Kingfish23
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 490
- 485
Zanzibar ukiweka kiingilio 10,000 tu hawajazi uwanja uchumi wao uko chini wanategemea serikali zaidi.asilimia kubwa ya mechi hizi uwanja unajazwa na watu wa bara ingawa wanalazimika kuingia gharama kubwa za usafiri na malazi.Labda wanatafuta mapato (viingilio).
Irrellevant,ongelea kwa nini hizo timu za zanzibar zilikwepa kuchezea zanzibarHao Uhamiaji na JKU kuhamisha mechi zao walipopangwa na waarabu wanajua wao nini kilichowasikuma kufanya hivyo. Lakini kikanuni uwanja wa Amani hauna changamoto yoyote kutumika katika mashindano ya CAF. Yanga hutumia uwanja wa Mkapa lakini kwasasa umezuiwa kutumika sababu ya kupisha ukarabati unaoendelea. Hivyo wana option ya kutumia uwanja wa Azam complex.
Kuamua kwenda Zanzibar kuchezea mechi yao, inaweza kuwa ni kutokana na uwepo wa mashabiki kwa idadi kubwa Zanzibar wanaoshabikia Yanga. Hata Zanzibar kuna shabiki wa Yanga
Mbona una kichwa kigumu mzee, hayo sio mashindano ya ligi bali ni ya CAF na kama ni CAF hawana kanuni inayokataza timu isihame nchi yake. Mashindano ya CAF yapo huru sana, hata kama Yanga ingeamua kwenda kuchezea mechi yao nchini Tunisia.Yanga ni timu ya ligi ya Tanzania bara, Zanzibar Wana ligi yao. Ingekuwa sawa unachosema kama ligi ya Tanzania nzima ingekuwa Moja. Lakini kama Zanzibar imeruhusu JKU na UHAMIAJI wahamishe mechi zao Misri na Libya maana yake hawakujali faida (uchumi na kijamii) zote za timu kucheza mechi nyumbani. Faida hizo haziwezi kufidiwa na Yanga kwa mtindio wa strengthen the weakest by weakening the strongest. Unaweza kufanya hivyo kwenye ngao ya jamii, kiusalama au kupata mapato mengi kwa mechi kuchezea mji fulani.
Niongelee sababu za Uhamiaji na JKU wakati ni maamuzi yao binafsi ikiwa CAF hawakuweka sheria ya kutokuhama nchi? Uwanja wa Amani una hadhi ya kuchezewa mashindano ya CAF na isitoshe Zanzibar hakuna vita sasa unataka niseme nini kama sio mapenzi yao kuhama? Unless uje na maelezo kuwa uwanja wa Amani haukuruhusiwa kutumika ama Zanzibar ipo kwenye migogoro ya kivita.Irrellevant,ongelea kwa nini hizo timu za zanzibar zilikwepa kuchezea zanzibar
Zanzibar ukiweka kiingilio 10,000 tu hawajazi uwanja uchumi wao uko chini wanategemea serikali zaidi.asilimia kubwa ya mechi hizi uwanja unajazwa na watu wa bara ingawa wanalazimika kuingia gharama kubwa za usafiri na malazi.
Labda kama kuna agenda nyingine.
Ondoa kwanza dhana ya kuichukulia kama Yanga ipo kwaajili ya Dar bali Yanga ipo kwaajili ya mashabiki wote dunia nzima. Sio watu wote waliopo Dar ni mashabiki wa Yanga hilo ulijue, na Yanga sio kitega uchumi cha watu wa Dar bali Yanga ni timu ya kuwapa burudani mashabiki zake waliopo kila pembe ya dunia. Acha kuwa mbaguzi wa timu, hizo mkoa hata zikipambana kuwa na timu ligi kuu lakini mtaji wao mkubwa ni Simba na Yanga basi. Kule Zanzibar kuna mashabiki wa Yanga wacha na wao wakapelekewe fursa.Kaka ndio maana kila mkoa unapambana kupata timu ya ligi kuu ili kupata faida za kiuchumi na kijamii kupitia timu yao. Kilevi TU huwezi kuhamisha Fursa za watu wa dar ukazipeleka sehemu nyingi kwa utashi TU wa mwenyekiti.
Huna ulichokisema cha maana. Yanga ni timu ya dar es Salaam, wanataka kufaidika na timu yao directly na indirectly. Kuna wanaonufaika directly kama waajiliwa, serikali (mapato na Kodi), uwanja, TFF, DRFA, TEFA nk na Kuna wanaonufaika na mechi za kimataifa za Yanga indirectly ( mahoteli, mamalishe, daladala, bodaboda, machinga, nk). Hawa wooooote huwezi kuwapiga mswaki eti kiongozi mmoja wa timu ana mahaba na kwao. Aliyesema Yanga ni timu ya Muungano ni nani?Mbona una kichwa kigumu mzee, hayo sio mashindano ya ligi bali ni ya CAF na kama ni CAF hawana kanuni inayokataza timu isihame nchi yake. Mashindano ya CAF yapo huru sana, hata kama Yanga ingeamua kwenda kuchezea mechi yao nchini Tunisia.
