Yanga kwa sasa inafaidika nini na kumng'ang'ania Feitoto?

Yanga kwa sasa inafaidika nini na kumng'ang'ania Feitoto?

Mchezaji anapovunja mkataba wake kinyume na utaratibu, klabu inapaswa kufaidika kimkataba (kupata faida za kipesa) na mchezaji kuumizwa kimkataba (kupoteza pesa), na sio kupotezeana muda au kukomoana.

Mikataba haiwezi kuheshimiwa kwa kukomoana bali kwa kuheshimiana kimkataba. Mchezo wa mpira ni mchezo wa kiuungwana na biashara.
Umejibiwa swali lako vizur tu ila umeachagua kutoelewa kwa maana ulikuwa na majibu yako binafsi lakini unataka Yanga wakujibie unavyotaka wewe. Sio kila jambo ndani ya Club lazima lilete faida ya kifedha, bali kuna matukio yanatakiwa kufanywa kulinda taswira ya Club hata kwa kupata hasara. Kwa kutumia akili ndogo tu, unadhani Yanga wamekosea? Unaamua kuondoka kwenye Club kienyeji tu ulitaka Yanga wabariki huo ujinga kisa Fei ametaka hivyo? Yanga akiruhusu huu ujinga kuna siku Kambini atabaki Erick Johora tu na timu itakuwa imekufa rasmi.
Yanga inafahamu ipo kwenye vita, kila timu inataka mafanikio, ukiruhusu huu ujinga, timu pinzani zitakuja kukupoteza kupitia huu ujinga, Wapinzani wa Yanga kesho watkusanya Fedha kibao kuja kuwarubuni kina Mayele, Diara, Aziz Ki, Aucho, Job, Kubwana, Djuma, Sasa hapo ubingwa umeuuza kwa wapinzani wako kisa huruma kwa wajinga. Mjinga atajibiwa kijinga.
 
Kwa kadri Yanga wanavyoendelea kumng'ang'ania Feitoto maana yake wanapaswa kumlipa haki zote (ikiwemo mishahara na marupurupu yake) na wakati huo huo hawamtumii.

Na kadri mchezaji anapokuwa hachezi huwezi kuja kumuuza kwa thamani kubwa.

Swali, linabakia pale pale, nini mantiki ya Yanga kuendelea kumng'ang'ania Feitoto wakati haiwezi kumtumia tena?
Tatizo Usimba na Uyanga (personal issues) unawasumbua,..yaani mchezaji hafiki mazoezi, hachezi mechi na analipwa stahiki zake zote. Yanga wanamtime tu usizani ni wapumbavu kiasi hicho.
 
Wakili Fatma kashafichua kuwa Mkataba wa Fei una mapungufu mengi yanayomruhusu kuwa huru. Na akiamua kuyafichua inaweza ikasababisha wachezaji wengine wa Yanga nao wakaanza kukagua haya mapungufu kama ya Fei.

Kamati imetumia busara sana kumuacha Fei aendelee kula ugali na Sukari. Akichoka kulamba sukari ya Dar aende na unga wake tu kule Kagera au Mtibwa, Sukari ataikuta kwa wingi.
 
Wakili Fatma kashafichua kuwa Mkataba wa Fei una mapungufu mengi yanayomruhusu kuwa huru. Na akiamua kuyafichua inaweza ikasababisha nusu ya wachezaji wengine wa Yanga nao wakasepa kwa staili kama ya Fei.

Kamati imetumia busara sana kumuacha Fei aendelee kula ugali na Sukari.
Akichoka kulamba sukari ya Dar aende na unga wake tu kule Kagera au Mtibwa, Sukari ataikuta kwa wingi.
Kama ashajua hayo mapungufu kwanini asitumie hayo mapungufu kumtetea fei? Aende cas akapate haki yake kama anaonewa, siyo analia na ttf wakati chombo cha haki kipo
 
Sababu za maana ndio zipi?
Huwa zinapimwaje?
Nani wa kuzipima hizo sababu kuwa zina maana ama la?

Swali linabakia pale pale, Yanga kwa sasa inafaidika nini na kuendelea kumng'ang'ania Feitoto?
Yanga wanasubiri aliyenyuma ya Fei Toto ajitokeze wapige pesa
 
Hizo akili ndo kitu YANGA wamekosa
Mchezaji mtoro unaendelea kumng'ang'ania wa nini?
Kwani Yanga ni klabu ya kufuga wachezaji watoro?
Kwanini uendelee kumlipa mshahara na marupuru mchezaji mtoro?
Mtoro anapaswa afukuzwe ili apoteze haki zake.
 
Kama ashajua hayo mapungufu kwanini asitumie hayo mapungufu kumtetea fei? Aende cas akapate haki yake kama anaonewa, siyo analia na ttf wakati chombo cha haki kipo
Wameshasema Wanasubiri barua rasmi (sio taarifa ya twiter) kisha wanaenda CAS.
 
