Kingfish23
JF-Expert Member
- Aug 22, 2022
- 490
- 485
Zanzibar ukiweka kiingilio 10,000 tu hawajazi uwanja uchumi wao uko chini wanategemea serikali zaidi.asilimia kubwa ya mechi hizi uwanja unajazwa na watu wa bara ingawa wanalazimika kuingia gharama kubwa za usafiri na malazi.Labda wanatafuta mapato (viingilio).
Labda kama kuna agenda nyingine.