Kwa ajira kuna kitu kinaitwa kutengeneza activities zenye maslahi ya staffs kwanza then taasisi...wakati mwingine huwa kuna fungu lipo mahali flani sasa watu wanaangalia watalichomoaje ndo hapo inapopangwa mechi nchi ya kituo wakijua kwamba watalamba perdiem etc. (hapa inakuwa ufisadi)Gharama nafuu kiveepe? Timu kwenda Zanzibar maana yake utalipa usafiri wa wachezaji, benchi la ufundi na msululu wa viongozi. Watu wote hao watalipiwa malazi, chakula na fedha za kujikimu (per diem) kwa siku zote watakazokuwepo Zanzibar na wakati huohuo bill za pango za Avic ziko palepale. Lakini Kuna watu Dar ambao walikuwa wapate Fursa za kibiashara kutokana na uwepo wa mechi uwanja wa Benjamin Mkapa watakosa hiyo fursa, na watu wa DSM na mikoa jirani ambao wanakuja dar kuona mechi hawatakuja.
Timu haina uwanja wa mazoezi lazima tujali kupunguza gharama za uendeshaji ili tujenge hostels na uwanja.
wNiongelee sababu za Uhamiaji na JKU wakati ni maamuzi yao binafsi ikiwa CAF hawakuweka sheria ya kutokuhama nchi? Uwanja wa Amani una hadhi ya kuchezewa mashindano ya CAF na isitoshe Zanzibar hakuna vita sasa unataka niseme nini kama sio mapenzi yao kuhama? Unless uje na maelezo kuwa uwanja wa Amani haukuruhusiwa kutumika ama Zanzibar ipo kwenye migogoro ya kivita.
Umemaliza Mkuu.Hao Uhamiaji na JKU kuhamisha mechi zao walipopangwa na waarabu wanajua wao nini kilichowasikuma kufanya hivyo. Lakini kikanuni uwanja wa Amani hauna changamoto yoyote kutumika katika mashindano ya CAF. Yanga hutumia uwanja wa Mkapa lakini kwasasa umezuiwa kutumika sababu ya kupisha ukarabati unaoendelea. Hivyo wana option ya kutumia uwanja wa Azam complex.
Kuamua kwenda Zanzibar kuchezea mechi yao, inaweza kuwa ni kutokana na uwepo wa mashabiki kwa idadi kubwa Zanzibar wanaoshabikia Yanga. Hata Zanzibar kuna shabiki wa Yanga
Kwahiyo wanatoka sumbawanga waende Zanzibar kutazama mechi? Kwanini timu za Zanzibar haziji kucheza bara, Kuna nini? Nani anajikomba hapo?Mechi zinazochezwa Dar, mashabiki wote hutokea Dar? Hakuna mashabiki wanaotoka Sumbawanga au Kigoma kuangalia mechi? Je hao wakitoka huko kuja Dar hawaingia gharama za usafiri na malazi?
Aliyesema Yanga ni timu ya Muungano ni nani?
Hao wanachama wapo nchi nzima na walikuwepo tangau enzi hizo lakini haikuwa hivi, hii ni mpya Yanga kugeuka taasisi ya muungano.Me naona ni sawa
Zanzibar Kuna wanachama wengi wa Yanga
Na hao wanachama wanalipia kadi kama wanavolipa wa Dar, kwahiyo kuwapelekea team Yao siyo jambo baya.
Hii mechi ya klabu bingwa ilichezewa baraKwahiyo wanatoka sumbawanga waende Zanzibar kutazama mechi? Kwanini timu za Zanzibar haziji kucheza bara, Kuna nini? Nani anajikomba hapo?
Yanga ni team ya wanachamaHao wanachama wapo nchi nzima na walikuwepo tangau enzi hizo lakini haikuwa hivi, hii ni mpya Yanga kugeuka taasisi ya muungano.
Labda Zanzibar kuna vita ya wenyewe kwa wenyewe.Timu za JKU na UHAMIAJI ni timu za Zanzibar kindaki ndaki kuliko Yanga. Hatukuelezwa kwanini JKU na UHAMIAJI hawakutaka mechi zao za mashindano ya CAF wachezee Zanzibar, lakini Yanga wanataka kwenda kucheza CAF championship mzunguuko wa pili Zanzibar. Kuna nini hasa hapo?
Ufafanuzi unahitajika juu ya jambo hili. Michezo ni furaha, uchumi na undugu, kwanini JKU na UHAMIAJI walihamisha furaha, uchumi na undugu unaotokana na michezo kwenda Egypt na Libya na Yanga kupeleka Zanzibar furaha, uchumi na undugu Zanzibar kutoka dar es salaam?
Je, unawaweza kuwa mkatoliki safi kumzidi Pope?; muislam fafi kuliko mufti?