Pale Brighton kuna kijana mmoja raia wa Ecuador anaitwa Moises Caicedo yupo moto kweli kweli kiasi kwamba dirisha dogo Club kubwa duniani zilituma offer za kumnunua. Kijana wa watu analipwa mshahara mdogo kabisa pale Brighton na kwa upole na hekima nyingi aliiomba hadharani Club yake imuuze ili akalipwe mshahara mkubwa atakako enda na vile vile Club ivune fedha nyingi. Dirisha dogo Brighton wamekataa offer nyingi sana wakitaka kulipwa £ 80 Milioni huku wao walimnunua chini ya £ 30 Million. Najaribu kupiga picha kijana huyu angekuwa Mtanzania hali ingekuwaje mtandaoni kwenye page za Brighton maana maisha yetu tulishazoea kuonewa huruma badala ya sheria na taratibu. Kwenye ligi za Ulaya wapo vijana wengi wanacheza Club ndogo na wanalipwa mishahara midogo vile vile lakini wanasubiri muda sahihi. Hatuoni vituko kama vya kijana wetu huyu.
 
Pale Brighton kuna kijana mmoja raia wa Ecuador anaitwa Moises Caicedo yupo moto kweli kweli kiasi kwamba dirisha dogo Club kubwa duniani zilituma offer za kumnunua. Kijana wa watu analipwa mshahara mdogo kabisa pale Brighton na kwa upole na hekima nyingi aliiomba hadharani Club yake imuuze ili akalipwe mshahara mkubwa atakako enda na vile vile Club ivune fedha nyingi. Dirisha dogo Brighton wamekataa offer nyingi sana wakitaka kulipwa £ 80 Milioni huku wao walimnunua chini ya £ 30 Million. Najaribu kupiga picha kijana huyu angekuwa Mtanzania hali ingekuwaje mtandaoni kwenye page za Brighton maana maisha yetu tulishazoea kuonewa huruma badala ya sheria na taratibu. Kwenye ligi za Ulaya wapo vijana wengi wanacheza Club ndogo na wanalipwa mishahara midogo vile vile lakini wanasubiri muda sahihi. Hatuoni vituko kama vya kijana wetu huyu.
Umemaliza.. Ningependa mtu afungue uzi kumhusu huyo jamaa ili watu wapate uelewa
 
Wakili Fatma kashafichua kuwa Mkataba wa Fei una mapungufu mengi yanayomruhusu kuwa huru. Na akiamua kuyafichua inaweza ikasababisha nusu ya wachezaji wengine wa Yanga nao wakasepa kwa staili kama ya Fei.

Kamati imetumia busara sana kumuacha Fei aendelee kula ugali na Sukari.
Akichoka kulamba sukari ya Dar aende na unga wake tu kule Kagera au Mtibwa, Sukari ataikuta kwa wingi.
Fatuma K amepata wapi access ya mikataba yote ya wachezaji wa Yanga?
 
Huenda kuna kitu sikifahamu au labda nimepitwa. Mchezaji Feitoto alishaamua kuachana na Yanga na akawaaga na mashabiki, lakini klabu yake ya Yanga imeendelea kumng'ang'ania lakini haiwezi kumtumia, haimchezeshi, haimwamini nk

Nini mantiki ya Yanga kuendelea kumng'ang'ania Feitoto?
Roho mbaya
 
Kwa kadri Yanga wanavyoendelea kumng'ang'ania Feitoto maana yake wanapaswa kumlipa haki zote (ikiwemo mishahara na marupurupu yake) na wakati huo huo hawamtumii.

Na kadri mchezaji anapokuwa hachezi huwezi kuja kumuuza kwa thamani kubwa.

Swali, linabakia pale pale, nini mantiki ya Yanga kuendelea kumng'ang'ania Feitoto wakati haiwezi kumtumia tena?
Analipwa ili baadae afunguliwe kesi.
Ili kujenga kesi ni lazima uonyeshe kuwa juhudi zote kuwa wewe ulijitahidi kadri ya uwezo wako kuheshimu mkataba na kutaka maridhiano.
Baada ya hapo ni maumivu, na timu itakayotaka kumchukua itabidi iipe Yanga hela ndefu, au yeye atoe mfukoni mwake.
Matokeo yake anaweza kuwa mchezaji ambaye thamani yake ya kumsajili (awe na uwezo ama la) itakuwa hailipi.
 
Hujauona mkataba wa Fei waliuweka humu jf Wewe ulikuwa Bado unanyonya!

Mkataba niliusoma humu JF ni very tight na umefungwa na kufuli la Solex na key iko Jangwani , yaani kwa Fei Mwenye elimu ya Madrasa Jambiani na elimu ya msingi Mfereji wa Wima primary mara Sijui form four Mchambawima skuli basi alisaini bila kuuelewa kama stori ya Chief Mangungo au sisi wabongo tunaotekeleza siasa ya ujamaa bila kuifahamu kuwa it is something Utopian , bullshit, bogus and unrealistic!

