyote kwao?
Sheria gani uliyojaribu kuelezea ukaonekana mshabiki wa Yanga?Hili Jambo tukieleza Kisheria tunaonekana mashabiki wa Yanga. Lakini Hakuna popote duniani timu/Taasisi itaruhusu mchezaji/mwajiwake aache kazi anavyojisikia bila kufuata taratibu kisa tu kalipa hela ya kununuliwa au mshahara wa mwezi mmoja.
Taasisi inaweza kukosea piaYanga ni taasisi mkuu.
Wanaendesha mambo yao kutokana na ethics na principles.
Ikitokea leo yanga wakalifanya swala la Fei toto kienyeji watajenga picha gani kwa mashabiki na wadau wengine wa michezo.
Ndio maana unaona kama Yanga wamekomaa vile.
Sent using Jamii Forums mobile app