Mkataba unasema Feitoto anatakiwa akishalipa hizo pesa 100m za usajili na mishahara 3 kisha ataje na sababu "za maana" za kuvunja mkataba km kutopangwa, kutotibiwa, kutolipwa , sababu ambazo kiukweli Hana hata moja na hakutaja na mkataba unasema Yanga Wana haki kisheria ya kuzikubali au kuzikataa sababu za Fei-kubwa maana dogo keshaota mapembe ATI. Yaani hata angetaja sababu za kutoka mbinguni Yanga bado wangesema "Si za maana" na wangetoa sababu zingine na wangeshinda kesi , Fei ni Mtoto mdogo asie na elimu ya sheria msaidieni kwa kumwambia awalete warubuni wake Mezani walipe hiyo bei ya kumuuza ni 1B wasepe nae kwa Mpalanger, Fei na wachezaji wengine wanapaswa kujua uhuni Huwa Hauna nafasi mbele ya sheria!

Wanayanga ni vizuri tutajiwe aliempa Feitoto Ile milioni 100 ni haki yetu wanautopolo kumjua in exchange with our paying members subscription fee and coming to support our team pale Chamazi. Kuna mganga Pemba wa kushughulikia vivuruge hawa.

Hivi Utopoloni kuchukua makombe yote miaka miwili mfululizo na kupiga BOLI la kideoni kuzidi hata Brazil mbona Makolo inawauma sana yani imewashinda kabisa kumeza hawatulii hawapoi Kila kukicha wanafanya njama za kuibomoa Yanga. Kwa Dickson Job wamefeli, Mayele wamegonga mwamba basi walipomrubuni Fei maana ni Mtoto walirukaruka wakijua wameimaliza Yanga mara kaletwa Mudathir na Musonda Ngoma Inogile!

Yanga bin Utopoloni tunapanda juu kileleni mara paaap tunapishana na Simba bin Mikia aka Zuwena wanashuka chini , Utopoloni tunasalimia Makolo nayo hata kupokea salamu tu hayataki! Mikia mtakufa Bure na presha za kujitakia , kubalini tu this is Utopolo Era wengine Wote mnatusindikiza na kutupepea.

Fei katuparura nasi twamparura, jino kwa jino!!
Bado tu hujaagizia mbili, tatu hapo kwa Mtogole nimeshakulipia...[emoji119][emoji3]
 
Mijitu inabadili logo za watu kimakusudi kisa rangi ndio itaweza kuheshimu vipengele vya mkataba vya mchezaji?

Nb tff wanafanya wanayofanya ili kubalance wasionekane ni simba
Hujui chochote kaa kimya we Makolokolo/Mbumbumbu/Makelele/Malalamiko/Mikia/Manyaunyau/Ngada/Zuwena/Kolowizards/Kinyume nyume/Madunduka FC.....[emoji23]

Mbona ninyi Mbumbumbu hamkufata usahihi wa malipo ya pesa za Marehemu Mafisango, au unajitekenya na kucheka mwenyewe ukiwa umejikalia tu kama furushi la bangi hapo kwa Shemeji yako?
 
Mijitu inabadili logo za watu kimakusudi kisa rangi ndio itaweza kuheshimu vipengele vya mkataba vya mchezaji?

Nb tff wanafanya wanayofanya ili kubalance wasionekane ni simba
Ulivyo zumbukuku umejisahaulisha hata Dubai mliruhusiwa kwa mbeleko za wazi kabisa baada ya mechi yenu dhidi ya Mbeya City kuhairishwa kwa sababu za kipuuzi kabisa ilihali YANGA FC ilikataliwa ilipotoka kucheza michuano ya kimataifa (Shirikisho) Tunisia.

Endelea tu kukaza fuvu maana upumbavu ni kipaji.
 
Kwa sasa tumemfanya kama demo ili kuwafundisha mabush lawyer maana ya mikataba.
 
Kwani feitoto hajafuata mkataba?
Mkataba umeweka vigezo vya kuuvunja ni fei kulipa million 100 na mshahara wa miezi mitatu
Kuna utaratibu gani tena?
Bush lawyer, wajinga kama wewe ndio mmeharibu maisha ya Feisal.

Kwahiyo leo Chama akiwaingizia Benki pesa zao Simba kesho anaondoka?
 
Katika hali ya kawaida, suala la ufanisi wa timu linategemea mahusiano ya hiari yaliyopo baina ya Timu na mchezaji husika. Timu ikimchoka mchezaji itatafuta namna ya kumuacha mchezaji na mchezaji akiichoka timu atatafuta namna ya kuondoka, kwa namna yoyote ile hiyo hali lazima ifikiwe.
Feitoto haitaki tena Yanga......
Yanga haina tena mpango wa kumtumia Feitoto.....

Sasa Yanga wanamng'ang'ania mchezaji wa namna hiyo wa nini?
Sikio halizidi kichwa.
 
Mkataba unatakiwa useme hivyo, mkataba wa Feitoto umesema Feitoto anatakiwa kulipa around 100m ili kuvunja mkataba wake (na amezilipa tayari), issue ambayo Yanga wanasimamia ni kuwa, utaratibu wa kufikia hapo haukufuatwa na Feitoto. Sasa suala lilllopo hapa ni kuwa, ni vipi Yanga wanafaidika na Feitoto kwa sasa?
Unaelewa lakini maana ya mkataba au unaandika tu usichokijua?
 
Back
Top Bottom